Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Kijana mmoja ambaye ni mwendesha boda boda huko Kenya amejikuta katika mgogoro mkubwa na mke wake ambao umempelekea kulala nje
Mwanamke huyo aliyemtangazia mbele ya umati wa watu waliokuwa wamekusanyika kuangalia tukio hilo kuwa mwanaume huyo hataingia ndani kama hajaoga
Hata hivyo mwanaume huyo ambaye alionekana kubisha na hatimaye alifungiwa na kulala nje mpaka asubuhi
Je ilikuwa adhabu sahihi kwa mwanaume huyo?
Mwanamke huyo aliyemtangazia mbele ya umati wa watu waliokuwa wamekusanyika kuangalia tukio hilo kuwa mwanaume huyo hataingia ndani kama hajaoga
Hata hivyo mwanaume huyo ambaye alionekana kubisha na hatimaye alifungiwa na kulala nje mpaka asubuhi
Je ilikuwa adhabu sahihi kwa mwanaume huyo?