... ni bingwa wa kiarabu.Niliwahi kuuliza Manara anajua KUSOMA na KUANDIKA?
ππππππππView attachment 2304292
kipindi upo shule kiranja wako alikua chini mkuu wa shule, mwalimu wa zamu, mwalimu wa darasa na bado ulimtii alipokuamrisha ukadeki choorais wa TFF ana mamlaka gani wakati yuko chini ya Watu kibao kuanzia BMT hadi Wizara!
Kiranja hakuwahi kuwa na mamlaka yoyote, alikuwa anatumwa tu na walimukipindi upo shule kiranja wako alikua chini mkuu wa shule, mwalimu wa zamu, mwalimu wa darasa na bado ulimtii alipokuamrisha ukadeki choo
wewe hujui hata Kazi za BMTrais wa TFF ana mamlaka gani wakati yuko chini ya Watu kibao kuanzia BMT hadi Wizara!
Sawawewe hujui hata Kazi za BMT
Hilo ni Balaza tu ingawa linaweza pitia Maamuzi ya TFF na kutoa mapendekezo .Sawa
ππππ... ni bingwa wa kiarabu.
kabisaHuyu mtu anakashfu viongozi alitakiwa kudakwa na polisi
Ulimuuliza nani?Niliwahi kuuliza Manara anajua KUSOMA na KUANDIKA?
kadhiUlimuuliza nani?