Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mungu aturehemu, atujalie upendo kwani Mungu ni Upendo. Asiyempenda nduguye anaye muona awezaje kusema anampenda Mungu?
 
Sawa, lakini je hizo sheria zao zinakuhukumu wewe? Tusiwe wepesi wa kuhukumu kwa maneno juu ya sheria za wenzetu wakati sisi hapa kwetu sheria zetu hatuzifuati, mwizi akikamatwa anatakiwa apelekwe kituo cha polisi, mbona anauwawa.
Watu kuuwa mwizi hapa kwetu kwa kutofuata sheria siyo argument. Saudi Arabia ni nchi ya kiislamu ya sharia law. Wanaohukumiwa ni wale wanao onekana. Vipi kuhusu wasio onekana? Wako waarabu wengi katika nchi za kiislamu wanatenda makosa ya kupiga na kuuwa wafanyakazi wageni, kuwatesa na kutowalipa mishahara kulingana na contract. Hatahivyo, serikali za miungu za nchi hizo hazifanyi chochote kuwatendea haki wafanyaki wageni dhidi ya watu wao kwa kutumia hiyo sharia. Kwa ufupi, uislamu na sharia law a haiwezi kutenda haki, Sharia hipo kwa kwa faida ya wachache, kukandamiza wanawake na kuuwa watu.
 
Nchi za kiislamu zinavyo ruhusu waajiri kutesa wafanyakazi waafrika, kuwanyanganya passport na kutaka mapenzi nao. Waarabu na uislamu wao wabaya sana, wana laana kweli kweli.


Unachanganya uislamu na matendo ya watu ila matendo ya mashoga yakichanganywa ukristo unapinga,acha unafki.
 
We unazungumzia mateso ya wakenya huko wakati hapa Tz tu maalbino wanapata mateso.
Angali factual data kuhusu nchi takatifu ya Allah.

Islam under the guise of Sharia law and the Quran endorses rape of women and incest of infants and children. The effect of this is a massive number of sexual assault cases on women and children. Over 23% of Muslim children in a University study claimed to have been raped (1/4 of the entire population). Over 46% of Muslim male students in Riyadh are homosexuals, and over 25% of Muslim male student in Jeddah are homosexuals. Homosexual relations are common due to restriction of association between genders

(In broader surveys sexual assault and incest of children in Islamic societies are much higher than in this study.)

TRANSCRIPT: Guest - More than 23% of children in Saudi society have been raped.
Host -- So about a quarter of Saudi children have been--
Guest - About a quarter of Saudi children have been raped. Sixty-two percent of those people—
Host -- Those children.
Guest - No, I'm sorry, the study was directed at university students. Twenty-three percent had been raped during their childhood. For 62% of those, the rape was never reported. This was because it was one of the victim's relatives. In the study, it was mentioned that more than 16% of the rapists were relatives, specifically 5% were siblings, 2% were teachers, and 1% were parents. In another study, which was conducted by Dr. In'am (al-Rabu'i), who is the president of children's studies at the Armed Forces Hospital in Jeddah, she mentioned, or warned, that in the coming years we will suffer as a society from extremely widespread cases of homosexuality. The reason for this is the increase in the cases of sexual assault of children (brought) to the hospital, as well as the societal violence inflicted on children. She also mentioned that the hospital had on average three sexual assault cases per week.
Host -- How large of an area did the study cover?
Guest - I don't know, this is just what she mentioned on behalf of the Saudi nation. It was published on behalf of the nation, and can be considered very reliable. In addition to that, there is a study from the Office of Societal Supervision, which is also very serious. This study reported that 46% of students in the city of Riyadh suffer from homosexuality. Twenty-five percent of students in Jeddah suffer from homosexuality. We must be aware of this in order to combat these numbers quickly. The society has become fragmented. When we have a percentage of students—children or teenagers—who are gay, this is a catastrophe, a true catastrophe. I mean, we don't have a strong society. We should really look at this more seriously.
Host -- This is a new thing in Saudi Arabia for newspapers to write articles on this subject. The studies which you mentioned, are they saying this is something new?
Guest - No, it's not new.


 
Wauwaji wa nchi nyingine huwa wanafanywaje?
Kufanywa hivi na watu wanaojinadi wanamjua Mungu kunaleta maswali mengi juu ya huyo Mungu wao.
Au wewe umeona sawa tu?
Tupende dini zetu lakini turuhusu akili zetu kuhoji.
Kwani dini zengine zinasemaje endapo ikitokea mtu kuuwa yani kinafanyika kwa mtu aliyeuwa?
 
Nilipoona mkusanyiko wa watu na kuulizia kulikoni, niliondoka taratibu.
Ni bora kushuhudia kifo cha risasi au kitanzi kuliko upanga.
 
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
Kwa maelezo yako unataka kutuambia kipindi cha utume wa Mussa waliokuwa wakimpiga mawe mzinzi hadi kufa, wao hawakuwa na dhambi. Sheria haijalishi dhambi za mtekeleza hukumu, bali naye atahukumiwa kwa makosa yake.
 
Mungu akishuka Leo, sijuw watajiteteaje wafalme wa dunia hii
Ila Kama Mungu alitoa sheria kwA mwanadam kumhukum mwenziwe hadi kufa basi ni haki kufuata maandko lakn kama haijaandikwa ni watu kujipendekeza kwA Mungu kana kwamba wao ni watakatifu Hahahaha jehanam ya Lucifer inawahusu
Kwani dini zengine zinasemaje mfano kwa mtu aliyeua mwenzie?
 
Mhhhh sijui nilikukoseaga nini the Bold, maana hutaki kabisa kunitag. asante kwa makala ila uwege unasamehe maana sio kunipotezea huku jamani
 
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
Kwahiyo hiyo hukumu za kwenye toraut zilikuwa na makosa?
 
Mhhhh sijui nilikukoseaga nini the Bold, maana hutaki kabisa kunitag. asante kwa makala ila uwege unasamehe maana sio kunipotezea huku jamani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom