Adhabu ya kuchomeka milele kwenye ziwa la moto, mbona naona ni kubwa sana kuliko? Majini mliopo humu mnaionaje?

Adhabu ya kuchomeka milele kwenye ziwa la moto, mbona naona ni kubwa sana kuliko? Majini mliopo humu mnaionaje?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Najiuliza sana hili fundisho lililopo Kwenye uislamu na ukristo la wenye dhambi kuchomwa milele kwenye moto wa jehanum, logically haliingii akilini. Kwasababu

1)Mungu anajua kila kitu, kama kabla ya kutuumba alijua kuwa baadhi ya binadamu na viumbe ntakaoumba wataniasi na ntawapeleka kwenye moto wa milele wachomeke na kuteseka, kwanini alituumba? alivotuumba amepata nini na asingetuumba angepungukiwa nini? Akitupeleka wenye dhambi kwenye moto wa milele yeye anafaidika nini?

2) Kuhusu upana wa adhabu yani mtu uchomeke kwa zaidi ya matrilioni ya miaka kwa dhambi ulizofanya ndani miaka 70 tu, Mungu atavumiliaje kuona viumbe wake wakiteseka kwenye moto milele na milele? Maana naamini Hitler hawezi kumchoma adui yake kwenye moto wa milele. Kibinadamu hata nimchukie vipi mtu, ntamuhurumia mkiona anateseka sana, iweje Mungu tunaeambiwa mwenye upendo asione huruma tena.

Labda nayaongea haya sababu ya ufahamu wangu mdogo, humu jamii forum najua kuna fallen angels (malaika mlioasi mbinguni mkatupwa huku duniani mkisubiria adhabu ya ziwa la moto wa milele) mapepo/majini na Mnaojifanya Kuwa nyie wanadamu wenzetu najua mpo humu JF na post yangu mnaisoma, hebu tuambieni kiuhalisia hii adhabu ni haki kabisa nyie kuipata? Mwaionaje?
 
Najiuliza sana hili fundisho lililopo Kwenye uislamu na ukristo la wenye dhambi kuchomwa milele kwenye moto wa jehanum, logically haliingii akilini. Kwasababu

1)Mungu anajua kila kitu, kama kabla ya kutuumba alijua kuwa baadhi ya binadamu na viumbe ntakaoumba wataniasi na ntawapeleka kwenye moto wa milele wachomeke na kuteseka, kwanini alituumba? alivotuumba amepata nini na asingetuumba angepungukiwa nini? Akitupeleka wenye dhambi kwenye moto wa milele yeye anafaidika nini?

2) Kuhusu upana wa adhabu yani mtu uchomeke kwa zaidi ya matrilioni ya miaka kwa dhambi ulizofanya ndani miaka 70 tu, Mungu atavumiliaje kuona viumbe wake wakiteseka kwenye moto milele na milele? Maana naamini Hitler hawezi kumchoma adui yake kwenye moto wa milele. Kibinadamu hata nimchukie vipi mtu, ntamuhurumia mkiona anateseka sana, iweje Mungu tunaeambiwa mwenye upendo asione huruma tena.

Labda nayaongea haya sababu ya ufahamu wangu mdogo, humu jamii forum najua kuna fallen angels (malaika mlioasi mbinguni mkatupwa huku duniani mkisubiria adhabu ya ziwa la moto wa milele) mapepo/majini na Mnaojifanya Kuwa nyie wanadamu wenzetu najua mpo humu JF na post yangu mnaisoma, hebu tuambieni kiuhalisia hii adhabu ni haki kabisa nyie kuipata? Mwaionaje?
Kuna moja kati ya haya mawili ni la kweli;
1) Hakuna Mungu
2) Mungu ni katili kupita kiasi na amekosa uungwana
 
Sisi wengine tunaenda kuoa mabikira 72 kilasiku nabadilisha Tu na wengine wataenda pepo ya Kwanza Huko kuna pombe tamu tofauti na hii ya duniani
 
Najiuliza sana hili fundisho lililopo Kwenye uislamu na ukristo la wenye dhambi kuchomwa milele kwenye moto wa jehanum, logically haliingii akilini. Kwasababu

1)Mungu anajua kila kitu, kama kabla ya kutuumba alijua kuwa baadhi ya binadamu na viumbe ntakaoumba wataniasi na ntawapeleka kwenye moto wa milele wachomeke na kuteseka, kwanini alituumba? alivotuumba amepata nini na asingetuumba angepungukiwa nini? Akitupeleka wenye dhambi kwenye moto wa milele yeye anafaidika nini?

2) Kuhusu upana wa adhabu yani mtu uchomeke kwa zaidi ya matrilioni ya miaka kwa dhambi ulizofanya ndani miaka 70 tu, Mungu atavumiliaje kuona viumbe wake wakiteseka kwenye moto milele na milele? Maana naamini Hitler hawezi kumchoma adui yake kwenye moto wa milele. Kibinadamu hata nimchukie vipi mtu, ntamuhurumia mkiona anateseka sana, iweje Mungu tunaeambiwa mwenye upendo asione huruma tena.

Labda nayaongea haya sababu ya ufahamu wangu mdogo, humu jamii forum najua kuna fallen angels (malaika mlioasi mbinguni mkatupwa huku duniani mkisubiria adhabu ya ziwa la moto wa milele) mapepo/majini na Mnaojifanya Kuwa nyie wanadamu wenzetu najua mpo humu JF na post yangu mnaisoma, hebu tuambieni kiuhalisia hii adhabu ni haki kabisa nyie kuipata? Mwaionaje?
Kwenye majini ndio hizi dini kuu mbili zinahitilafiana kabisa, na ndio maana baadhi ya watu wanaamini Kila dini Inamwabudu Mungu tofauti.

Wakati wakristu wakiamini kuwa majini yote yalishalaaniwa na Mungu na yanasubiri adhabu ya moto wa Milele na yote ndio mashetani bila kujali yanazuga ni mazuri au mabaya .

Lakini upande mwingine wanaamini majini ni viumbe kama binaadamu wapo wabaya na wazuri na majini huwa yanasali kama binaadamu na binaadamu anaweza kuyatumia kwenye mambo yake
 
SItoboi mzee.... yaani kweli adhabu iwe ndefu kuliko hata muda wa kutenda dhambi??

Tena mbaya zaidi haijalishi ulitenda mema mangapi mzani wa dhambu ukizidi hata kwa 0.5gram wewe andaa kuni kabisa.
Hivi vitu vinatisha dah[emoji23][emoji23]

Moto wa milele sio makalio ujue
 
Ukimfikiria mungu kwa ku refer hivi vitabu vyetu kiukweli inazua maswali mengi kuliko majibu..
 
Back
Top Bottom