Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
UHURU JR nilishakuelezeni hapa kuwa nina ndugu waislam na ninawaheshimu sana, my best friend tuliograduate pamoja ni Muislam by the name "Hussein"

Familia zetu ni marafiki, ninachopinga siku zote ni kwamba hapa kuna "Waislam jina"...wenye CHUKI na KISASI kwa wakristo.

Si hao tu ila pia wapo wakristo wasioifuata misingi na miongozo ya kidini nao ni WANAFIKI, kwani kutwa wanajikweza na kuona vibanzi kwa wenzao bila kuona Borini machoni mwao.

Ulishaona nikibishana na Mahmood au hata Mzee Mohammed Said ?

Tafakari.
Kwa hapa Tz mtu kuwa na ndugu wa imani tofauti na yeye sidhani kama ni jambo la kushangaza hadi kuja kulizungumzia hapa,ila tatizo ni chuki zilizo mioyoni mwenu na kwa sababu humu Jf hatujuani basi ndiyo imekuwa pahala pa kuonesha hizo chuki.

Kwani hao wakina Mohamed said hawaoni wakristo jina humu? mbona yeye hajikukashifu ukristo kisa et kuna wakristo jina?

We ungekuwa mstaarabu na mwenye kupenda upendo hata usingekuja kutukana humu au unataka kusema unachokifanya humu ndiyo mafundisho ya Yesu yasemavyo?
 
YEHOVA sio Yehova,

YEHOVA ni mwenye kusamehe na kusahau 7×70, ilimradi mtu ametubu na kumaanisha kuacha uovu.

Ila hao wasiomwamini YEHOVA watamwombaje msamaha?
Kwani Huyo YEHOVA zifa zake ni zipi ?
 
Umeona sasa akili zako??? Sasa uislamu umemtuma afanye hivyo?? Au uislamu unaruhusu??

Uislamu si kuwa mwarabu, kuwavna jina la kiisalamu au kuvaa kanzu bali ni kutii maamrisho yaliyo ndani ya uislamu hali kadhalika kufuata taratibu na maamrisho ya uislamu, unajuaje kama ni mtu aliamua kuvaa na kuamua kuchafua uislamu??

Achana na video za youtube wanapotosha watu wasiijue dini ya haki ili watimize adhima yao maana wanaona dini hii haiwapi mwanya wa kutimiza wayatakayo.

Mfano, mzuri hata huku wapo wazazi wana mahusiano na watoto wao...tena yupo alikuwa akimuingilia mwanae akiwa darasa la tatu huku akitoa sababu mkewe kumnyima unyumba sasa embu fikiri au huyo nae alitumwa na uislamu?

Je unawezaje hukumu uislamu kwaajili ya mmoja au kikundi cha watu wanaofanya makatazo ya mola wao??

Kwahiyo, je wale wanaofunga ndoa za jinsia moja makanisani kutumia bibilia hiyo hiyo huwa mnahukumu ukristo au huwaoni?

Je, wale padri na viongozi wako wakubwa akiwemo papa walioshutumiwa kulawiti watoto bibilia iliwatuma??

Je wachungaji wanaofumaniwavna wake za watu ukristu unawatuma?

Je wale masista walio na watoto mnahukumu ukristo kupitia wao??

Je wale mapadri walio oa tena wengine kuoa wake za watu na wana watoto huku wakibaki kuwa mapadri huwa mnahukumu ukristo??

Unadhani matukio hayo yangekuwa kwa waislamu wangenusurika kweli??

Mbona hamhukumu ukristo kupitia hao viongozi wenu??

Tena wengine kuyafanyia hayo makanisani??

Au unataka ushahidi?

Anyway:yeyote atakayeyajibu hayo maswali kiufasaha kuna kitu atakuwa amekielewa na kujifunza.
Weyeeeee Ally kijana wa Bwn. Mudy, unajua kwanini Wanaume wa kiarabu hawana haja ya kukimbilia bikira ya mbele ya wachumba zao?

Ni kwasababu ya style hii iliyowafanya waumi'nin wengi kuanza kufukua wenzao kunako Clowaqa.
 

Attachments

  • 2017-01-22-13-35-03-1650490119.jpeg
    2017-01-22-13-35-03-1650490119.jpeg
    23.3 KB · Views: 67
Dada toka kwenye uislamu kabisa ni dini ya uwongo hiyo. Muhammad alikuwa nabii wa uwongo ndiyo maana uislamu umezaa matunda yasiyofaa!
Soma maneno ya hikma ya Yesu katika Mathayo 7:15-20

15. "Jihadharini na manabii wa uwongo ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni mbwa-mwitu wenye kunyafua. 16 Kwa matunda yao mtawatambua. Je, watu hukusanya zabibu kutoka kwenye miiba au tini kutoka kwenye michongoma? 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa; 18 mti mzuri hauwezi kuzaa matunda yasiyofaa, wala mti uliooza hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa ndani ya moto. 20 Basi, kwa kweli kwa matunda yao mtawatambua watu hao.

Uislamu umeoza na matunda yake unayaona ya ugaidi, mauaji, uchinjaji, roho mbaya, nchi za kiislamu hazikaliki, uharamia, vita na udikteta. Wale wasiyo waislamu katika nchi za kiislamu wanauwawa ovyo na wabaguzi sana kwa watu weusi. Hiyo inadhihirisha kwamba dini ya kiislamu ina mashaka makubwa sana. TOKA HUKO DADA!
Ukitaka wafuasi wa Mudy wakutolee mapovu mkashifu mtume wao
Walah Cha moto utakiona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
View attachment 499631View attachment 499632

Kenkereeenkede....je wayajua yapi mengi mazito kuhusu huyu Shoga Maarufu mwenye waumi"nin wengi zaidi USA?

Huyu IMAM SHOGA anaitwa "Daaiye Abdullah"

Yeye ana waumin wengi sana huko USA na ana maimam wenzake wengine 7, unawajua?
Hivi ni huyo huyo mmoja tu? maana mara zote unamuweka huyo tu[/QUOTE]
Hapana....wapo 7 maarufu hadi wa South Africa

Unapenda niwaweke na wengine?
 
UTAITWA KAFIRI NA ADHABU YA KAFIRI NI KUONGENEZA CHEO... MREHEM........

What do I care? Yesu Christo Bwana wangu, aliambiwa na watu waovu kwamba yeye anatoa pepo kwa nguvu za Belzebuli, Belzebuli ambaye wao wanaye siku zote na hakuwahi kuwasaidia kutoa mapepo yao wenyewe.

Name calling ni tabia za shetani lakni hazibadilishi ukweli. Shetani kazi yake ni kuchinja kuiba na kuharibu ijapokuwa anatakaga aitwe malaika wa nuru kiasi hata cha kujigeuza na kujifananisha na malaika wa nuru lakini ukweli unabaki pale pale kwamba yeye ni shetnai.

Ukweli ndiyo huo haijalishi nani anasema nini lakini hii imani ni imani ya mashetani ambayo haina zaidi ya kuchinja, kuiba na kuharibu. Hakuna sehemu ilikokwenda pakawa na amani, uzima, kweli wala upendo. Ni mamwaga damu tu.
 
Kwa hapa Tz mtu kuwa na ndugu wa imani tofauti na yeye sidhani kama ni jambo la kushangaza hadi kuja kulizungumzia hapa,ila tatizo ni chuki zilizo mioyoni mwenu na kwa sababu humu Jf hatujuani basi ndiyo imekuwa pahala pa kuonesha hizo chuki.

Kwani hao wakina Mohamed said hawaoni wakristo jina humu? mbona yeye hajikukashifu ukristo kisa et kuna wakristo jina?

We ungekuwa mstaarabu na mwenye kupenda upendo hata usingekuja kutukana humu au unataka kusema unachokifanya humu ndiyo mafundisho ya Yesu yasemavyo?
Hapana si mafundisho ya YESU KRISTO hata kidogo.

Jaribu kuangalia kuwa kama huwa ninaanza kuikashifu dini ya mtu pasipo yeye kuanza kuukashifu Ukristo.

Kuna mijadala mizuri ya mafundisho, kukosoana na kueleweshana watu wa dini tofauti na naipenda ila sasa yategemea na mihemko na uelewa wa mtu huyo.
 
Ukitaka wafuasi wa Mudy wakutolee mapovu mkashifu mtume wao
Walah Cha moto utakiona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mapovu yanawatoka kila siku na mimi nasokomeza mapovu yao kwenye midomo yao mpaka waache upinga Kristo, lakini jamaa wabishi kama Muhammad wao mzee wa mashetani!
 
YEHOVA si wa kuelezewa sifa zake.

Allah ana sifa zipi?
Nilijua tu hutoweza kutaja sifa zake maana mnatumia tu hilo jina ila la YEHOVA ila mnayemkusudia ni mwengine kabisa mwenye sifa tofauti.Hahaha..
 
What do I care? Yesu Christo Bwana wangu, aliambiwa na watu waovu kwamba yeye anatoa pepo kwa nguvu za Belzebuli, Belzebuli ambaye wao wanaye siku zote na hakuwahi kuwasaidia kutoa mapepo yao wenyewe.

Name calling ni tabia za shetani lakni hazibadilishi ukweli. Shetani kazi yake ni kuchinja kuiba na kuharibu ijapokuwa anatakaga aitwe malaika wa nuru kiasi hata cha kujigeuza na kujifananisha na malaika wa nuru lakini ukweli unabaki pale pale kwamba yeye ni shetnai.

Ukweli ndiyo huo haijalishi nani anasema nini lakini hii imani ni imani ya mashetani ambayo haina zaidi ya kuchinja, kuiba na kuharibu. Hakuna sehemu ilikokwenda pakawa na amani, uzima, kweli wala upendo. Ni mamwaga damu tu.
Shetani si asili yao malaika ama sivyo?
 
Hapana si mafundisho ya YESU KRISTO hata kidogo.

Jaribu kuangalia kuwa kama huwa ninaanza kuikashifu dini ya mtu pasipo yeye kuanza kuukashifu Ukristo.

Kuna mijadala mizuri ya mafundisho, kukosoana na kueleweshana watu wa dini tofauti na naipenda ila sasa yategemea na mihemko na uelewa wa mtu huyo.
Tizama katika huu Uzi nani aliyeanza kuukashifu uislamu.

Na kama unajua unachokifanya humu ni kinyume na mafundisho ya Yesu sasa kwanini unaendelea kufanya?
 
Aisee nimesoma bila kuchoka.... Huyu mfalme yeye ni nani katika ulimwengu huu? Kwann mchinjaji anauhusisha uislam? Inamaana ndivyo Mungu alivyowaagiza? Hapana Hapana Hapana..... Huhitaji kuwa na phd.... Huuu ni USHETANI..... Kumbe kabla hujabadilisha dini ni lazima uielewe kwa kina.... Uislam Nooooooo!!!!!! Nitabanana na hayahaya makanisa.... Pamoja kwamba ni mengi lkn hakuna kanisa hata moja linalohukumu waumini wake KIFO......
Hapa kwetu Tanzania, na katika nchi nyinginezo adhabu ya kifo hutekelezwa. Katika shariah ya Kiislamu,adhabu ya kifo pia ipo. Tujadili kwa hoja, kuna tatizo lipi hasa? Kuuawa hadharani au kwa kuwa adhabu hiyo imetolewa katika nchi yenye Waislamu wengi?
 
Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.

Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Na ndio lengo la makala kukuogofya kipropaganda.
Hv kuna ndugu au mtu yoyote ulowahi kuskia kachinjwa alipoenda kuhiji..?
Tuwe makini na makala za mafasiq.
 
DUNIA HII HAKUNA MKAMIRIFUU SASA WEWE UNAYE KATA KICHWA CHA BINADAMU ..ETI KISA AMETENDA ZAMBI....ZAMBI ZENYEWE SASA NI MAMBO YA KIPUUZI TYUU.....JE WEWE HUJAWAI TENDA DHAMBI !????? NA KWA KADRI DUNIA INAVYOENDA UARABUNI MASHOGA WATAZIDI ONGEZEKA KILA SIKU.
 
Shetani si asili yao malaika ama sivyo?
Wewe mpaka leo shetani asili yake hujui ingawa tulishakuelewesha

Hii ni mara ya mwisho kukufundisha, wacha biblia iseme shetani alikuwa nani katika Ezekiel 28:13-15.
Soma uelewa shetani alikuwa nani
[emoji116]
13. Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, zabarijadi, topazi na yaspi; krisolito, shohamu na yashefi; yakuti, feruzi na zumaridi; nao ufundi wa viwekeo na wa vitundu vyako ulikuwa wa dhahabu ndani yako. Vilitayarishwa katika siku ya kuumbwa kwako. 14 Wewe ndiye kerubi aliyetiwa mafuta anayefunika, nami nimekuweka wewe. Ulikuwa katika mlima mtakatifu wa Mungu. Ulitembea katikati ya mawe yenye moto. 15 Hukuwa na kosa katika njia zako tangu siku ya kuumbwa kwako mpaka ukosefu wa uadilifu ulipoonekana ndani yako."
 
DUNIA HII HAKUNA MKAMIRIFUU SASA WEWE UNAYE KATA KICHWA CHA BINADAMU ..ETI KISA AMETENDA ZAMBI....ZAMBI ZENYEWE SASA NI MAMBO YA KIPUUZI TYUU.....JE WEWE HUJAWAI TENDA DHAMBI !????? NA KWA KADRI DUNIA INAVYOENDA UARABUNI MASHOGA WATAZIDI ONGEZEKA KILA SIKU.
We nae unaongea nini? we endelea kutukana tu ili kuonesha ukubwa wa imani ya Yesu uliyonayo.
 
Sijakuelewa, naomba ufafanue.
Ni kwamba mashetani asili yao ni malaika au tuseme kwamba mashetani ni malaika maana hakuna kiumbe alichoumba Mungu chenye kuitwa shetani.

Kwahiyo ukisikia shetani ujue ni malaika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom