Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mkuu nimeisoma kwa makini ukweli. Mimi nipo ktk. Dini. Hio. Lkn hao. Wanaopatiwa. Hukum. Iyoo ukweli. Skuyao. Iyoo inakua. Ngum. Sana. Nakuomba muendelezo. Ungeuleta. Apaapa. Kwakua. Uko unako. Sema. Wengine. Hatupo
Boss hiyo simu mpya nini? Ondoa hizo nukta kila baada ya neno ili ueleweke vizuri!
 
Miss u mnooo ma swthat, toka juzi namuuliza broo ananiambia upo nkamwambia akupe salaam zangu
Acha tu Wii,kakako kaninyang'anya simu kaifungia kabatini.
Hapa tu nimeiba simu yake nimelog in [emoji24]
 
Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.

Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Dada toka kwenye uislamu kabisa ni dini ya uwongo hiyo. Muhammad alikuwa nabii wa uwongo ndiyo maana uislamu umezaa matunda yasiyofaa!
Soma maneno ya hikma ya Yesu katika Mathayo 7:15-20

15. "Jihadharini na manabii wa uwongo ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni mbwa-mwitu wenye kunyafua. 16 Kwa matunda yao mtawatambua. Je, watu hukusanya zabibu kutoka kwenye miiba au tini kutoka kwenye michongoma? 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa; 18 mti mzuri hauwezi kuzaa matunda yasiyofaa, wala mti uliooza hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa ndani ya moto. 20 Basi, kwa kweli kwa matunda yao mtawatambua watu hao.

Uislamu umeoza na matunda yake unayaona ya ugaidi, mauaji, uchinjaji, roho mbaya, nchi za kiislamu hazikaliki, uharamia, vita na udikteta. Wale wasiyo waislamu katika nchi za kiislamu wanauwawa ovyo na wabaguzi sana kwa watu weusi. Hiyo inadhihirisha kwamba dini ya kiislamu ina mashaka makubwa sana. TOKA HUKO DADA!
 
Kuna Ukristo Wa Uingereza Na Huu Wa Tanzania, Hivyo Hivyo Pia Kuna Uislamu Wa Saudi Arabia/Irani Na Huu Tanzania...

Hayo Makosa Yote Yaliotajwa Yanayopelekea Mtu Kuchinjwa Huwa Hayafanyiki Hapa Tz? Si Kuna Waislamu Hapa? Mbona Hawachinjwi?

Yale Makanisa Yanayofungisha Mashoga Ndoa Makanisani Huko Uingereza, Si Na Hapa Tanzania Yapo? Umeona Mashoga Wa Hapa Kwetu Wameenda Kanisani Kufunga Ndoa?

Sijui Kama Unanipata Mkuu???

Mimi Nawaza Dini Zote Ni UTAMADUNI Tu Wa Watu Fulani. Na Sisi WaAfrika Tukaingia Mazima Kuzifata (Kama Wewe Inaonesha Kabisa Una'Worship Dini)

N:B Acha Kufikiria Kupapatika Eti Mara Unataka Uingie Kwa Dini Hii Sijui Ile.... Acha!

Wewe Kama Umezaliwa Muislamu/Mkiristo Na Ukakulia Huko Basi Hiyo Ndio "Fate" Yako.

Ila Huku Ukizidi Kuimarisha Kuwa Unamuabudu Mungu (mwenye uwezo mkubwa) Na Sio Dini Husika.

Chagua Matendo Mazuri Tu Waliyotuletea Hawa Jamaa Wakisambaza Dini Zao (ukipima tu logically unayajua). Na Yale Mabaya Acha Nayo
Aisee nimesoma bila kuchoka.... Huyu mfalme yeye ni nani katika ulimwengu huu? Kwann mchinjaji anauhusisha uislam? Inamaana ndivyo Mungu alivyowaagiza? Hapana Hapana Hapana..... Huhitaji kuwa na phd.... Huuu ni USHETANI..... Kumbe kabla hujabadilisha dini ni lazima uielewe kwa kina.... Uislam Nooooooo!!!!!! Nitabanana na hayahaya makanisa.... Pamoja kwamba ni mengi lkn hakuna kanisa hata moja linalohukumu waumini wake KIFO......
 
Nawashangaaga kwa kweli si waende huko tuone kama wataweza kuishi...
Mbona watamkumbuka mzee magu anavo wadekeza wanamchezea wanamshika mpaka kidevu, izo nchi lazima uwe bandidu mafia daah! Chozi limenitoka sasa naamini yule husna kweli boss wake alimtupa ghorofani ayo majitu sijui yakoje[emoji20]
 
Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.

Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Asalam alaykum,

Naona wasiojua umuhimu na faida za hijja wanakupa "likes" kwa ulichoandika wakisahau kuwa uislamu sio ugaidi bali ni amani ila muislamu unaweza kutokufuata maamrisho ya dini yake na kuwa gaidi..

Kama una uwezo wa kwenda kuhiji jitahidi utimize jukumu hilo "kwa wenye uwezo" maana sio lazima "kwa wasio na uwezo" bali kwa wenye uwezo, ila kama hauna uwezo wa kwenda kuhiji usiwatishe na kuwakatisha tamaa wenye uwezo kwa reply kama hii maana huwezi jua umewafanya wangapi wasiende japo walikuwa na uwezo baada ya kusoma hicho ulichoandika..ila ukiwa na uwezo utaulizwa kwanini haukutimiza nguzo hiyo muhimu ya uislamu wakati uwezo ulipewa na aliyekuumba ila kama hauna uwezo hautoulizwa (mola wetu ndiye mjuzi zaidi).

Mwisho...jitahidi usome dini yako uongeze ufahamu zaidi hizi stori pia ujifunze kuwa si kila kinachofanywa na binadamu aliye muislamu anakifanya kwa faida ya uislamu kama reply yako ilivyo...fata kitabu cha muumba wako na timiza nguzo za uislamu ipasavyo (kadri utakavyojaaliwa) hayo mengine waachie wao..
 
Dada toka kwenye uislamu kabisa ni dini ya uwongo hiyo. Muhammad alikuwa nabii wa uwongo ndiyo maana uislamu umezaa matunda yasiyofaa!
Soma maneno ya hikma ya Yesu katika Mathayo 7:15-20

15. "Jihadharini na manabii wa uwongo ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo, lakini ndani wao ni mbwa-mwitu wenye kunyafua. 16 Kwa matunda yao mtawatambua. Je, watu hukusanya zabibu kutoka kwenye miiba au tini kutoka kwenye michongoma? 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa; 18 mti mzuri hauwezi kuzaa matunda yasiyofaa, wala mti uliooza hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa ndani ya moto. 20 Basi, kwa kweli kwa matunda yao mtawatambua watu hao.

Uislamu umeoza na matunda yake unayaona ya ugaidi, mauaji, uchinjaji, roho mbaya, nchi za kiislamu hazikaliki, uharamia, vita na udikteta. Wale wasiyo waislamu katika nchi za kiislamu wanauwawa ovyo na wabaguzi sana kwa watu weusi. Hiyo inadhihirisha kwamba dini ya kiislamu ina mashaka makubwa sana. TOKA HUKO DADA!
Twende taratibu mkuu namimi nataka niwasaidie ndugu zake! Watoke huko
 
Mbona watamkumbuka mzee magu anavo wadekeza wanamchezea wanamshika mpaka kidevu, izo nchi lazima uwe bandidu mafia daah! Chozi limenitoka sasa naamini yule husna kweli boss wake alimtupa ghorofani ayo majitu sijui yakoje[emoji20]
Magaidi
 
Na ukitegeshewa BMW unaenda Kuishi bila hata kuaga. Bora niwe kafr kuliko kuwa gaidi eti dini ya haki............ Kama leo sitapigwa ban kwa hasira zilivyonijaa kwa huu uzi....... .........
BMW na uhau. Kipi cha maana. Uende kisa BMW, ukifa hata Kama hujatumia jee.
Unaona wenyewe wanavyoishi.
Wacha tu wenye nchi yao waishi huko
 
Kuna Ukristo Wa Uingereza Na Huu Wa Tanzania, Hivyo Hivyo Pia Kuna Uislamu Wa Saudi Arabia/Irani Na Huu Tanzania...

Hayo Makosa Yote Yaliotajwa Yanayopelekea Mtu Kuchinjwa Huwa Hayafanyiki Hapa Tz? Si Kuna Waislamu Hapa? Mbona Hawachinjwi?

Yale Makanisa Yanayofungisha Mashoga Ndoa Makanisani Huko Uingereza, Si Na Hapa Tanzania Yapo? Umeona Mashoga Wa Hapa Kwetu Wameenda Kanisani Kufunga Ndoa?

Sijui Kama Unanipata Mkuu???

Mimi Nawaza Dini Zote Ni UTAMADUNI Tu Wa Watu Fulani. Na Sisi WaAfrika Tukaingia Mazima Kuzifata (Kama Wewe Inaonesha Kabisa Una'Worship Dini)

N:B Acha Kufikiria Kupapatika Eti Mara Unataka Uingie Kwa Dini Hii Sijui Ile.... Acha!

Wewe Kama Umezaliwa Muislamu/Mkiristo Na Ukakulia Huko Basi Hiyo Ndio "Fate" Yako.

Ila Huku Ukizidi Kuimarisha Kuwa Unamuabudu Mungu (mwenye uwezo mkubwa) Na Sio Dini Husika.

Chagua Matendo Mazuri Tu Waliyotuletea Hawa Jamaa Wakisambaza Dini Zao (ukipima tu logically unayajua). Na Yale Mabaya Acha Nayo
Aisee nimebaki nacheka tuu.... Punguza mahaba kidogo ili twende sawa... Bora ukirsto unajulikana tofauti za kuabudu.....lakini uislam Dunia nzima lugha ni moja ya kuabudia inamaana hata matendo ya kufanyiana ni lazima yafanane..... Hao unaosema wanaoana, hakuna palipoaandikwa ndani ya biblia inamaana wameyatunga wao.. Lakini kwenye kitabu cha kiislam kuua lipo ndani yake..... Kwahiyo ninyi huku msieua, mnapingana na kitabu chenu. Na huwezikubisha kuna mwenzio kataja mpk aya inayoruhusu k uua..... Ndo maana nikaweka wazi kwamba dini yenu mpk hapo ni ushetani......
 
Hiyo safi sana - inaleta amani katika nchi. Watu wanaishi kwa amani kwani hao wahalifu wachache wanakua mfano. Mtu huogopi kutembea usiku kuwa utauwawa au utaibiwa. Kwa vile amani ilivyoshamiri Watu wanashighulikia kujenga jamii badala ya kukaa kuogopa majambazi, wauwaji na wauza madawa ya kulevya. Angalia duka la dhahabu kama hili unakuta mlango uko wazi na wateja wanaingia na kutoka na hakuna hata mlinzi - je hii sio neema ?
Na makosa ya kuuwawa ni ukiuwa mtu, au kuuza madawa ya kulevya - makosa mengine yote ni kufungwa.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom