Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Badala ukalie makalio ww unakalia majungu 2 ss hapo muhammad anaingia vipi hapo na wakati ni sheria ktk viatbu vya dini ila hapo kwa saudi arabia naona kwa kuwa ni nchi ambayo inaongozwa kifalme na ni nchi ambayo viongozi wa ukoo huo wameongoza kwa kipindi kirefu mno ni kuwa ili kuwapa wa2 hofu ya ku resist na kutaka dermocracy ndio maana wanafanya hivyo ila dini ni kisingizio 2 we huoni kuwa ktk uzi hapo juu ni kuwa wa2 wanaouawa ni wengi mno kuliko ilivyo kawaida hiyo ina maana kuwa wapo kutetea siasa 2 n ndio maana mtume (saw) alipinga mno uongozi wa kifalme sana ila ukaja kuanzushwa tena hapo saudi arabia na ukoo wa (saudi/saud clan nadhani ni kwenye karne ya kama 18/19 )hivi .na ndiyo maana hamna nchi nyengine zinazo fanya hivyo .
Mkuu unapata tabu bure tu unafikiri watakuelewa.
 
Ahsante..umefanya ata kwa ahasi ya kuwa chief siwez kuzitembelea hizo inchi 4...Iran, soud Arabia..North Korea na Somalia..tena awa majiran zetu kabisa...Mda mwingine nimetaman taifa kubwa kama USA wazipigie hiz inch na kuondoa utawala wa dini..siamini kama wanainch wake wote wapo happy kwa hizo ukumu.
USA wafanyaje? mkuu umesoma Uzi vizuri kweli?
 
Kwa visa kama hivi ndio utajua undumila kuwili wa waamerika na Wazungu kwa ujumla, ili mradi wamehakikishiwa mafuta hawasemi lakini kwa ujumla huo ni ufirauni na si muda mrefu hii nchi ufalme wake utaanguka. Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga
Hv kwenye huu Uzi uko peke yako mpaka utukere wenzio kwa kukoti namna hii lol?
 
Asante mkuu...Moyo wote unatetemeka kwa woga
 
Jamani, nimeona uchungu sijawahi upata tena maisha yangu yote. Kidogo tu nikufuru niseme "Hakuna Mungu" ila nimekosea. Mungu yupo na anaruhusu haya yatendeke ili hukumu yake itendeke.
Huwezi mchinja mwenzio ka kuku tena huku ukifurahia kilio chake cha mwisho cha kuomba msaada. Hivi, mtu kama huyu, ukimkunjia kwenye kona usiku bila hilo jambia, atakaa arudie tena kweli?? Nyie mnaotengeneza majini, si mmtengenezee jini limtishe usiku na hilo jambia lake mara 2 wadhani atathubutu tena kwenda chinja wengine??
Ameiharibu kabisa dini yangu ya amani.
 
Mbona watamkumbuka mzee magu anavo wadekeza wanamchezea wanamshika mpaka kidevu, izo nchi lazima uwe bandidu mafia daah! Chozi limenitoka sasa naamini yule husna kweli boss wake alimtupa ghorofani ayo majitu sijui yakoje[emoji20]
Mijitu ipo kila mahali ipo mkuu na ndiyo maana hata Tz kuna mijitu inawafanyia ukatili maalbino kwa sababu za utajiri.
 
hatuwezi kuelewa watu wenye Majini na wenye undugu na Majini sisi ni binadamu
Kuwa na udugu na majini sio mbaya ila kuwa na udugu na shetani ndiyo mbaya,na ndipo unapoona Leo shetani anachezea imani ya ukristo atakavyo. Unaoona wasagaji na mashoga wanafunga ndoa kanisani bila tabu,kitu ambacho hakiwezi kufanyika kwenye imani zengine.

Hivyo utaona ubaya wa kuwa na undugu na shetani. Na kwa jinsi hali ilivyo kizazi kijacho kitakuwa kinaabudu picha ya Yesu waziwazi maana sasa tu tunajua ile picha wakristo wanavyoichukulia hivyo ni wazi Shetani ameshafanikiwa miaka ijayo anavuna tu.

Wakristo wanaacha kufuatilia hayo wao wamekazana kuonesha chuki zao kwa waislamu ,hii ndiyo sawa na kukesha kuwaombewa watu mabaya hadi unasahau nawe kujiombea mema.
 
Jamani, nimeona uchungu sijawahi upata tena maisha yangu yote. Kidogo tu nikufuru niseme "Hakuna Mungu" ila nimekosea. Mungu yupo na anaruhusu haya yatendeke ili hukumu yake itendeke.
Huwezi mchinja mwenzio ka kuku tena huku ukifurahia kilio chake cha mwisho cha kuomba msaada. Hivi, mtu kama huyu, ukimkunjia kwenye kona usiku bila hilo jambia, atakaa arudie tena kweli?? Nyie mnaotengeneza majini, si mmtengenezee jini limtishe usiku na hilo jambia lake mara 2 wadhani atathubutu tena kwenda chinja wengine??
Ameiharibu kabisa dini yangu ya amani.
Mwanzo umenihuzunisha ila mwishoni umenichekesha sana mkuu.

Mstari wako wa mwisho tulikuwa tunajadili hivi punde na Bold...ya kwamba watu kama hawa wanaiharibu image ya Uislam.
Inasikitisha sana kwakweli.
 
Wasaudi wanavyo nyanyasa na kupiga wafanyakazi kutoka nchi zingine. Waarabu hawana sharia za kuwalinda wafanyakazi wa nje na serikari haijali kama wakionewa. Nchi za kiarabu ni zakishenzi hazifai kuishi kabisa.


 
USA na wazungu pori ni machoko Sana, haki za wameona zinavunjwa Africa tu!?

Huko saudia na dini uchwara hizi hawaoni!?

USA na wenzake ni machoko.

Nimejisikia vibaya sana kwa sababu ya unafiki wa nchi za magharibhi.

Taarifa nzuri ila ya huzuni Sana.
 
USA na wazungu pori ni machoko Sana, haki za wameona zinavunjwa Africa tu!?

Huko saudia na dini uchwara hizi hawaoni!?

USA na wenzake ni machoko.

Nimejisikia vibaya sana kwa sababu ya unafiki wa nchi za magharibhi.

Taarifa nzuri ila ya huzuni Sana.

Ahhaaa waite machoko tu ila kwa msaada wa watu wa marekani USAID

USA baby...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom