Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo hukwenda kwenye fuu fuuu fuuuu...karibu Kigogo sambusa gavana upate rost ndizi View attachment 708854 unaweza ukashushia na bapa [emoji117]Paulo kutomtambua Mungu-Yehova
Katika shuhuda za Biblia tukufu zilizotangulia hapo juu, tumeona jinsi Paulo alivyosimama imara na kuihubiri miungu ya kipagani (kama akina Zeu na Herme) kwa jina la "Yesu". Aidha, akitilia mkazo msimamo wake huo (wa kufundisha miungu hiyo ya kipagani peke yake), Bwana Paulo alionyesha wazi kuwa hamtambui kabisa Mungu-Yehova. Uthibitisho wa hilo tunaupata katika kauli zake (Paulo) zifuatayo:
"Maana imani ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na mwokozi wetu, ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafisha watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema". (Tito 2:11-14)
"Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili, ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake, ambao mababu ni wao, katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu mwenye kuhimidiwa milele. Amina." (Warumi 9:3-5).
Katika kuonyesha kwamba hamtambui kabisa Mungu-Yehova na kwamba amedhamiria kumhubiri peke yake mungu-Zeu na Herme kwa jina la "Yesu", Bwana Paulo hapa anadai kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" ni mungu mkuu na ndiye mungu aliye juu ya mambo yote! Kwa maana kwamba kama kuna Mungu mwingine yoyote basi Mungu wake huyo ndiye zaidi (mkuu)!
Hata hivyo, lakusikitisha, wakati Bwana Paulo anawafundisha wanadamu kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" kuwa ndiye mkuu, tayari Bwana Yesu mwenyewe alikwishafundisha kwamba Mungu-Yehova ndiye Mkuu kuliko yeye (Yesu a.s.) (tazama Yohana 14:28).
Hii yote ni kudhihirisha kuwa Mungu aliyemhubiri Paulo ni mungu yule yule mwenye asili ya miungu ya wapagani (kama akina Zeu na Herme) na kamwe siyo Mungu-Yehova ambaye ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wengine wote (a.s.) aliowatuma duniani.
leo hukwenda kwenye fuu fuuu fuuuu...karibu Kigogo sambusa gavana upate rost ndizi View attachment 708854 unaweza ukashushia na bapa [emoji117] View attachment 708862 au [emoji117] View attachment 708863 siku hizi kuna [emoji117] View attachment 708866 [emoji39] [emoji39] Alihamdulilahi [emoji120]
mate yakutoka hau [emoji4] usijifiche kula hadharani [emoji38] [emoji38] kinacho takiwa kama allah alivyo agiza [emoji117]Ndio imekuwa injili yako mpya hiyo unayoihubiri chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu wako?
Mgen utakuwa na matatizo makubwa sana ....mate yakutoka hau [emoji4] usijifiche kula hadharani [emoji38] [emoji38] kinacho takiwa kama allah alivyo agiza [emoji117] View attachment 709962 achana na mabano matini hiyo [emoji117] View attachment 709965 [emoji39] [emoji39] kula dogo ruksa [emoji38] [emoji38]
Mgen utakuwa na matatizo makubwa sana ....
Unategemea Quran katika kujenga hoja wakati Wuran hiyohiyo unaitukana kila siku.
Miki nadhani akili zako si nzuri. Upelekwe Mirembe....
Yule aliyemkalia kulia kushoto Yesu kule nyikani?Asante malyenge [emoji120] kwa taarifa hujui kwamba hujui[emoji15] [emoji12] Ujue kwamba quran imechanganya Kweli ya Mungu na yule anae wakalia kulia kushoto mbele na nyuma ili awapoteze wengi wajanja tunashika yale ya Mungu ilaha @$/ wanamini yoote ni ya Mungu [emoji4] halafu nitake radhi mimi sio mtukanaji bali ni mtumishi wa Yesu anae Hubiri habari Njema ya Wokovu wetu sote [emoji123] [emoji106]
huyo huyo huyo! kumbe unamjua eeh [emoji46] [emoji38] [emoji38]Yule aliyemkalia kulia kushoto Yesu kule nyikani?
Namjua. Maana alimwingia Yesu siku arobaini hali wala hanywi. Ndipo wakasingizia eri alufunga siku arobaini kumve alikuwa na kitu kimemwingia mwilini. Alipomwachia ndio mkaanza kuiga kufunga.huyo huyo huyo! kumbe unamjua eeh [emoji46] [emoji38] [emoji38]
Namjua. Maana alimwingia Yesu siku arobaini hali wala hanywi. Ndipo wakasingizia eri alufunga siku arobaini kumve alikuwa na kitu kimemwingia mwilini. Alipomwachia ndio mkaanza kuiga kufunga.
Mapungufu ya mtume Paulo yamesababisha wewe usitahiriwe...nikisema nakujibu kisilamu silamu nauonea uislamu [emoji4] sababu hicho ulicho andika hata abdul qathem haja kufundisha[emoji15] licha ya mapungufu yake [emoji4] ila nina hakika umebugia ndoba [emoji38] [emoji38] [emoji38]
namgeza abdul qathem [emoji4] Paulo alitahiriwa [emoji117]Mapungufu ya mtume Paulo yamesababisha wewe usitahiriwe...
Wewe je? Hebu weka ya kwako tuone...namgeza abdul qathem [emoji4] Paulo alitahiriwa [emoji117] View attachment 710217 niwekee naye ab(ul qathem kama alitahiriwa[emoji4]
Wewe je? Hebu weka ya kwako tuone...
[emoji8] [emoji39]Msura wako mbaya?!
sawa kumbe mjuzi [emoji4] ni-pm nikuunganishe kwa hiyo tenda [emoji4]Nguruwe anapigwa rungu hachinjwi..
We piga rungu kisha kula ili 66:17 ikuhusu.sawa kumbe mjuzi [emoji4] ni-pm nikuunganishe kwa hiyo tenda [emoji4]