Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mkuu,

JF tunajipambanua kama "home of great thinkers" na ningependa kuamini kwamba hata wewe ni great thinker..
Sasa basi as a great thinker hautakiwi kuogopa kujadili, na sio kujadili tu vile vinavyokufurahisha bali pia kujadili hata vile ambavyo unahisi vinakuchefua roho...


Sasa basi,

Kwa kuwa umesema nimegusa nyanja ambayo "una ufahamu nayo", hivyo nilitegemea ungetueleza nimekosea wapi? Ukweli ni upi? Uongo ni upi? Maoni yako ni yepi? na kadhalika na kadhalika... Hivyo ndivyo great thinkers wanavyofanya mijadala na sio kuanza kukebehi na kutoa maneno yasiyofaa..

Hilo la kwanza.



La pili, kuhusu kwenda kufanya tafiti zaidi kuhusu makala zangu nilizowahi kuziandika humu na kujiridhisha, niseme kwamba nakupongeza kama utafanya hivyo kwa kuwa hilo ni jambo jema kwa mtazamo wangu... So, go on and do that!! Naamini utaongeza mawili matatu... I see it as a positive thing.!!


Ubarikiwe sana.
THE BOLD
Mkuu,
KWA UCHACHE NIKUWEKE SAWA NA HUU NDIO UKWELI.

KWANZA.
Sio kila mpingaji kachukia au hajafurahishwa laah! Hiyo dhana sio sahihi na usidhani kila anaekosoa lengo ni kupendelea au kukosoa andiko lako laa.

PILI.
Katika tafiti yako imeonesha jinsi gani hii makala umeisoma au umepataa dondoo kupitia kwa waIRAN ambao kiasili ni Mashia ambao kwetu sisi waislam tunawajua wao ni kina nani ktk muj'tamaa wetu na chuki zao kwetu.
Na hili linathibitika pale inaposemwa kuwa 50% ya wanaochinjwa ni wageni hiyo takwimu ilisemwa na hao maSHIA
sins haja kuingia saaana huko coz ungekuwa muislam naamini ungefahamu kiundani hawa jamaa.

TATU.
Umedhihirika utafiti dhariri na hii inatokana na ima ulikochukua hii habari au ulienda kumuhoji hukumu za kisharia muislam asiyezijua.
Nikukufahamishe tu hata muislam mchanga anajua kuwa ktk uislam umri wa hukumu zinamhusu akiwa na umri gani na unapoandika kuwa kijana alihukumiwa akiwa na miaka 17 unataka kutuaminisha eti alikuwa mtoto eti kwa kuwa hakutimiza miaka 18 je.? Hizo sheria unahisi ktk Uislam zinatambulika hvyo. Jibu ni hapana haiko hivyo na hata hiyo sayansa haijatoa sababu za msingi za kuwa miaka 18 ni muda sahihi wa kufanya maamuzi kwa mtu sahihi muda hautoshi ningekutolea mifano.

NNE.
Fikra ya kuchinja kuchuliwa km ni unyama na hao wanapropaganda waijiita haki za binadam kuikataa.
Ni dhahiri kuwa NEW WORLD ORDER inapitia ktk hizi nyanja km unafaham jamii zile zinazopatikana ktk mapori ya America kusini na baadhi ya jamii za kiafrika ambazo hawaishi ktk uhalisia wa maisha haya ya kawaida tunayoishi na moja ya hukumu zao ni kuua kutundikwa ktk MTU km mshkaki je ..? Ushawahi kusikia hao haki za binadam wanaenda kuwawekea vikwazo watu wa namna ile na kwao kubakana ni jambo la kawaida ningependa ufanyie tafiti kidogo hawa watu.
Ila hii inatokana na ulimwengu kupromote jambo kupitia media hata likiw mzuri lionekane baya eg. Tunaona ushoga taratibu dunia inaradhimishwa ikubariane nayo na tunaona nchi hadi nchi hususan sisi team misaada ndo wepesi kupokea hz tabia Leo hii utembeaje uchi ishakuwa haki za binadam na hakuna wa kukemea.

TANO.
Hukumu zinazotolewa kuhusishwa na eti kutisha wananchi ili wasiishmbulie dola.
Hili nalo tafiti yako ulikosea kwa kumuuliza muislam asiyejua uislam.
Nikuje sharia zinatokana Qur'an na Sunna na ktk hukumu zinatokana na huo utaratibu wa kutoa hukumu mbele ya halaiki haujabuniwa na wao Bali ni hukmullah ss unapoanza kusema ili isishambuliwe dola nitakushangaa hivi huku kwetu tunawapeka wezi maghaini...n.k jela kwa lengo.? Tunatifautiana tu mifumo ya uwajibishaji HUKUMULLAH huangazia sana uharisia na kukemea kiukali na huku kwetu hukumu kipropaganda unakataza kuchinja mnakubali kunyonga, risasi na sumu haaa haaa hii ni zero to 0.
Sisi tulipaswa kuelekeza watoto wetu yule unaemuona kiganja cha mkono hana kwa kuwa aliiba ndio akahukumiwa kwa kukatwa na sio sasa ktk dola hz tunawaambia yule anaepita alifungwa miaka kadhaa na anamuona akiwa mkamilifu haathiriki chochote kiukweli tukiacha ushabiki.

SITA.
PROPAGANDA YA WAAMERIKA NA WAFUASI WAKE NDIO CHANZO CHA HAYA YOTE.
Nitaanza na kuzigagamiza nchi mbalimbali ili kufuata DEMOKRASIA.
Huu ndio mpango waliouasisi na binafsi ninakiri kuwa wameweza kiasi kikubwa na kiukweli nchi zisizokuwa na DEMOKRASIA ziko salama ktk kuingiliwa misingi yao ya kitamaduni na kisera.
Nitoe mifano na mbinu zitumikazo..
Ikumbukwe Tz enzi za mwalimu DEMOKRASIA aliikatas ila akashinikizwa na mabwana zake na ndio maana hata ilipofanyika chaguzi wengi wakaipinga alilazimika aipitishe tu.
Tujue faida kwao ni IPI ya hii DEMOKRASIA.
Tukumbuke jk nyerere kipindi chake Tz ilikuwa na nchi mbili uchina na Cuba ila wengi wamekremishwa kuwa uingereza kumbe uingereza ilitikana ni kuwa ktk hama hama za mwisho na kwa kuwa walituachia likatiba lao uchwara.
Na alipoingia Mwinyi mfumo haukutofautiana sana kwa kuwa MZEE wa taifa alikuwa nyuma yake .
Ila alipoingia Benja hapo rasmi tukaanza urafiki na hawa jamaa wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI na ikumbukwe huyu jamaa elimu yake aliichukulia huko na tuliona uhusiano na uwekezaji ulivyokaja kasi kila kinachowekezwa muamerika.
Na alipoingia Jk huyu nae akafufua mashimo ya jk wa kwanza kwa kujipenyeza kwa wachina na tumeona kilichofanyika.
Yote kwa yote hatuwezi kupinga Sera za kirafiki ila tujiulize je OBAMA amesimama jukwaani ktk nchi nyingi na kuhamasisha ushoga je unadhani anadhani ni kwa nn hakusimama na kusema hvyo ktk nchi za kifalme nadhani jibu tunalo.
Na faida nyingine kwao ni simple sana kumng'oa madarakani rais wasiokuwa na faida nao kwa kumtengenezea skendo au kumpindua km tulivyoona kwa nchi kadhaa panaposhindikana wao husubiri miaka ya rais aliyopo iishe zen wampange wao kuwania kiti hicho.
Wanachoumia saaana kumuona mfalme mwenye misimamo ya dini ambae wanajua hatotoka hadi kifo chake na wakati wao zipo fulsa wanazihitaji pale na ndipo tuliposhuhudia MISRI, LIBYA na yanayoendelea Syria majority wanaelewa siku hizi source ni IPI.
Kumbe tunakuja kuona kuwa lengo la DEMOKRASIA sio kuleta maendeleo kupitia viongoz wapya laa ni kuleta watu wapya watakaonufaisha nchi mama.

SABA.
Umetaja aina tatu za mauaji yaliyokubaliwa kiislam ila hujajua au hujaambiwa kuwa kila sharia inatokana na tareehe na hizo ndio muongozo mkubwa wa kufuata nusuus za kishari'ah ila ungesoma uislam sidhani km tungepata uzito huu wa kuelekezana.

SAUDI ARABIA SIO MAASUMIN ILA KTK NCHI ZINAZOFUATA SHERIA ZA KIISLAM HAWA WENZETU WANEWEZA NA ALLAH AWASIMAMIE KWA HILI.
Yako mengi ya kukuweka sawa but muda hautoshi.....

Hongera kwa tafiti ila usitafute zile zilizoandikwa na CCM kuikosoa CHADEMA bila kutafuta ukweli kwa upande wa pili hiyo tutaita Israfuuu ya mitandao..

Nawasirishaaaa....
Mkandu....
Chalileeer
 
Mti mbovu uzaa matunda mabovu. Dini ya kiislamu ni wazi matunda yake mabovu na uoza.

Matunda hayo mabovu ni ugaidi dunia nzima, upinga Kristo, kuoa watoto wadogo, kula nguruwe kwa dharura, kunywa mkojo wa ngamia, kuuwa watu innocent, ISIS, Bokoharam, Al Qaida, Al shebab, upigaji wa wanawake na Majini yaliyosilimu. Na hayo ni matunda machache tu, yapo mengine mengi ambayo yanatudhihirishia kwamba huu mti wa kiislamu haufai hata kidogo.
Amina kwa Jina la Yesu.
 
THE BOLD
Mkuu,
KWA UCHACHE NIKUWEKE SAWA NA HUU NDIO UKWELI.

KWANZA.
Sio kila mpingaji kachukia au hajafurahishwa laah! Hiyo dhana sio sahihi na usidhani kila anaekosoa lengo ni kupendelea au kukosoa andiko lako laa.

PILI.
Katika tafiti yako imeonesha jinsi gani hii makala umeisoma au umepataa dondoo kupitia kwa waIRAN ambao kiasili ni Mashia ambao kwetu sisi waislam tunawajua wao ni kina nani ktk muj'tamaa wetu na chuki zao kwetu.
Na hili linathibitika pale inaposemwa kuwa 50% ya wanaochinjwa ni wageni hiyo takwimu ilisemwa na hao maSHIA
sins haja kuingia saaana huko coz ungekuwa muislam naamini ungefahamu kiundani hawa jamaa.

TATU.
Umedhihirika utafiti dhariri na hii inatokana na ima ulikochukua hii habari au ulienda kumuhoji hukumu za kisharia muislam asiyezijua.
Nikukufahamishe tu hata muislam mchanga anajua kuwa ktk uislam umri wa hukumu zinamhusu akiwa na umri gani na unapoandika kuwa kijana alihukumiwa akiwa na miaka 17 unataka kutuaminisha eti alikuwa mtoto eti kwa kuwa hakutimiza miaka 18 je.? Hizo sheria unahisi ktk Uislam zinatambulika hvyo. Jibu ni hapana haiko hivyo na hata hiyo sayansa haijatoa sababu za msingi za kuwa miaka 18 ni muda sahihi wa kufanya maamuzi kwa mtu sahihi muda hautoshi ningekutolea mifano.

NNE.
Fikra ya kuchinja kuchuliwa km ni unyama na hao wanapropaganda waijiita haki za binadam kuikataa.
Ni dhahiri kuwa NEW WORLD ORDER inapitia ktk hizi nyanja km unafaham jamii zile zinazopatikana ktk mapori ya America kusini na baadhi ya jamii za kiafrika ambazo hawaishi ktk uhalisia wa maisha haya ya kawaida tunayoishi na moja ya hukumu zao ni kuua kutundikwa ktk MTU km mshkaki je ..? Ushawahi kusikia hao haki za binadam wanaenda kuwawekea vikwazo watu wa namna ile na kwao kubakana ni jambo la kawaida ningependa ufanyie tafiti kidogo hawa watu.
Ila hii inatokana na ulimwengu kupromote jambo kupitia media hata likiw mzuri lionekane baya eg. Tunaona ushoga taratibu dunia inaradhimishwa ikubariane nayo na tunaona nchi hadi nchi hususan sisi team misaada ndo wepesi kupokea hz tabia Leo hii utembeaje uchi ishakuwa haki za binadam na hakuna wa kukemea.

TANO.
Hukumu zinazotolewa kuhusishwa na eti kutisha wananchi ili wasiishmbulie dola.
Hili nalo tafiti yako ulikosea kwa kumuuliza muislam asiyejua uislam.
Nikuje sharia zinatokana Qur'an na Sunna na ktk hukumu zinatokana na huo utaratibu wa kutoa hukumu mbele ya halaiki haujabuniwa na wao Bali ni hukmullah ss unapoanza kusema ili isishambuliwe dola nitakushangaa hivi huku kwetu tunawapeka wezi maghaini...n.k jela kwa lengo.? Tunatifautiana tu mifumo ya uwajibishaji HUKUMULLAH huangazia sana uharisia na kukemea kiukali na huku kwetu hukumu kipropaganda unakataza kuchinja mnakubali kunyonga, risasi na sumu haaa haaa hii ni zero to 0.
Sisi tulipaswa kuelekeza watoto wetu yule unaemuona kiganja cha mkono hana kwa kuwa aliiba ndio akahukumiwa kwa kukatwa na sio sasa ktk dola hz tunawaambia yule anaepita alifungwa miaka kadhaa na anamuona akiwa mkamilifu haathiriki chochote kiukweli tukiacha ushabiki.

SITA.
PROPAGANDA YA WAAMERIKA NA WAFUASI WAKE NDIO CHANZO CHA HAYA YOTE.
Nitaanza na kuzigagamiza nchi mbalimbali ili kufuata DEMOKRASIA.
Huu ndio mpango waliouasisi na binafsi ninakiri kuwa wameweza kiasi kikubwa na kiukweli nchi zisizokuwa na DEMOKRASIA ziko salama ktk kuingiliwa misingi yao ya kitamaduni na kisera.
Nitoe mifano na mbinu zitumikazo..
Ikumbukwe Tz enzi za mwalimu DEMOKRASIA aliikatas ila akashinikizwa na mabwana zake na ndio maana hata ilipofanyika chaguzi wengi wakaipinga alilazimika aipitishe tu.
Tujue faida kwao ni IPI ya hii DEMOKRASIA.
Tukumbuke jk nyerere kipindi chake Tz ilikuwa na nchi mbili uchina na Cuba ila wengi wamekremishwa kuwa uingereza kumbe uingereza ilitikana ni kuwa ktk hama hama za mwisho na kwa kuwa walituachia likatiba lao uchwara.
Na alipoingia Mwinyi mfumo haukutofautiana sana kwa kuwa MZEE wa taifa alikuwa nyuma yake .
Ila alipoingia Benja hapo rasmi tukaanza urafiki na hawa jamaa wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI na ikumbukwe huyu jamaa elimu yake aliichukulia huko na tuliona uhusiano na uwekezaji ulivyokaja kasi kila kinachowekezwa muamerika.
Na alipoingia Jk huyu nae akafufua mashimo ya jk wa kwanza kwa kujipenyeza kwa wachina na tumeona kilichofanyika.
Yote kwa yote hatuwezi kupinga Sera za kirafiki ila tujiulize je OBAMA amesimama jukwaani ktk nchi nyingi na kuhamasisha ushoga je unadhani anadhani ni kwa nn hakusimama na kusema hvyo ktk nchi za kifalme nadhani jibu tunalo.
Na faida nyingine kwao ni simple sana kumng'oa madarakani rais wasiokuwa na faida nao kwa kumtengenezea skendo au kumpindua km tulivyoona kwa nchi kadhaa panaposhindikana wao husubiri miaka ya rais aliyopo iishe zen wampange wao kuwania kiti hicho.
Wanachoumia saaana kumuona mfalme mwenye misimamo ya dini ambae wanajua hatotoka hadi kifo chake na wakati wao zipo fulsa wanazihitaji pale na ndipo tuliposhuhudia MISRI, LIBYA na yanayoendelea Syria majority wanaelewa siku hizi source ni IPI.
Kumbe tunakuja kuona kuwa lengo la DEMOKRASIA sio kuleta maendeleo kupitia viongoz wapya laa ni kuleta watu wapya watakaonufaisha nchi mama.

SABA.
Umetaja aina tatu za mauaji yaliyokubaliwa kiislam ila hujajua au hujaambiwa kuwa kila sharia inatokana na tareehe na hizo ndio muongozo mkubwa wa kufuata nusuus za kishari'ah ila ungesoma uislam sidhani km tungepata uzito huu wa kuelekezana.

SAUDI ARABIA SIO MAASUMIN ILA KTK NCHI ZINAZOFUATA SHERIA ZA KIISLAM HAWA WENZETU WANEWEZA NA ALLAH AWASIMAMIE KWA HILI.
Yako mengi ya kukuweka sawa but muda hautoshi.....

Hongera kwa tafiti ila usitafute zile zilizoandikwa na CCM kuikosoa CHADEMA bila kutafuta ukweli kwa upande wa pili hiyo tutaita Israfuuu ya mitandao..

Nawasirishaaaa....
Mkandu....
Chalileeer
mkandu,


Hongera kwa kunijibu kwa hoja walau sasa unadhihirisha wewe in great thinker... Maana great thinkers tunajadili kwa hoja namna hii sio kebehi...


Nirudi kwenye hoja zako...



Umeandika mambo ya maana sana ambayo naamini yana maana kubwa lakini bahati mbaya umetoka nje ya mada ninayoizungumza hapa...


Hoja zako zimejikita katika kutetea uhalali wa watu kuchinjwa hadharani, kwamba hoja zako unajaribu kuonyesha kwanini suala kuchinja watu hadharani ni halali... Nadhani hoja zako hazipingani na nilichoandika bali zinaunga mkono andishi langu...


Kwanini?



Katika makala hii kitu kikuu nilichojaribu kuonyesha ni kwamba "kuna nchi duniani bado wanachinja watu hadharani"... That's it! Sijajaribu kutetea wala kupinga... Nilichokifanya ni kuonyesha tu hiyo fact kwamba " kuna watu wanachinjana hadharani"!


Kama unapingana na mimi, nilitegemea uje hapa ulete ushahidi kwamba watu hawachinjwi... Yaani mimi kusema Saudi Arabia wanachinja watu nimedanganya... Utuonyeshe kuwa hawachinji raia wao au labda utuambie Al-Beshi sio mchinjaji...

Lakini kuja na hoja za kutetea uhalali wa watu kuchinjwa sioni ni namna gani unapingana nami sana sana umeniunga mkono fact yangu kwamba "Saudi Arabia wanachinja raia hadharani"!


Niseme kwamba, makala yangu imejaribu kuonyesha ukweli kwamba "Saudi Arabia bado wanachinja watu!" Suala la uhalali au uharamu wa hilo nakuachia wewe msomaji uamue kwa ufahamu wako...

Mfano wewe mkuu kwa ufahamu wako umetetea kwamba ni sawa kabisa watu kuchinjwa hadharani na umetoa sababu zako.... Naam hivyo ndivyo nataka!! Wewe ufanye maamuzi hayo kwa sababu zako... Wewe binafsi uunge mkono au upinge...


Pia wako wengine kadiri nilivyozisoma comments wamepinga vikali suala hili... Swadakta, nao wana haki ya kupinga kwa sababu zao...



Kwa ufupi ni kwamba kama unakubali Saudia Arabia wanachinja watu basi unaniunga mkono nilichoandika... That's the point na kiini cha makala hii... The fact that Saudi Arabia is still conducting public beheadings to its convicted citizens... Hiyo ni fact na kama unapingana nayo basi tueleze kuwa Saudi Arabia haichinji watu na utupe ushahidi...



Shukrani!
 
Hajawai kuuvaa ubinadam akaja Duniani kama akitaka kuja atakuja full sio nusunusu. Ila Myahudi aliuvaa utu wa kiume akakosea kujiwekea na nguvu za kiume sasa Mungu gani anakuja nusunusu, vipi kuna tatizo bado?
Hahaha....unayaleta ya khadija t*ako bovu sasa ewe kijana wa Bwn. Mudy

Kwanza Allah ndio nani?

Karibu twende taaratibu.
 
Allah ana shida ya kuja Duniani mi nakuambia jamaa kilikua chakula cha mafarisayo kile ukitaka kuamini ndugu zake Waisrael hakuna wakristo na hawamtambui wanajua kazi yake ilikua nini katika viunga vya Jerusalem.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Suala sio kuwepo kwa wakristo waisrael...Allah ndio nani?
 
Mkubwa ingekuwa vizuri ungekuja na wewe na hizo nondo zako unazofahamu hili nasi tupate kujua kuliko , kumueleza mleta uzi akajifunze au aulize hili afundishwe.,kuna vitu sisi binadamu tunakuwa tunaviamini sana kwa kurithishwa maneno na Jamii zilizotuzunguka, ikitokea mtu akahoji hizo imani, hakuna majibu ya msingi atakayopewa zaidi ya vitisho na kuambiwa anadharau imani za watu , kwenye hizi Imani.mleta Uzi kashuka anayojua yeye na wewe shuka unayojua tupate nasi tusiojua kitu walau udambu udambu .Asante sana
Ebwana nimekuelewa sana,kile ulichaokimaanisha kwani kipo wazi na kinaeleweka mno.Iko hivi si kila kosa lina tikiwa kukosolewa kwa mtindo wa kuleta kilicho kilicho sahihi dhidi ya kile cha uongo.

Ukweli wa mambo uko hivi,kuna namna kadha wa kadha za kukosoa jambo.Mathalani walio wengi hawana elimu ya jinsi ya kuhakiki habari.Katika ulimwengu wa kiislamu namshukuru Allah kwa kuwajaalia waja wake waaminifu wakaweka misingi ya kuhakiki habari kwa kufuata athari chanya na muongozo wa kitabu chake na mwenendo wa mtume wake Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.

Katika ulimwengu huu kuna watu wa sampuli nne mpaka kiama kinasimama.Nawataja na kukupa jibu lako humo humo.

1.Wapo watu ambao hawajui na hawajijui kama wao hawajui,hawa kwa kiswahili chetu tuna waita wanajidai wajuaji.Watu wa sampuli hii unatakiwa kuwaacha kama walivyo,yaani si lazima uwaeleweshe ukweli wa jambo,sababu mpaka wao kujidai wajuaji walijidai wana jua hapo awali.Watu hawa kwa ujuaji wao ukawapelekea kaucha misinhi ya kitafiti na kuutafuta ukweli kama ulivyo.Mfano muwasilishaji wa hii makala,kuna sehemu anakiri kabisa hana ufahamu wa jambo fulani lakini analizungumzia na mwisho anawaachia wajuzi walidadavue,mtindo huo tunauita ujuaji na kujifaragua.Pia inaonyesha huyu mtu hii makala ameichukua mahala fulani kutokana na mtiririko wa makala unavyoenda.Mtu kama huyu mzee haina haja ya kumuelewesha,sababu usahihi wa mambo kama alijua yeye hajui angetaka kujua kwa kuuliza wanaoujua.Kwa ufupi watu wa sampuli hii kwa kiswahili sanifu tunawaita WAPUMBAVU

2.Wapo watu ambao hawajui na wanajijua kama wao hawajui,watu hawa sasa ndio wanao faa kufahamishwa haraka sana.Kwa maana nyingine watu hawa wanajitambua na wanaishi kwa misingi na ni wajibu kwa yule mwenye kujua kuwaelimisha watu hawa.

3.Wapo watu ambao wanajua na hawajijui kama wao wanajua,hawa tunasema wameghafilika na inapaswa kuwakumbusha tu.

4.Wapo watu ambao wanajua na wanajua kama wao wanajua,hawa tunawaita wanachuoni mabingwa yaani ma ulamaa,na unapaswa kuchukua elimu kwao.

Sasa kutokana na mgawanyiko huo wa watu,kuniambia mimi nilete nondo zangu unakuwa unakosea,sababu huyo mleta mada kwanza anatakiwa akili kama yeye hajui,kisha hatua za kueleweshwa zifate.Kadhalika kuna nidhamu ya kuuliza maswali na kujibu maswali yaani hii pia ni elimu,yaani katika adabu za kujifunza na kufundishwa,yaani kuna sehemu ukitoa jibu kwa ufafanuzi mkubwa utakuwa unakosea basi sehemu hiyo ni lazima utoe jibu kwa ufupi hata kama wakiwa hawajaelewa wengi na kinyume chake ndio ukweli.

Kama utakuwa na swali juu ya haya niliyokueleza uliza.
 
Unaniuliza mimi tena wakati wewe ndio umemtaja.
Ewe bi'adam vipi?

Mimi ninayemtaja ili kumfahamu na wewe unayemfahamu na kumuabudu unahitaji nani amuelezee?

Allah ni nani?
 
Ewe bi'adam vipi?

Mimi ninayemtaja ili kumfahamu na wewe unayemfahamu na kumuabudu unahitaji nani amuelezee?

Allah ni nani?
Hahaha naona mfarisayo umehamisha magoli we ulianza kwa kutukana kama shida yako kujua ungeuliza ukajibiwa toka mwanzo. Kuabudu kwa kuinama ukasema ni ushoga vipi na bwana yule alikua mzee wa no linda[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hahaha naona mfarisayo umehamisha magoli we ulianza kwa kutukana kama shida yako kujua ungeuliza ukajibiwa toka mwanzo. Kuabudu kwa kuinama ukasema ni ushoga vipi na bwana yule alikua mzee wa no linda[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mimi si mfarisayo ni Mgalatia kafiri, Ndio kumbinulia mwanaume mwenzio k*und*u ni chanzo cha ushoga ndio maana wale wafuasi wa bwn. Mudy huwa hawana shida na bikira za mbele ya mwanamke...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwanza watazikuta akhera 72

Allah ndio nani? Hebu jibu hilo swali kwanza tuendelee.
 
Hili ungeuliza mwanzo ila wewe umeanza na kashfa twende kwa kashfa.
Kashfa hapa ndio imelala kwa waislam wasiojielewa/waislam jina....yaani wale wa ubwabwa wa manjano na hamira tu.

Wapo waislam huwa najadiliana nao kiustaarabu sana na kujifunza yao.

Fuatilia michango yangu.
 
Mimi si mfarisayo ni Mgalatia kafiri, Ndio kumbinulia mwanaume mwenzio k*und*u ni chanzo cha ushoga ndio maana wale wafuasi wa bwn. Mudy huwa hawana shida na bikira za mbele ya mwanamke...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwanza watazikuta akhera 72

Allah ndio nani? Hebu jibu hilo swali kwanza tuendelee.
Mkuu suala la kubinua kekundu tumekuta Musa na Mungu mwana wanafanya sasa hawa ndio waasisi wa uchoko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom