Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Kitabu hicho hicho kinatumiwa na Mganga halafu hicho hicho kinatumiwa msikitini. Yesu alituambia Ufalme unaopingana ni washetani. Quran inatumika kulogea hiyo hiyo inatumika kuagua. karibu Tanga uone maajabu ya Allah
Nawasikitikia sana kwa sababu mnatumia nguvu kuonesha chuki(japo mnahubiri upendo) kwa waislamu wakati huo Shetani anaharibu ukristo.

We subiri tu kizazi kijacho uone jinsi watakavyokuwa wakiabudu picha ya Yesu waziwazi maana hadi sasa Shetani kujenga imani ya kuwa ile picha ndiyo kweli ya Yesu hivyo ni Mungu yule,kwa maana hiyo bado watu kuiabudu hiyo picha waziwazi.

Sasa we endelea kuzungumzia habari za waganga.
 
We wa ajabu sana. Unataka US wazuie uislam duniani??? Hivyo ndivyo dini inavyotaka, sasa wazuie dini wao kama nani? Kwani wao wajinga na hawaheshimu imani za wengine???
 
Tatizo uelewa wako ni mdogo. Sijasema Marekani hana makosa, ila wenye makosa zaidi ni waarabu wenyewe kushindwa tatua tofauti zao kwa amani, wanaishia nunua silaha kwa Warusi au Marekani na kuishia kuuana wakati wanadai uislamu ni dini ya amani!

Kwanza tambua kwamba Marekani au Uingereza au Urusi ni mataifa ambayo hayaongozwi kikristo au kidini kama mataifa ya kiarabu. Ukristo ni choice ya mtu. Katika mataifa kama US au Urusi ni kosa kuchanganya ukristo na siasa maana hizo nchi haziendeshwi kidini. Nchi za kiarabu na kiislamu nyingi zimechanganya siasa na dini ndipo makosa na matatizo yanapowakuta.

Kama wakristo tungekuwa hatuna upendo basi nchi zote wenye wakristo wengi zingekuwa na vita. Lakini kinyume chake inaonekana dhahiri kwamba uislamu siyo dini ya amani zaidi ya mauaji na vita.

Ni vigumu kumfundisha muislamu upendo sababu Quran yenyewe tayari imewajenga itikadi ikiwafundisha kuchukia na hata kuuwa wasiyo waislamu, makafiri, wayahudi na wakristo. Biblia inafundisha kumpenda jirani yako. Je, unafikiri ISIS, Bokoharam na Al-Qaida ni jirani wa kumpenda kwa mkristo?
 
Waarabu Ni katili sana
Hata watumwa waliotoka
Africa wafanyiwaa ukatili.
Watumwa wa uarabuni hawakuacha kizazi, wote walivunjwa uzazi wasizaane au kutembea na wanawake wakiarabu.

Vizazi vya watumwa wa marekani mpaka leo wapo. Hapo ndipo utaona jinsi waarabu na dini yao walivyo washenzi na makatili.
 
Mkuu ingekuwa kuuuwana ndiyo mafundisho ya uislamu kama unavyotaka tuelewe hivyo basi ingekuwa waislamu wa kila pembe ya dunia wangekuwa wanauana na kuuwa wasiokuwa waislamu,lakini kwanini kuuwana huko kuwe kwa waarabu tu?

Halafu hizo nchi zenye wakristo ambazo unasema wanaupendo ndiyo maana hawauani ni nchi gani? Hapo marekani ukiacha watu weusi kubaguliwa ila wanawaua karibu kila siku.

Watu wanauliwa kisa et nchi ya ahadi halafu nyie wenye upendo mnaunga mkono na nchi yenu ya ahadi.
 
Watumwa wa uarabuni hawakuacha kizazi, wote walivunjwa uzazi wasizaane au kutembea na wanawake wakiarabu.

Vizazi vya watumwa wa marekani mpaka leo wapo. Hapo ndipo utaona jinsi waarabu na dini yao walivyo washenzi na makatili.
Kuna haja ya kueleza jinsi wazungu wanavyo watreat hao watu weusi huko marekani?
 
Kama sharia zinasema watu wafanywe hivyo..

Basi sawa tuu...sihuzuniki wala.
 
Watumwa wa uarabuni hawakuacha kizazi, wote walivunjwa uzazi wasizaane au kutembea na wanawake wakiarabu.

Vizazi vya watumwa wa marekani mpaka leo wapo. Hapo ndipo utaona jinsi waarabu na dini yao walivyo washenzi na makatili.
Kwa hiyo unataka kuleta hoja kwamba utumwa ni biashara nzuri mikononi mwa America bali biashara ya utumwa ni mbaya mikononi mwa Mwarabu?
 
Ukipitia komenti humu naona watu wanajisahau wanapochukulia waarabu ndiyo uislamu wenyewe...uislamu ni amani na kutenda haki hivyo ata akiwa ni muislamu wakati huo akawa mwarabu pasina kutenda haki na kufata yaliyoamrishwa na dini ya uislamu atahukumiwa yeye kama yeye si uislamu ndiyo uhukumiwe kwa sababu yake japo kwa kiasi kikubwa wasio na uelewa wamekuwa wakiuhukumu uislamu kupitia kwa watu hao maana hauna upungufu (dini iliyokamilika) hivyo wanahukumu kupitia madhaifu ya binadamu ambacho si sawa.

Uislamu ulikuwepo kabla yake (mfalme huyo) na utaendelea kuwepo hivyo waarabu pia ni binadamu hivyo ni chaguo lake kuwa mwema au asiwe mwema ila muislamu anayefata maamrisho mema na kukataza mabaya kamwe huwa mwema na hutenda haki wakati wote.

Sasa chukulia matukio yaliyowahi kutokea hapa nchini kwetu au kwingine halafu ufikiri halafu uendelee kudai uislamu ni ugaidi.

Mf.
1.tukio la mtu kuuawa na mwili wake kuhifadhiwa katika ndoo kubwa ya maji (jaba)

2.mauaji ya albino
3.mtu kuuawa kisha kufungwa katika baiskeli na kudumbukizwa katika maji(kanda ya ziwa)

4....

Je hao pia uislamu uliwatuma kutenda hayo???
 
Wanawatoa kafara kwa mashetani,ni mfumo wa zaman wa mashetani,
 
Kwa hiyo unataka kuleta hoja kwamba utumwa ni biashara nzuri mikononi mwa America bali biashara ya utumwa ni mbaya mikononi mwa Mwarabu?
Yes ndo maana kule kizazi cha watumwa kipo hadi leo uarabuni walikuwa wakikitokomeza kizazi cha watumwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…