Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Hiyo hukumu haisaidii kumaliza uhalifu, la sivyo wasingeendelea kuchinjwa kila kukicha mana yake ndo kwanza wanaongezeka

Inasaidia sana mkuu, watu wanaonyogwa ni wachache sana - lakini watu wanaishi kwa amani. Chukulia Dar watu wangapi kwa mwaka wanauwawa na majambazi au kwa mihadarati na hata huwezi kutembea bila hofu ya kuporawa au hata kuuwawa.
 
Wewe umeona sahihi mtu auawe hivyo? Jiulize nchi nyingine za kiislam kwa nn hazifanyi hivyo? Nikusaidie tu Ni kwa sababu zimeona mapungufu katika hilo.
Sasa kuhusu imani yangu sijaruhusiwa kukata wengine vichwa nimefundishwa kusamahe.
Ni yapi ambayo imani yako imekufundisha kusamehe na yapi imeruhusu kuchukua hatua? Mfano mtu amekuibia na ukaenda kutoa taarifa polisi nia ili akamatwe huyo mtu,je utakuwa umeenda kinyume na imani yako kwa maana ulitakiwa usamehe?
 
Hayo unayoongea yana uhalisia kuwa watu tusameheane tu?Hivi kungekuwa hakuna sheria zozote bali ni kusameheana tu unafikiri hali ingekuaje?
 
Mashetani hawa hakuna Mungu wa Namna hii. Mungu anapenda amani , msamaha na utii . hawa Mungu wao Shetani Hakika
Unaongea tu? mbona hatuwaoni kuzungumza habari za upendo na msamaha mkisikia wameuliwa magaidi kama kweli tunatakiwa tuishi kwa kusamee?

Halafu wakati unaona imani ya mwenzio ya ya shetani jiulize wewe imani yako shetani ameiacha kama ilivyo? Leo ukristo unanasibishwa na wazungu lakini angalia hayo maisha ya wazungu yalivyo,unaweza kusema maisha yao yana athari zozote za ukristo?

Imani iliyoshindwa kuleta athari zozote kama kiigizo chema katika maisha yenye kumpendeza Mungu.
 
Unajua ndiyo maana atheists wanahoji kwanini Mungu mwenye upendo na uwezo wote anaachia maovu kutokea? yote ni kwa sababu ya hizo hoja zenu na kwa sababu wengi hutoka upande huo huo.
 
mwenye kuhukumu ni Mungu pekee kwa nini Lakini Tujivike majukumu ya Mungu?? Daaaahh, kama ndo Imani muhhhh hapana kwa kweli
Unajua hata hakimu anapotoa hukumu hutoa hukumu kwa mujibu wa sheria isemavyo na si maamuzi yake tu,hivyo na watu wa dini/imani nao pia watakuwa wanapo wanapozitoa hukumu zao na si maamuzi yao tu.
 
Sasa hapo ndipo panapo shangaza kwamba Mungu amewaambia mtii serikali ambazo zinahukumu halafu wakati huo huo mmekatazwa kuhukumu! Unaweza kutoa ufafanuzi hapo?
 
Lini The bold aliwahi kutoa chanzo cha makala zake?
 
Wakati wewe unawatukana waislamu kuwa wanaongozwa na shetani je,wewe unashaangalia imani yako ina muelekeo wa kuongozwa na nani? Hebu tizama hizo sehemu zenye idadi kubwa ya waumini wa imani yako.
 
Dini zingine zimepitwa wakati hazifai tena..
Ili uifanye dini iendane na wakati inabidi ubadili na Mungu mwenyewe kabisa,na ndiyo maana kuna dini moja wamebadili Mungu kabisa ili dini yao iendane na wakati.
 
Hayo unayoongea yana uhalisia kuwa watu tusameheane tu?Hivi kungekuwa hakuna sheria zozote bali ni kusameheana tu unafikiri hali ingekuaje?
Huu ni muongozo wa imani ya Kikristo
Kijamii mtu akinikosea naenda,
au kumshtaki polisi
ama kumfungulia mashtaka mahakamani.
kwani Ukristo unaruhusu kutii miongozo ya mamlaka zinazotuongoza
Miongizo hiyo ni kutumia vyombo vya mamlaka hizo kama vyombo vya KIULINZI na vya KISHERIA
Nilichokataa ni kutumia imani kuhukumu watu waliotukosea.
Imani yangu inaelekeza kusamehe.
Kanuni ya mamlaka zetu hata kama usipomshtaki aliyekukosea
mfano aliyebaka mwanao,
Serikari itamkamata na itamshtaki na itamuadhibu kama mhalifu ilimradi ushahidi umepatikana hata bila idhini ya mtu aliyekosewa.
Yaani ukiua mtu kwa kukusudia, Serikali itakuhukumu kunyongwa hadi kufa hata kama hakuna mtu aliyekushtaki
Hivyo basi Imani ya Kikristo inawaongoza waumini wake kusamehe na kama kosa hilo Serikari itaamuru mkosaji akamatwe na kushtakiwa na kuadhibiwa, basi hatua zitachukuliwa na hapo Mkristo hawezi kupingana na maamuzi ya Serikari.
Imani ya Kikristo anaelekeza kwenye msamaha bila kuingilia maamuzi ya Serikali

Ndugu UHURU JR
 
Wakati wewe unawatukana waislamu kuwa wanaongozwa na shetani je,wewe unashaangalia imani yako ina muelekeo wa kuongozwa na nani? Hebu tizama hizo sehemu zenye idadi kubwa ya waumini wa imani yako.
Mimi natukana ama vitabu vyenu vinaeleza kuwa huyo kiongozi wenu anakiri kuamrishwa na Jinn na kila muislam anacho kijini chake anakua nacho siku hadi siku na kinamtuma kufanya atakalo.
Swali unaweza kunionyesha wapi nimetukana?

Sisi tunaongozwa na Mungu wa miungu, Bwana wa mabwana, Mfalme wa wafalme. Jesus Christ.
 
Huyo bwege anayependa kutamka kuhusau habari za majini hebu atyfafanulie jinu linafananaje?
 
Sasa hapo tofauti ipo wapi na Saudia? Maana hizo adhabu zinazofanyika Saudia ndiyo serikali hufanya hivyo,ina maana hata wewe ukienda saudia utapaswa utii serikali yao na ndiyo ina hizo adhabu au hukumu mnazozipinga.
 
Ndiyo nimekwambia ukiangalia sehemu zenye idadi kubwa ya waumini wa imani yako je,unaona muelekeo wa Maisha yao unaongozwa na Mungu au shetani? Isije ikawa unatukana wenzio imani yao ni ya shetani wakati nyie mnaishi kishetani,
 
We upo hapa kujifunza ama kutafuta chanzo cha makala??? Nenda maktaba ndo kunavyanzo!!!!
Kujifunza ni kitu kimoja na hicho unachojifunza ni kitu chengine,Unaweza ukafunzwa uongo au upumbavu.
 
Ndiyo nimekwambia ukiangalia sehemu zenye idadi kubwa ya waumini wa imani yako je,unaona muelekeo wa Maisha yao unaongozwa na Mungu au shetani? Isije ikawa unatukana wenzio imani yao ni ya shetani wakati nyie mnaishi kishetani,
Hujajibu swali, wapi nimetukana?
Hakuna hata sehemu moja kwenye Bible Yesu alikiri kuongozwa na shetani kufanya jambo.

Hao wengi unaosema, wanafanya hayo ya ushetani kwa reference ya Yesu aliamrisha, au hata kumpigania Yesu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…