Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Ndiyo dada. Nipo huko naangalia tu. Hata kule Chit Chat nakuonaga tu najinyamazia..... Hahaha, huwezi kunisoma. Labda tu nijitolee nikusalimie...Duuuuuh kumbe tupo wote kule broh? Sikuwa nikilijua hili.
Tayari Mkuu nimekuongeza kwa taglist..Bold niweke kwenye tag list yako tafadhali kama utaleta muendelezo uwe una tag member huku
kwa kuwa umeweka tahadhari nisiulize chochte maana nina maswali mengi
Tayari Mkuu..Niongeze kwenye list mkuu.
Hahahah.!! Kuna binadamu wana ndoto za ajabu kweli kweli..akatamani kuwa mchinjaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mno ,et anaenda kuwaombea msamaha wachinjwajiHahahah.!! Kuna binadamu wana ndoto za ajabu kweli kweli..