Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Hivi wa dini ile mnafata taurati kweli hebu hukumianeni tuone mtakavyofanya
Maneno niliyoandika hapo nimeogopa tu ban lkn ni dini inayotakiwa ujiunge ukiwa huifahamu hasa ukiwa bado mdogo (haujui baya na zuri)
 
Asante @Thebold nimesoma mpaka nikajikuta machozi yananitoka.kuna nchi hazifa kuishi kabisa asee.
Na kuna watu wana roho za ajabu,Kama huyo mchinjaji.
Na ukitegeshewa BMW unaenda Kuishi bila hata kuaga. Bora niwe kafr kuliko kuwa gaidi eti dini ya haki............ Kama leo sitapigwa ban kwa hasira zilivyonijaa kwa huu uzi....... .........
 
Nabii wa Uwongo anafahamika kwa matunda yake, hayo ndiyo Matunda ya Muhamadi. Kila siku utawasikia wakijinadi kuwa ni dini ya haki. Ipo siku Dunia itakomesha unyama huo
Badala ukalie makalio ww unakalia majungu 2 ss hapo muhammad anaingia vipi hapo na wakati ni sheria ktk viatbu vya dini ila hapo kwa saudi arabia naona kwa kuwa ni nchi ambayo inaongozwa kifalme na ni nchi ambayo viongozi wa ukoo huo wameongoza kwa kipindi kirefu mno ni kuwa ili kuwapa wa2 hofu ya ku resist na kutaka dermocracy ndio maana wanafanya hivyo ila dini ni kisingizio 2 we huoni kuwa ktk uzi hapo juu ni kuwa wa2 wanaouawa ni wengi mno kuliko ilivyo kawaida hiyo ina maana kuwa wapo kutetea siasa 2 n ndio maana mtume (saw) alipinga mno uongozi wa kifalme sana ila ukaja kuanzushwa tena hapo saudi arabia na ukoo wa (saudi/saud clan nadhani ni kwenye karne ya kama 18/19 )hivi .na ndiyo maana hamna nchi nyengine zinazo fanya hivyo .
 
Kwa visa kama hivi ndio utajua undumila kuwili wa waamerika na Wazungu kwa ujumla, ili mradi wamehakikishiwa mafuta hawasemi lakini kwa ujumla huo ni ufirauni na si muda mrefu hii nchi ufalme wake utaanguka. Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga
 
Kwa visa kama hivi ndio utajua undumila kuwili wa waamerika na Wazungu kwa ujumla, ili mradi wamehakikishiwa mafuta hawasemi lakini kwa ujumla huo ni ufirauni na si muda mrefu hii nchi ufalme wake utaanguka. Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga
Next time usiquote uzi wote Mkuu... Inaleta usumbufu sana kwa wanaotumia app kwenye simu..

comment tu kawaida
 
Ahsante..umefanya ata kwa ahasi ya kuwa chief siwez kuzitembelea hizo inchi 4...Iran, soud Arabia..North Korea na Somalia..tena awa majiran zetu kabisa...Mda mwingine nimetaman taifa kubwa kama USA wazipigie hiz inch na kuondoa utawala wa dini..siamini kama wanainch wake wote wapo happy kwa hizo ukumu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…