Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
The Bold nadhani hii habari au story umeikopi na au kuitafsiri kutoka kwenye vyanzo vya habari vyenye mrengo wa Kishia.
Nasema hivi kwa sababu japokuwa sikubaliani sana na utwala wa Kifalme wa Saudia lakini pia nafahamu vizuri kadhia y Al Nimr na nafahamu sana propaganda za jamaa wa Kishia hasa serikali ya Iran dhidi ya Utawala wa Kifalme wa Saudia.
Inshort sisi waislam Sunni pamoja na kutokukubliana katika baadhi ya mambo,lakini Shia huwa na chuki zaidi na hutumia juhudi kubwa kufanya propaganda dhidi ya mataifa yenye Sunni wengi.
Tahadhari yangu kwako bwana The Bold sijui wewe imani yako lakini unatakiwa kuwa makini sana kwenye issue sensitive kama hizi manake unaweza kufanya kazi ya watu fulani bila kutambua.
Hivi mod kwanini msipige BAN watu kama huyu wanaokoti Uzi wote mrefu wanaboa sana[emoji16]
 
Nchi za kiislamu zinavyo ruhusu waajiri kutesa wafanyakazi waafrika, kuwanyanganya passport na kutaka mapenzi nao. Waarabu na uislamu wao wabaya sana, wana laana kweli kweli.


Na ndo wanawala viboga wake zao .

Wake za waarabu wengi hawana marinda .

Halafu kujifanya swala tano kwa saana aisee.

Duniani unafiki mtupu.

Alijisemea Edo kumwembe.

"Maisha bila unafiki ..hayaendi"
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kiongozi mimi ni muislamu sio tu wakuzaliwa bali ni muislamu ambae nimezaliwa katika uislamu na kujifunza uislamu.Mzee mada hii imekuzidi sana uwezo.Kabla ya kuileta kwanza ulitakiwa utenge muda kujua ni kitu gani unataka ukiwasilishe kwa watu,pia uangalie sana chanzo ambacho unaitoa hii habari.

Kwa uchache ulitkiwa ufahamu yafuatayo,si tu ufahamu juu juu bali ufahamu kielimu.
Ulitakiwa ujue

1.Ni ipi nchi ya kiislamu.

2.Uijue saudia ni nchi ya aina gani

3.Hukmu kwa mujibu wa sheria,yaani kilugha na kiistilahi

4.Ujue ya kuwa kuzungumza jambo ambalo huna elimu ni dhambi

5.Ujue hukumu hazipimwi kwa hisia

Japokuwa sijui imani yako mzee.Ila kuitendea haki misingi ya kielimu nakushauri rudi tena kafanye utafiti au ungekuja kwa mtindo wa kuuliza swali ili ufundishwe lakini si kupotosha umma.

Kaka nina mengi sana ya kusema kuhusu uongo uliomo katika hii makala yako,na hakuna kitu kibaya kama kuwazulia watu uongo.
Ulipaswa wewe ufafanue tukuelewe sio kujidai muislamu kumbe ndo walewale.

Hata huo uislamu huujui Ila tambo unazijua[emoji53]
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ulipaswa wewe ufafanue tukuelewe sio kujidai muislamu kumbe ndo walewale.

Hata huo uislamu huujui Ila tambo unazijua[emoji53]
Kijana nazijua sana kanuni za kujadiliana.Siwezi kufanunua sehemu ambayo natakiwa kuuliza swali lisilotaka maelezo,ndio maana kuna kanuni moja ya msingi ambayo kila mtu mwenye akili timamu anatakiwa kuijua kanuni hiyo ameizungumzia vyema mwanachuoni bin Abdulwahaab katika kitabu chake kiitwacho "Usulu Thalatha (Misingi mitatu),anasema "Tambua Mola akuhurumie,na elimu ni kabla ya kauli na kutenda".Yaani jambo la kwanza ni kujifunza kwanza kabla ya kuongea au kutenda,sasa wa leo wanaenda kinyume na uhalisia ndio maana unakuta makosa mengi sana katika maandiko,si jambo jema kuzungumza ambalo hauna elimu nalo.

Nakuhusu uislamu,mimi bado ni mwanafunzi sana juu ya dini yangu ninajifunza na nitaendelea kujifunza mpaka naingia kaburini huo ndio utakuwa mwisho wangu.

Chukua akiba ya maneno hii,mjinga ni yule ambaye hajui kutofautisha baina ya vitu viwili vyenye kufanana.Sasa naona baada ya kushindwa kutoa hoja dhidi ya kile nilichokihudhurisha,unasingizia ya kuwa mimi naleta tambo...Je unajua maana ya tamko tambo.

Someni vijana...Hizo elimu za watu,msitake kupaa wakati hamna mbawa...Nimewasilisha.Ukitaka kujadiliana na mimi,toa hoja sio malalamiko.
 
Kijana nazijua sana kanuni za kujadiliana.Siwezi kufanunua sehemu ambayo natakiwa kuuliza swali lisilotaka maelezo,ndio maana kuna kanuni moja ya msingi ambayo kila mtu mwenye akili timamu anatakiwa kuijua kanuni hiyo ameizungumzia vyema mwanachuoni bin Abdulwahaab katika kitabu chake kiitwacho "Usulu Thalatha (Misingi mitatu),anasema "Tambua Mola akuhurumie,na elimu ni kabla ya kauli na kutenda".Yaani jambo la kwanza ni kujifunza kwanza kabla ya kuongea au kutenda,sasa wa leo wanaenda kinyume na uhalisia ndio maana unakuta makosa mengi sana katika maandiko,si jambo jema kuzungumza ambalo hauna elimu nalo.

Nakuhusu uislamu,mimi bado ni mwanafunzi sana juu ya dini yangu ninajifunza na nitaendelea kujifunza mpaka naingia kaburini huo ndio utakuwa mwisho wangu.

Chukua akiba ya maneno hii,mjinga ni yule ambaye hajui kutofautisha baina ya vitu viwili vyenye kufanana.Sasa naona baada ya kushindwa kutoa hoja dhidi ya kile nilichokihudhurisha,unasingizia ya kuwa mimi naleta tambo...Je unajua maana ya tamko tambo.

Someni vijana...Hizo elimu za watu,msitake kupaa wakati hamna mbawa...Nimewasilisha.Ukitaka kujadiliana na mimi,toa hoja sio malalamiko.
NAONA UNAMWAGA POVU KUTETEA UKATILI
 
Haya yote ni matokeo chanya yatokanayo na UISLAM na practice za Muhammad kulingana na mafundisho ya Allah(the moon god). Hivyo hata wangeimba dunia nzima kuhusu kuachiwa kwa huyo binti, isingetokea. by the way, UISLAM unamchukulia kiumbe mwanamke ni kiumbe duni sana na pia ndio viumbe watakaokuwa wakazi wa motoni.
Kwenye kesi yeyote, mwanamke ni nusu ya mwaname. hivyo ili ushahidi ukubalike lazima wawe wanawake 2 kama mashahidi. Sasa hapo usitegemee kupata hukumu sahii kwa huyo binti.
mfano ni kesi ya kuzini.
mwanamke mmoja alibakwa huko Nigeria tena na mjombake akapata mimba. walimhukumu kuuwawa, mbakaji hata kofi hakupigwa.
Hebu jiulize hapo wewe uliye wakike unawezaje kujibaka na kupelekea upate mimba.

ndio maana tunaongea kuwa UISLAM ni dini ya shetani/Jinn/Lucifer/pepo mpenda maovu, lakini wanaitetea kuliko uhai wao.
 
Naomba nichukue nafasi kusema kuhusu makala.
Kwanza kabisa niseme umehitahidi kwa kiasi chake kuandika uhalisia ila kuna mapungufu ambayo inabidi pawekwe sawa.
Katika uislam chanzo kikuu cha sheria ni Qur'an tukufu na hadithi za Mtume sala na salamu zimfikie. Hukumu zote zinatolewa humo na kwa mujibu wa imani yetu hukumu zote ndani yake zina maslahi kwa jamii na kuzitekeleza kwake ni kuutengeneza umma na kuacha kuzitekeleza ni kuungamiza ummah.
Tuje moja kwa moja kwenye swala kubwa uliloligusia.
Hukumu ya mtu kuuliwa ni moja kati ya hukmu zilizopo ndani ya uislamu na hii ni kwa mtu kufanya madhambi kama vile kuua,uchawi, zinaa(kwa aliye ndani ya ndoa), ushoga,kulawiti, kutoka katika dini, kutoka katika utii wa kiongozi wa kiislam. N.k

Utendewaji kazi wa hukumu hizo unatofautiana kulingana na kosa.
Sheria ya uislam imetaka katika kila jambo lifanywe kwa uzuri. Vile vile katika kuua basi ifanywe vzr katika hilo.
Nitoe mfano. Ikiwa kuna Mbwa kichaa ambae imethibi madhara yake kwa jamii ikatakiwa auliwe uislam unataka auliwe kifo cha kumharakisha na huko nd kufanya uzuri katika kuua. Iwe kwa kumpiga risasi moja ya kichwa au rungu moja litaloondoa uhai wake mara moja badala ya kumtesa mpaka akaja kufa baada ya kitambo flani.
Hivyo basi katika uislam. Maelekezo yaliyokuja kueleza namna gani mfanya kosa atatkiwa auliwe yametoka kwa mola wetu nae ni mjuzi wa mambo na namna hiyo ndo iliyo bora kuliko zengine zozote.
Utekelezaji wa hukumu ya kifo kwa kupiga panga moja shingoni ni utekelezaji ambao unamharakisha alikatwa kukata roho kuliko namna nyingine za uuaji. Hivyo kwetu sisi hii ni namna nzuri.
Tukirejea nyuma kidog nimesema utekelezaji haupo wa aina moja. Nayo ni kulingana na kosa. Kwa mtu aliezini haki yupo katika ndoa halali huyu atauliwa kwa kuchimbiwa shimo kisha atawekwa humo ili hali kichwa kimebaki nje, na atarushiwa mawe saizi ya kati mpaka atakapo kufa. Adhabu hii inamtakasa mtendaji kosa na dhambim aliyoifanya hivyo hiyo inakua ndio toba yake na hata pata adhabu tena kwa kosa lile.
Nb. Kutokana na ubaya wa dhambi aliyoifanya ndo mana akahukumiwa hivyo. Pia vimewekwa vidhibiti vikubwa ili kuthibitisha mtu ametenda dhambi hiyo na sina kumbu kumbu kama iliwahi kuthibitishwa kwa vidhibiti hivyo nachokumbuka ni kua watendaji wenyewe wa dhambi hiyo walijipeleka kwa kiongozi ili waadhubiwe na mwishowe wasafishike kutokana na dhambi hiyo.
Naendelea
 
Katika mambo ambayo yanaleta maafa makubwa sana na kumwaga damy nyingi za watu na mambano ya mapinduzi ya kiutawala.
Uislam umetaka hivi.
Panapokuwepo na mtawala wa waislam katika nchi tupigie mfano Saudia ikiwa watu wanaishi katika nchi hiyo kwa amani na wakawa na uhuru wa kutekeleza dini yao wanatakiwa wamti kiongozi huyo kwa lazima na hata kama atakua na madhaifu.
Ikiwa hali ni hiyo yoyote atakaeleta vyoko au kuashiria kumpinga kiongozi kwa maana ya kutaka kumobilize watu wafanye mapinduzi basi kumwagika damu yake mtu huyo mmoja au kikundi hiko cha watu wachache ni bora kuliko wakabaki na mwishowe zikamwagika damu nyingi za waislam.(mtakumbuka ya Libya) hivyo sheria imetaja kwamba hukumu yao ni kuuwawa ili pasije endeleza machafuko kwa mantiki hiyo yaliyotokea kwa vijana hao ndio yaliyotakiwa.(ikiwa habari yako imethibiti na ipo kama nilivyoeleza mimi).
 
Na ndo wanawala viboga wake zao .

Wake za waarabu wengi hawana marinda .

Halafu kujifanya swala tano kwa saana aisee.

Duniani unafiki mtupu.

Alijisemea Edo kumwembe.

"Maisha bila unafiki ..hayaendi"
Unazungumza kishabiki
Huwezi fanya attack kwa dini ya kiislam.
Muislam mmoja akifanya kosa, kosa lake lisinasibishwe na dini moja kwa moja. Na kama kuna haja ya kufanya hivyo njoo na uthibitisho kuoneshwa ameelekezwa hivyo na dini yake.
Jambo ambalo hutaweza.
Egemeza kosa kwa mkosaji sio dini yake
 
Naomba nichukue nafasi kusema kuhusu makala.
Kwanza kabisa niseme umehitahidi kwa kiasi chake kuandika uhalisia ila kuna mapungufu ambayo inabidi pawekwe sawa.
Katika uislam chanzo kikuu cha sheria ni Qur'an tukufu na hadithi za Mtume sala na salamu zimfikie. Hukumu zote zinatolewa humo na kwa mujibu wa imani yetu hukumu zote ndani yake zina maslahi kwa jamii na kuzitekeleza kwake ni kuutengeneza umma na kuacha kuzitekeleza ni kuungamiza ummah.
Tuje moja kwa moja kwenye swala kubwa uliloligusia.
Hukumu ya mtu kuuliwa ni moja kati ya hukmu zilizopo ndani ya uislamu na hii ni kwa mtu kufanya madhambi kama vile kuua,uchawi, zinaa(kwa aliye ndani ya ndoa), ushoga,kulawiti, kutoka katika dini, kutoka katika utii wa kiongozi wa kiislam. N.k

Utendewaji kazi wa hukumu hizo unatofautiana kulingana na kosa.
Sheria ya uislam imetaka katika kila jambo lifanywe kwa uzuri. Vile vile katika kuua basi ifanywe vzr katika hilo.
Nitoe mfano. Ikiwa kuna Mbwa kichaa ambae imethibi madhara yake kwa jamii ikatakiwa auliwe uislam unataka auliwe kifo cha kumharakisha na huko nd kufanya uzuri katika kuua. Iwe kwa kumpiga risasi moja ya kichwa au rungu moja litaloondoa uhai wake mara moja badala ya kumtesa mpaka akaja kufa baada ya kitambo flani.
Hivyo basi katika uislam. Maelekezo yaliyokuja kueleza namna gani mfanya kosa atatkiwa auliwe yametoka kwa mola wetu nae ni mjuzi wa mambo na namna hiyo ndo iliyo bora kuliko zengine zozote.
Utekelezaji wa hukumu ya kifo kwa kupiga panga moja shingoni ni utekelezaji ambao unamharakisha alikatwa kukata roho kuliko namna nyingine za uuaji. Hivyo kwetu sisi hii ni namna nzuri.
Tukirejea nyuma kidog nimesema utekelezaji haupo wa aina moja. Nayo ni kulingana na kosa. Kwa mtu aliezini haki yupo katika ndoa halali huyu atauliwa kwa kuchimbiwa shimo kisha atawekwa humo ili hali kichwa kimebaki nje, na atarushiwa mawe saizi ya kati mpaka atakapo kufa. Adhabu hii inamtakasa mtendaji kosa na dhambim aliyoifanya hivyo hiyo inakua ndio toba yake na hata pata adhabu tena kwa kosa lile.
Nb. Kutokana na ubaya wa dhambi aliyoifanya ndo mana akahukumiwa hivyo. Pia vimewekwa vidhibiti vikubwa ili kuthibitisha mtu ametenda dhambi hiyo na sina kumbu kumbu kama iliwahi kuthibitishwa kwa vidhibiti hivyo nachokumbuka ni kua watendaji wenyewe wa dhambi hiyo walijipeleka kwa kiongozi ili waadhubiwe na mwishowe wasafishike kutokana na dhambi hiyo.
Naendelea

Ningependa utufafanulie utekelezaji wa hizi hukumu hasa sehemu hii MTU AKITOKA KWENYE DINI(nadhani hapa unaongelea kuuacha UISLAM) kwanini auliwe/uuwawe? ili hali quran inasema hakuna kulazimishana katika kuufata UISLAM(no compulsion in religion).
Alla anahofia nini binadamu akiuacha UISLAM? hali yakuwa DINI sawa na nyingine?

nimeona wewe unaweza kuwa msaada kwa wengi kujifunza kwa jinsi unavyoandika.
 
Haya yote ni matokeo chanya yatokanayo na UISLAM na practice za Muhammad kulingana na mafundisho ya Allah(the moon god). Hivyo hata wangeimba dunia nzima kuhusu kuachiwa kwa huyo binti, isingetokea. by the way, UISLAM unamchukulia kiumbe mwanamke ni kiumbe duni sana na pia ndio viumbe watakaokuwa wakazi wa motoni.
Kwenye kesi yeyote, mwanamke ni nusu ya mwaname. hivyo ili ushahidi ukubalike lazima wawe wanawake 2 kama mashahidi. Sasa hapo usitegemee kupata hukumu sahii kwa huyo binti.
mfano ni kesi ya kuzini.
mwanamke mmoja alibakwa huko Nigeria tena na mjombake akapata mimba. walimhukumu kuuwawa, mbakaji hata kofi hakupigwa.
Hebu jiulize hapo wewe uliye wakike unawezaje kujibaka na kupelekea upate mimba.

ndio maana tunaongea kuwa UISLAM ni dini ya shetani/Jinn/Lucifer/pepo mpenda maovu, lakini wanaitetea kuliko uhai wao.
Unajua sisi tunaposema watu msome tunamaanisha mjue sio kila wa kala.Huwezi kuufikia ukweli kwa kutumia hisia na mihemko isiyo kamili.Leo hii kwa uchachefu wa elimu unaijengea hoja nchi ya NIGERIA juu ya uislamu ? Hiki ni kituko cha mfano wake,nchi ya Nigeria haihukumu kwa sheria za kiislamu.Sababu sheria za kiislamu hutekelezwa chini ya utawala wa kiongozi wa kiislamu yaani dola lazima ifuate uislamu nje ndani.Ukitaka kuzungumzia nchi inayofata sheria za kiislamu jengea hoja nchi ya Saudi Arabia sio hizo nyingine.

Ukija kuzungumzia suala la uislamu ni dini ya shetani,hapo kilugha umezungumzia vitu vitatu viwili ni kimoja na cha tatu hakiwi bila ya cha kwanza.Uisalmu ni njia kwayo inakupeleka kufikia lango la kuumbwa kwetu.Unaposema uislamu ni dini ya shetani,watu wa lugha watakushangaa sana,yaani tangu lini sifa ikamilikishwa ? Na ukisema uislamu dini ya majini kauli yako si sahihi sababu sababu uislamu ni dini kwa ajili ya viumbe wote yaani majini na binadamu,na majini ni viumbe ambao wapo wema na wapo waovu kama ilivyo kwa binadamu.Sasa kwa ujinga wako na kupeleka mambo kihisia kunakupelekea wewe kusema vitu ambavyo havipo.

Ukisema ukisema kwamba dini ya kiislamu imemfanya vipi mwanamke kuwa dini.Hakika hutoweza kuthibitisha hilo kielimu.
 
Ningependa utufafanulie utekelezaji wa hizi hukumu hasa sehemu hii MTU AKITOKA KWENYE DINI(nadhani hapa unaongelea kuuacha UISLAM) kwanini auliwe/uuwawe? ili hali quran inasema hakuna kulazimishana katika kuufata UISLAM(no compulsion in religion).
Alla anahofia nini binadamu akiuacha UISLAM? hali yakuwa DINI sawa na nyingine?

nimeona wewe unaweza kuwa msaada kwa wengi kujifunza kwa jinsi unavyoandika.
Kwanza kabisa namtakasa mola wangu kutokana na kua na hofu ya watu kuuhama uislam.
Ni kweli uislam haulazimishi mtu kuja katika uislam. Ikiwa mtu kachagua dini isiyokua uislam, uislam hauna shida nae.
Ila mtu anapokua katika uislam kisha akatoka huyu ni mwenye kufarakanisha watu(huyu amefanya usaliti mkubwa) na huenda akawa chanzo cha kufitini waislam wengine walitulizana katika dini.
Kwanza niseme mtu anapotoka katika uislam hukumu hii hamfatilizi papo kwa papo. Bali pamewekwa muda wa mtu huyu kulinganiwa kurudi katika dini na pindi atapokataa kurudi hukumu itafata mkondo. Pia hukumu hii haitekelezwi kiholela kwa maana watu tu wamtaani wachukue hatua, hii husimamiwa na mtawala wa waislam katika nchi husika. Wala wenye kuthibitisha mtu kutoka katika uislam sio mimi wala watu wengine wa mtaani tu ila wanakua ni wanazuoni wenye kutegemewa katika mas-ala ya dini(kutoa fatwa).
 
Haya yote ni matokeo chanya yatokanayo na UISLAM na practice za Muhammad kulingana na mafundisho ya Allah(the moon god). Hivyo hata wangeimba dunia nzima kuhusu kuachiwa kwa huyo binti, isingetokea. by the way, UISLAM unamchukulia kiumbe mwanamke ni kiumbe duni sana na pia ndio viumbe watakaokuwa wakazi wa motoni.
Kwenye kesi yeyote, mwanamke ni nusu ya mwaname. hivyo ili ushahidi ukubalike lazima wawe wanawake 2 kama mashahidi. Sasa hapo usitegemee kupata hukumu sahii kwa huyo binti.
mfano ni kesi ya kuzini.
mwanamke mmoja alibakwa huko Nigeria tena na mjombake akapata mimba. walimhukumu kuuwawa, mbakaji hata kofi hakupigwa.
Hebu jiulize hapo wewe uliye wakike unawezaje kujibaka na kupelekea upate mimba.

ndio maana tunaongea kuwa UISLAM ni dini ya shetani/Jinn/Lucifer/pepo mpenda maovu, lakini wanaitetea kuliko uhai wao.
Hufanyi uadilifu katika kuzunguma.
Huoni aibu kusema Allah ni the moon god.
Yani unaongopa mchana kweupu bahat mbaya sana hautaoata nafasi ya kuongopa kisha ukazingatiwa katika porojo zako.
Kwanza nisafishe hapa: ALLAH kwetu sisi ni mola muumbaji wa kila kitu, na yeye pekee ndie mwenye kustahiki kuabudiwa bila kushirikishwa.
Allah hajamuumba mwanaume sawa na mwanamke. Kila mtu anafahamu mwanaume na mwanamke hapo sawa kuanzia maumbile yenye kudhihirika mpaka yasiyodhihirika. Pia kumakinika katika mambo baina ya mwanaume na mwanamke ni tofauti na hayo ndo maumbile waliyoumbiwa.
Hivyo basi hata lilipokuja swala la sheria zao hawa wawili zinatofautiana na hapa ni kuonesha jinsi gani Allah ana hekma. Haikua sawa awatofautishe katika maumbile alowaumba nayo kisha katika maswala smya sheria na hukmu wafanane.
Pia hakuna swala la kusema wanawake wao ni wa kwenda motoni huu ni upotoshaji wa ajabu usio na maana. Msemaji hajui hata ameyatoa wapi maneno yake. Kiufupi amekurupuka.
 
Acha uhuni.
Usiwe wa kwanza kutukana.
Staki kuamini hivi ndo ufahamu wako wa kujibu maswali ulipoishia
kumbe yaliyofanywa na mudy ni matus sasa mbona mnatetea ukatili uliokwenye sheria za kislamu
 
Hufanyi uadilifu katika kuzunguma.
Huoni aibu kusema Allah ni the moon god.
Yani unaongopa mchana kweupu bahat mbaya sana hautaoata nafasi ya kuongopa kisha ukazingatiwa katika porojo zako.
Kwanza nisafishe hapa: ALLAH kwetu sisi ni mola muumbaji wa kila kitu, na yeye pekee ndie mwenye kustahiki kuabudiwa bila kushirikishwa.
Allah hajamuumba mwanaume sawa na mwanamke. Kila mtu anafahamu mwanaume na mwanamke hapo sawa kuanzia maumbile yenye kudhihirika mpaka yasiyodhihirika. Pia kumakinika katika mambo baina ya mwanaume na mwanamke ni tofauti na hayo ndo maumbile waliyoumbiwa.
Hivyo basi hata lilipokuja swala la sheria zao hawa wawili zinatofautiana na hapa ni kuonesha jinsi gani Allah ana hekma. Haikua sawa awatofautishe katika maumbile alowaumba nayo kisha katika maswala smya sheria na hukmu wafanane.
Pia hakuna swala la kusema wanawake wao ni wa kwenda motoni huu ni upotoshaji wa ajabu usio na maana. Msemaji hajui hata ameyatoa wapi maneno yake. Kiufupi amekurupuka.
allah ni muuaji mbona hilo lipo wazi ndio sababu mnajilipua hovyo kwa kumwaga damu zisizo na hatia na mmeamrishwa na mkitabu wenu wa kikatili

Quran 4:89

Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.
 
Kumbe hauko serious mzee.Nikajua uko serious aisee....
Quran 4:89

Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom