Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Unaona utumbo unaoongea? Halafu unajiona uko sahihi?
Tumewaachia na dini yenu ya Mudi ya kuchinja watu hadharini. endeleeni kumtetea huyo Mungu wenu ambaye hana uwezowa kujitetea mwenyewe hadi mkamsaidie. Pumbaffu kabisa!
 
Hivi hii simulizi iliishia sehemu ya ngapi? Maana kutafuta ni ngumu sana
 
Mkuu hii simulizi iliishia wapi? Inakuwa ngumu sana kutafuta moja moja, Bora ungeweka link km ulivofanya Ile ya Mifereji ya Damu ielekeayo Ethiopia
 
Gavana hebu nitafsirie hili neno alilo weka Waberoya [emoji117] 'wakunturaba'
 
Habari za namna hii huniongezea Imani sana ktk Bwana Yesu kristo. Hapo ndipo humstaajabia mno Mungu aliye hai Bwana Yesu kristo na kuuamini na kuupenda Ukristo! Hebu tafakari hekima za Mungu huyu wa kweli na hai: Mathayo 5:38-48, Mathayo 6:14-15, na Yohana 4:4-11. TUOMBE : Bwana Yesu kristo, wewe ndiwe Mungu wa kweli na uliye hai. Muumba wa mbingu na nchi na viumbe vyote vilivyomo. Wewe ndiye Bwana na Mwokozi wa binadamu wote kwa kifo pale msalabani na kufufuka kwako. Ulitununua wanadamu kwa damu yako ya thamani Ulitutoa ktk utumwa wa dhambi. Tunakushukuru BWANA. tunakusihi usiwahesabie dhambi hii ya ukatiri watu hawa uliowaumba kwa sura na mfano wako. Wasamehe. Wape macho na masikio ya rohoni kwa Roho Mtakatifu watambue matendo wanayotenda ni machukizo mbele zako. Wajulishe kuwa hawako ktk imani sasa inayoweza kumrithisha mtu ufalme wa Mbinguni. Wasamehe BWANA Yesu kristo. Amen.
 
hawajamaa mi huwa na washangaa sana mana utasikia kaburini kuna nyoka mara kuna rungu
lakinni sasa wana vyo hubiri ni kutwa kifo na kaburi na jehanam sasa basi wanavyo tangulizana mbele za haki wao wenyewe hata kujitoa muhanga hadi soo,
mi huwa nawaita foolishpeople.hahahahahaha povu ruksa mamamamaaeeee
 
Hakuna binadamu mwenye haki ya kutoa uhai wa mwingine kwa sababu yoyote ile.huo ni unyama na uhuni na kutia watu hofu.

Adhabu ya kifo aachiwe Mungu mwenyewe

Kwanza hwkuna kosa kubwa kuliko lingine duniani ni mitazamo tu na dhana.

Kna maandiko mengine kwenye vitabu vya Mungu ni mitego ya nafsi zetu na hayatekelezeki sema kwa ubishi wetu tunatekeleza.

Sisi walinzi tunakuwa tumeshajitolea kufa...ndio maana tunalinda mali za thamani kubwa kwa kipisi cha nondo na kipande cha mti.

Karibuni lindoni
 
Mtumishi Asante kwa post yako nzuri! nami nawakumbusha kwamba Mungu hajabadilisha Comandiments zake kwa mwanadamu [emoji123][emoji106]
 
Usilam ni dini ya haki. Kwani ww unasemaje?
Haqi Mungu ni hii [emoji117] ukienda kinyume na hapo bado unadai ni haqi? ref; [emoji118] kabadili lini akaleta hiyo haqi [emoji46] [emoji348] [emoji348]
 
Hahaha umekuja wewe fala? Ile ban uliyokula hujakifumza tu. Ngoja leo nikutukane tusi ili nile ban kama wewe..
 
Hahaha umekuja wewe fala? Ile ban uliyokula hujakifumza tu. Ngoja leo nikutukane tusi ili nile ban kama wewe..
haqi ya kuua Mungu hajatupa wanadamu [emoji117] ni kazi ya ibilisi [emoji117] kama unabishia mimi [emoji125] [emoji125]
 
Nabisha. Yesu na Paulo ndio wauaji. Andiko lipo lakini kwa kuwa wewe ni kilaza unarushaga mamichoro tu naachana na wewe...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] toba haipo? afu uwe unawekaga ushahidi kama mgen dogo [emoji4]
usiachane na mimi weka andiko [emoji38]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] toba haipo? afu uwe unawekaga ushahidi kama mgen dogo [emoji4]
usiachane na mimi weka andiko [emoji38]
Niweke andiko au mchoro kama mamichoro unayowekaga?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…