Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Nahs baada ya hiyo kesi, Yanga nao watafungua kesi Kwa Simba kutumia logo Yao kutangazia biashara za mbet na kampuni za mo.. maana nao walipost kwenye page Yao official ya insta
Screenshot_20231115-235247.jpg
 
Huyu mtu anaitwa Rage anachungulia Kila pesa ilipo Kwa hili Simba wanapiga hela.
 
Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
Utopolo wanasemaje..?
 
Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.

Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.

Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.

Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.
Kwa hili Rage unawapotosha Simba na unasaidia Yanga kutimiza lengo Lao Kwa kiwango ambacho hawakutarajia.
Ukikaa kishabiki upande wowote huku utaona hivi huku utaona hivi. Lakini sheria haitafsiriwi apendavyo Mtu. Sheria inajitafsiri yenyewe.
 
Mkigangamala tuwalipe imekula kwenu mtahesabu mmeshimda huku sisi tutahesabu tumewahonga ingie kwenye mtego huo muone mechi ijayo msipokula 10

Sie akili mukichwa
 
Back
Top Bottom