Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

Watu lazima wafe ili iwe fundisho kwa walio hai. Adhabu ya kifo Sio ya mwanadamu bali ni sheria kutoka kwa Mungu. Soma biblia na quran tukufu ujifunze. Na ukipingana na adhabu ya kifo unapingana na Mungu kulingana na imani yako.
Mungu yupi mkuu?. Huyu Mungu anayetumia vibaka, majambazi, wezi, walevi na wazinzi waliojificha kutoa hukumu ya kifo kwa kupigwa mawe kwa wazinzi waliofuniwa?. Kama ni sheria ya Mungu, yeye mwenyewe ndo alipaswa atoe adhabu na sio sisi binadamu mana hata sisi ni wazinifu ila hatujafuniwa tukizini.
 
Sheria za KIARABU KIISLAMU NDIO MAUAJI, VISASI NK

SHERIA YA MUNGU NI UPENDO.
UPENDO, UPENDO.
UKIWA NA UPENDO KWA WATU WALIO KARIBU HUWEZI KUUA.


KUUA NI TABIA YA KISHETANI.
Kuua au kuuliwa

Kweli
Kosa
Vyote Ila sio akili
 
Mungu yupi mkuu?. Huyu Mungu anayetumia vibaka, majambazi, wezi, walevi na wazinzi waliojificha kutoa hukumu ya kifo kwa kupigwa mawe kwa wazinzi waliofuniwa?. Kama ni sheria ya Mungu, yeye mwenyewe ndo alipaswa atoe adhabu na sio sisi binadamu mana hata sisi ni wazinifu ila hatujafuniwa tukizini.
Kwa hiyo hizo nyingine za wabakaji na wezi anatoa Nani
 
Mungu yupi mkuu?. Huyu Mungu anayetumia vibaka, majambazi, wezi, walevi na wazinzi waliojificha kutoa hukumu ya kifo kwa kupigwa mawe kwa wazinzi waliofuniwa?. Kama ni sheria ya Mungu, yeye mwenyewe ndo alipaswa atoe adhabu na sio sisi binadamu mana hata sisi ni wazinifu ila hatujafuniwa tukizini.
Sijaelewa pointi yako
 
Mleta mada, kwa kiasi fulani naamini ya kwamba utakuwa una matatizo ya akili, siyo bure hata kidogo. Hivi unayafahamu mambo maovu kabisa ya mauaji ya dhulma yanayoendelea katika nchi zetu hizi za kiafrika, hususani nchi hii ya Tanzania? Unayajua kweli yanayoendelea nyuma ya pazia kuhusiana ishu hizi za mauaji, hasa mauaji ya kupangwa na ya kukusudia? Temea mate chini ndugu ndugu !! Ni bora ukakaa kimya, kuliko kuongea vitu ambavyo huvijui kwa undani.

Kwa taarifa yako, Mimi binafsi ni mtafiti (a researcher and an investigation expert), mambo yaliyopo yanatisha sana kupita kiasi. Itoshe tu kusema kwamba ADHABU YA KIFO ISIFUTWE TANZANIA, badala yake itekelezwe kikamilifu na kwa haraka kwa wale watu ambao Mahakama imethibitisha kwamba wanastahili kunyongwa hadi kufa, na pia "Wana sifa zote na vigezo vyote vya kutakiwa kunyongwa hadi kufa".

Aidha, nakujulisha ya kwamba "SOMA NYUZI ZANGU ZOTE NILIZOPOST HAPA KWENYE MTANDAO HUU WA JAMII FORUMS. Naamini utapata kitu cha kujifunza baada ya kusoma nyuzi hizo.
 
Mwenye uchungu na maumivu ni ndugu au jamaa wa aliyeuawa yeye ndiye aulizwe adhabu ikitolewa anaridhia iendelee kama hataki itolewe mbadala, sisi wengine tusiwe wasemaji wao ni kawaida tunapokuwa nje ya maumivu yao kuhisi tuna huruma! Lakini wakati huo huo tukiibiwa chaja tu mwizi anapigwa moto sababu HISIA na UHALISIA ni vitu viwili tofauti! Suala la matukio kuongeza halina mashiko huwezi kuondoa uhalifu kwa kuondoa sheria ya kuzuia uhalifu! Mtu anauwa na kumbaka mtoto mdogo halafu jamii iendelee kujiona ipo salama kuendelea kuishi nae na kukutana nae usiku vichochoroni!!!
 
Yeye huyo mtu anapompokonya mwenzake haki ya kuishi ndio ustaarabu?
Hebu tuweke mfano
Assume uko kazini halafu unakuja nyumbani unakuta house girl wako amemchinja mwanao akamchoma kama ndafu.Mara unarudi anakupa nyama tamu sana unaona ya chumvi chumvi baadae kwa dharau anakuambia nimemuua mwanao nimemchoma ndiyo hiyo nyama uliyokula.
Kisha wewe unatoka hapo ameshahukumiwa kunyongwa unasema kuua ni ukatili asamehewe.
Jamani niwambie kitu kitabu kitakatifu cha biblia kimeandikwa kwa mafumbo watu mnafuata mkumbo tu hamjui kutafsiri
 
Two wrong things huwezi kupata kitu kimoja right, Tanzania ya ujima ndio bado inaamini in death sentence, na mbaya zaidi jeshi letu la police, linapokuja suala la foresinc ni zero, hatuna modern DNA na matokeo yake nguvu zinatumika mno kupeleka convicts to gallows
POLITICAL CORRECTNESS! 🤮🤮🤮🤮
 
Ngoja ukutwe na jambo afu tuone kama utaandika hivi.
KUNA MWANASHERIA WAKILI MSOMI MMOJA ALIKUWA MTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU SANA KUHUSIANA NA SUALA LA CAPITAL PUNIDHMENT. MUNGU BWANA! YAKAJA KUMKUTA KWA MKEWE. WALIVAMIWA NA MAJAMBAZI NYUMBANI USIKU (YEYE NA FAMILIA YAKE YA MKE, WATOTO WATATU NA MTUMISHI WA NDANI), WAKAKUSANYWA SEBULENI WOTE WAKIWA UCHI. MAJAMBAZI YAKAAMURU WAPEWE PESA. YAKAPEWA PAMOJA NA VITU VINGINE KAMA SIMU, KISHA, YOTE YAKAMBAKA MKEWE MBELE YA FAMILIA KISHA YAKAMUUA KWA JAMBIA. MUME ALIZIMIA KWANZA AKAENDA KUZINDUKIA ICU. KWENYE KUTOA MAELEZO POLISI ALIOMBA MAJAMBAZI WALE WASAKWE NA WAHUKUMIWE KUNYONGWA.
NDUGU YANGU OMBEA YASIKUKUTE KAMA YA MWANASHERIA HUYU NDIPO UTAJUA MAANA YA WAUAJI WA MAKUSUDI KUNYONGWA. KUMBUKA HAWANYONGWI ILI KUKOMESHA MAUAJI KWANI HAIWEZEKANI KUYAKOMESHA KABISA, BALI, ADHABU HII INALENGA MAMBO MAWILI; MOSI, KUPUNGUZA MAUAJI YA NAMNA HIYO, PILI, KUWAPUNGUZA WAUAJI WA MAKUSUDI (SANGUINARIES) KWA KUFANYA THE SO CALLED TOTAL ELIMINATION.
 
Mtu analawiti mtt wa miaka miwili.,anaingilia watoto wadogo wa kiume na kuondoa uanaume wa watoto,..watoto wanakuwa mashoga,anayeua akiwa na utimamu wa akili...wa kuhukumu ni Mungu...na Mimi nina madhambi ila ,......,..



..
 
Two wrong things huwezi kupata kitu kimoja right, Tanzania ya ujima ndio bado inaamini in death sentence, na mbaya zaidi jeshi letu la police, linapokuja suala la foresinc ni zero, hatuna modern DNA na matokeo yake nguvu zinatumika mno kupeleka convicts to gallows
Ila si Tanzania pekee.
 
Back
Top Bottom