Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Nimesoma andiko lako neno kwa neno. Umedhihirisha ubora wako as a great thinker. I would appreciate if add me in your tag list mkuu
Pamoja mkuu! Shukrani..

Nimekuongeza kwenye taglist tayari..
 
THE BOLD...
itakuwa ndo Mara yangu ya kwanza kuona unaandika vitu ambavyo haviko sahihi na hii inanifanya nitilie shaka hata makala za EL'CHAPO na zinginezo kwa kuwa hapa umeingia kwenye nyanja ambayo Nina ufahamu nayo


Mkuu,

JF tunajipambanua kama "home of great thinkers" na ningependa kuamini kwamba hata wewe ni great thinker..
Sasa basi as a great thinker hautakiwi kuogopa kujadili, na sio kujadili tu vile vinavyokufurahisha bali pia kujadili hata vile ambavyo unahisi vinakuchefua roho...


Sasa basi,

Kwa kuwa umesema nimegusa nyanja ambayo "una ufahamu nayo", hivyo nilitegemea ungetueleza nimekosea wapi? Ukweli ni upi? Uongo ni upi? Maoni yako ni yepi? na kadhalika na kadhalika... Hivyo ndivyo great thinkers wanavyofanya mijadala na sio kuanza kukebehi na kutoa maneno yasiyofaa..

Hilo la kwanza.



La pili, kuhusu kwenda kufanya tafiti zaidi kuhusu makala zangu nilizowahi kuziandika humu na kujiridhisha, niseme kwamba nakupongeza kama utafanya hivyo kwa kuwa hilo ni jambo jema kwa mtazamo wangu... So, go on and do that!! Naamini utaongeza mawili matatu... I see it as a positive thing.!!


Ubarikiwe sana.
 
Vuta picha hao walikanyagwa hapo watoto na wake zao kama wapo wanaona ni fedheha ya kiasi gani? Ukubwa wa imani kwa Yesu haifanyi kuwa mnavyoamini kuhusu Yesu ni kweli,matokeo yake ukubwa wa imani zenu unaishia kupandiwa mgongoni.
Hahaha...Vijana wa bwn. Mudy huwa mnachekesha sana na uelewa wenu, nakuulizeni ndugu waumi'nin ila hamjibu mnayoulizwa

Sasa suala la kuabudu huku umeanika ma*tako hewani na kumuinamia Mwanaume rijali...kwanini asikutamani kama Nur Warsame Imam shoga wa Canada?

Kwanini wasitemane na bikira ya mbele ya wanawake?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaa na ushetani wako huko una maana gani ku quote uzi ujibu upuuzi huo au unadhani wanaojibu kwa busara hawana uwezo wa kujibu majibu yasiyo ya busara kama hayo??

Inauma kuona wenzio walivyopandiwa juu huku ukiwa pembeni ukisubiri zamu yako ifike nawe upandiwe juu?

Nilijua najadili hoja ila kama ni kashfa sasa kaa pembeni na ushetani wako.

Usi qoute komenti yangu.
 
Sijui migongo yao ndiyo imegeuka ngazi upuuzi huo eti mtu akitoka hapo akija humu anajikwakamua akijua amefaulu kisa alivumilia kukanyagwa mgongo na mtu anayejiita mtume...wanajitoa fahamu kiasi hicho tena unakuta mtu ana familia ila anakubali kufanyiwa hayo akiamini pepo ipo kwa huyo aliye juu yake.
Kenkerenkede....kijana wa Abdullah Ibn Mua'mmad a.k.a mtume anayefaidi bikira zake 72 swaaafi muda huu wakati ninyi mkiinamishiana kun*du.

Nimekuulizeni swali ndugu waumi'nin ila hamjibu asilani

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kaa na ushetani wako huko una maana gani ku quote uzi ujibu upuuzi huo au unadhani wanaojibu kwa busara hawana uwezo wa kujibu majibu yasiyo ya busara kama hayo??

Inauma kuona wenzio walivyopandiwa juu huku ukiwa pembeni ukisubiri zamu yako ifike nawe upandiwe juu?

Nilijua najadili hoja ila kama ni kashfa sasa kaa pembeni na ushetani wako.

Usi qoute komenti yangu.
Punguza jazba ewe shabaab umpiganie bwn mtume (rehma zimfikie)
 
Mapovu yapi mbona nimekuuliza maswali ukayakimbia unakuja bwabwaja eti unasokomeza mapovu mdomoni...kwani ungejibu maswali ungekosa kipi au umeshindwa kuyajibu muombe padri wako akusaidie...hamna maana kukimbia maswali unakuja kujitapa kwa mnayefanana nae akili.

Post [HASHTAG]#430[/HASHTAG]
Mbona Bi khadija (40) alikuwa mwenye akili na mwerevu mpaka akamuoa Mudy (25) kutokana na hali ya umasikini wa bwn. Mudy?
 
Kiongozi mimi ni muislamu sio tu wakuzaliwa bali ni muislamu ambae nimezaliwa katika uislamu na kujifunza uislamu.Mzee mada hii imekuzidi sana uwezo.Kabla ya kuileta kwanza ulitakiwa utenge muda kujua ni kitu gani unataka ukiwasilishe kwa watu,pia uangalie sana chanzo ambacho unaitoa hii habari.

Kwa uchache ulitkiwa ufahamu yafuatayo,si tu ufahamu juu juu bali ufahamu kielimu.
Ulitakiwa ujue

1.Ni ipi nchi ya kiislamu.

2.Uijue saudia ni nchi ya aina gani

3.Hukmu kwa mujibu wa sheria,yaani kilugha na kiistilahi

4.Ujue ya kuwa kuzungumza jambo ambalo huna elimu ni dhambi

5.Ujue hukumu hazipimwi kwa hisia

Japokuwa sijui imani yako mzee.Ila kuitendea haki misingi ya kielimu nakushauri rudi tena kafanye utafiti au ungekuja kwa mtindo wa kuuliza swali ili ufundishwe lakini si kupotosha umma.

Kaka nina mengi sana ya kusema kuhusu uongo uliomo katika hii makala yako,na hakuna kitu kibaya kama kuwazulia watu uongo.

Mkubwa ingekuwa vizuri ungekuja na wewe na hizo nondo zako unazofahamu hili nasi tupate kujua kuliko , kumueleza mleta uzi akajifunze au aulize hili afundishwe.,kuna vitu sisi binadamu tunakuwa tunaviamini sana kwa kurithishwa maneno na Jamii zilizotuzunguka, ikitokea mtu akahoji hizo imani, hakuna majibu ya msingi atakayopewa zaidi ya vitisho na kuambiwa anadharau imani za watu , kwenye hizi Imani.mleta Uzi kashuka anayojua yeye na wewe shuka unayojua tupate nasi tusiojua kitu walau udambu udambu .Asante sana
 
Sasa mie nimekosea nini? nimesema Mungu hakuumba kiumbe kiitwacho shetani,hivyo malaika waliyomuasi Mungu ndiyo wameitwa mashetani ila asili yao ni malaika. Na ndiyo nikasema ukisikia shetani basi ujue ni malaika huyo maana ndiyo asili yao,kitendo chao cha uasi ndicho kilichofanya waitwe mashetani ni sawa na wewe ukiwa unapenda kulewa utaitwa mlevi ila ni binadamu.

Mtu akisha kuwa marehemu utamwita kiumbe hai KWA kuwa hapo awali alikuwaga hai?

Shetani ndiye status yake halisi. Biblia inamwita ibilisi, na jeshi lake la malaika wa giza. Naomba tusibishane juu ya mambo yaliyodhahiri. Tunaweza kuongea masuala ya maana lakini kubishana juu ya jambo lililowazi.
 
Mbona Bi khadija (40) alikuwa mwenye akili na mwerevu mpaka akamuoa Mudy (25) kutokana na hali ya umasikini wa bwn. Mudy?
Kuoa ni ulijali huo vipi yule mnazareti alikua mboga nini? Au mdau wa CHAPUTA?
 
Hahaha...Vijana wa bwn. Mudy huwa mnachekesha sana na uelewa wenu, nakuulizeni ndugu waumi'nin ila hamjibu mnayoulizwa

Sasa suala la kuabudu huku umeanika ma*tako hewani na kumuinamia Mwanaume rijali...kwanini asikutamani kama Nur Warsame Imam shoga wa Canada?

Kwanini wasitemane na bikira ya mbele ya wanawake?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Iyo ibada muasisi ni mgalatia mwenzenu alikua anasijudu hivyo na ndio maana amekufa na utamu ahujui hakuoa ila alikua na vijana 12 wanaume tupu sasa akivyowabong'olea wanaume wenzie sijui alijua anatafuta nini[emoji4] [emoji4]
 
Kwa visa kama hivi ndio utajua undumila kuwili wa waamerika na Wazungu kwa ujumla, ili mradi wamehakikishiwa mafuta hawasemi lakini kwa ujumla huo ni ufirauni na si muda mrefu hii nchi ufalme wake utaanguka. Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga
ww fala wacha kukot uzi hiv na pumba zako
 
Kuoa ni ulijali huo vipi yule mnazareti alikua mboga nini? Au mdau wa CHAPUTA?
Kenkreeenkede, angalia sasa kinachoshangaza kwenu wauminin aa Bwn. Mudy mnakosa critical questions na uelewa

Ninyi mnajua kuwa sisi wagalatia/makafir tunamwita/tunamwamini huyu Mnazareti kuwa ni Mungu halafu unazungumzia urijali...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani Allah yeye alizaa ama kuzaliwa? Aliwahi kulala na mwanamke?
 
Iyo ibada muasisi ni mgalatia mwenzenu alikua anasijudu hivyo na ndio maana amekufa na utamu ahujui hakuoa ila alikua na vijana 12 wanaume tupu sasa akivyowabong'olea wanaume wenzie sijui alijua anatafuta nini[emoji4] [emoji4]
Bwn. Sheikh naomba ujibu hilo swali nililokuuliza hapo juu.

Allah yeye alizaa au kuzaliwa? Aliwahi kulala na mwanamke mkapima urijali wake?
 
Mapinduzi yanaitajika kufanyika uko. Oki kuipindua serikari ya kidini. NA kuimarisha serikari ya kidemocrasia.
 
Mtu akisha kuwa marehemu utamwita kiumbe hai KWA kuwa hapo awali alikuwaga hai?

Shetani ndiye status yake halisi. Biblia inamwita ibilisi, na jeshi lake la malaika wa giza. Naomba tusibishane juu ya mambo yaliyodhahiri. Tunaweza kuongea masuala ya maana lakini kubishana juu ya jambo lililowazi.
Hatubishani mkuu tunaelekezana tu sina sababu ya kubishana.

Mkuu ibilisi asinge muasi Mungu basi asingeitwa shetani kwa maana neno shetani lina maana yake na ndiyo maana akaitwa hivyo baada kuasi na si kwamba aliumbwa akiwa shetani,sijajua kwanini wewe ndiye pekee unakataa kuwa shetani asili yake ni malaika!!!
 
Mapinduzi yanaitajika kufanyika uko. Oki kuipindua serikari ya kidini. NA kuimarisha serikari ya kidemocrasia.
Kama ilivyoimarishwa serikali ya kidemokrasia huko Libya?

Pale Saudia ukiigusa unagombana na USA.
 
Sheria nyingine kiukweli hazitendi haki; binadamu wa kawaida hawezi hukumu hivi zaidi ya shetwani!! Nadhani hata iss chimbuko lao ni hukohuko!! Eti unaenda kuishi Saudi a huu! Hata kama nimeahidiwa nini sijui
 
Bwn. Sheikh naomba ujibu hilo swali nililokuuliza hapo juu.

Allah yeye alizaa au kuzaliwa? Aliwahi kulala na mwanamke mkapima urijali wake?
Hajawai kuuvaa ubinadam akaja Duniani kama akitaka kuja atakuja full sio nusunusu. Ila Myahudi aliuvaa utu wa kiume akakosea kujiwekea na nguvu za kiume sasa Mungu gani anakuja nusunusu, vipi kuna tatizo bado?
 
Kenkreeenkede, angalia sasa kinachoshangaza kwenu wauminin aa Bwn. Mudy mnakosa critical questions na uelewa

Ninyi mnajua kuwa sisi wagalatia/makafir tunamwita/tunamwamini huyu Mnazareti kuwa ni Mungu halafu unazungumzia urijali...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani Allah yeye alizaa ama kuzaliwa? Aliwahi kulala na mwanamke?
Allah ana shida ya kuja Duniani mi nakuambia jamaa kilikua chakula cha mafarisayo kile ukitaka kuamini ndugu zake Waisrael hakuna wakristo na hawamtambui wanajua kazi yake ilikua nini katika viunga vya Jerusalem.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom