Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha kujitetea said ni nchi ya kislamu na serikali Yake inaongozwa kwa sharia za kiislamu sasa utatetea non hapoWatu wamekimbilia kujadili uislamu kwa kuwa eti huyo mchinjaji Al Baeshi kasema yeye anatekeleza amri ya Mungu. Poleni wasomi wa Tanzania kwa uelewa mfinyu. Mchinjaji anasema ameajiriwa na serikali ya Saudi Arabia kuchinja watu wanaovunja sheria. Alipobanwa na swali kwamba hajisikii vibaya kuchinja watu akajibu eti anatekeleza amri ya mwenyezi Mungu!!! Hivi ni kwa nini asiseme ameagizwa hivyo na serikali ya Saudi Arabia na kwamba hiyo ndio ajira yake? Kwanini kamtaja Mungu kwani ndiye aliyemwajiri? Kuweni makini hapo!!! Ametumia uchochoro kumtaja Mungu ili yeye aonekane anachokifanya kizuri!! Hamjamshitukia tu?
Kwani wenu ha update sharia au tukupe vifungu uoneDuh!! kwa hiyo mungu wenu ana update sheria zake dah amakweli mungu wenu nomayaani anaandika mwenyewe afu anafanya marekebisho
Shukrani..Kazi safi sana hii!!
Ndugu kwa kweli cjakufahamu unacho ongea lakini wacha nikusisitize ya kwamba muuaji (akikutwa na hatia) hukumu yake ni kifo hivyo hivyo kwa mashoga, waizi wa kupindukia ( wala mali za umma ) na wauza unga ( wazee wa kuaribu vijana ). Sooo si kila hukumu ni mbaya kisa inatekelezwa na nchi za kiislamu.We acha kujitetea said ni nchi ya kislamu na serikali Yake inaongozwa kwa sharia za kiislamu sasa utatetea non hapo
Duh laana ya asili? Yani Mungu anaumba viumbe ambavyo ameshavilaani kabisa kisa tu waarabu?Hawa wa Arabu na waislam wana laana ya asili ndiomaana ni wakatili hivi
Kweni hujawahi jua kua Saudi Arabia na Israel kwa wakristo kwao wao ni sehemu ya kukusanya mapato kipindi cha kuhiji?na ai utakatifu kama tuaminivyo huku kwetu tulioletew dini.maeneo yote aliko pita mtume MUHAMMAD au YESU kote huko kuna mauaji ya kutisha na wala hawawakubali hao mitume hata kidogo.MUNGU wa kweli yuko ndani yako na ibada zako na matendo yako yenye kuwapa binadamu wengine amani badala ya machunguDuuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.
Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Mpnz ya mungu yapi?Hao walomuua sadam hawakumuua kama kutimiza mapenzi ya Mungu bali yao, huwezi kuwalinganisha na hili. Anyway lengo ni kupinga hizi adhab ambazo hazina chembe ya utu,au wewe umeona ni sawa hivo wanavyofanya.
Au na Wew unasubir zile 72...basi kama uko huko Toka haraka kabla Michael Mkuu hajawika...
Hawa wa Arabu na waislam wana laana ya asili ndiomaana ni wakatili hivi
Source... Maana wengine Sisi ni wakina tomaso... Otherwise tangazo lako ni La counter attackni kweli wazungu na waafrika wana upendo wa asili chini ya yesu katika ukristo na ndio yakawezekana haya
![]()
A Church of England priest has announced plans to marry his Nigerian gay
Mada kama hizi uzuri wake huonesha yaliyo mioyoni mwetu.Huu uzi wachangiaji wameshindwa kabisa kucontrol mihemko yao.
Source... Maana wengine Sisi ni wakina tomaso... Otherwise tangazo lako ni La counter attack
Source... Maana wengine Sisi ni wakina tomaso... Otherwise tangazo lako ni La counter attack
Wapi wamesema ni Christians Hao... au Mimi ndo sioni...anyway unadefend umafia wa King wenu lkn nasikia ni sheria Kutoka kwa Allah wenu Kwahyo sipingi Mkuu.Upendo mwengine huu kwa jina la yesu jamaa kaolewa
The Gay Marriage That Broke The Nigerian Internet | The Huffington Post
![]()