Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani cha fedha eti hahojiwi, hashitakiwi wala kuguswa na yeyote, hivi ni nani ameturoga kwa uzuzu huu?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
 
Kuhusu hili taifa watu tumeongea hadi tumechoka.
Nyerere ndipo alipokosea, alikuwa na uchumi kama wa China lakini akaacha mambo muhimu kuhusu uchumi wa China. Wachina wanamnyonga mwizi wa Mali za umma, lakini Mwl Nyerere alicheka na wezi wa Mali za umma. Eti aliwapiga viboko 12 matakoni wakawaoneshe wake zao. Hii nayo ni adhabu inayomfanya mtu asiibe mabilioni?

Watanzania tunafurahia kupewa misaada na wachina lakini hatupendi kujua wachina wanalindaje mali zao.
 
Magufuli alipaswa anyongwe kwa ule ufisadi wa karne aliopiga wa TZS 1.5 trilioni.
20211206.jpg
163870347.jpg
1782762_tapatalk_1528448721303.jpeg
 
Kuhusu hili taifa watu tumeongea hadi tumechoka.
Usichoke naomba, kutangaza kuchoka ni kupanga kuwaachia tumbili shamba lako la mahindi. Kama kuongea, kuandika na kuchora tu sio dawa kuzuia wizi wa mali zetu basi tujaribu njia nyingine za kuonyesha kuwa tunakerwa na hatutaki kuibiwa. Hawa wezi imefikia kuwa masikio na macho yao yamepata ganzi, hayasikii wala kuona sauti na kelele za acha acha acha kutuibia.
 
Nyerere ndipo alipokosea, alikuwa na uchumi kama wa China lakini akaacha mambo muhimu kuhusu uchumi wa China. Wachina wanamnyonga mwizi wa Mali za umma, lakini Mwl Nyerere alicheka na wezi wa Mali za umma. Eti aliwapiga viboko 12 matakoni wakawaoneshe wake zao. Hii nayo ni adhabu inayomfanya mtu asiibe mabilioni?

Watanzania tunafurahia kupewa misaada na wachina lakini hatupendi kujua wachina wanalindaje mali zao.
Na hakika wachina ni wezi kweli, si unaona wanavyohangaika wanapokuja huku? Lakini kwao hawathubutu!

Naunga mkono kabisa mada, kwamba inabidi sasa pawe na mabadiliko ya kuukabili ufisadi ndani ya Tanzania. Njia hizi zilizopo hazisaidii chochote.

Unaona watu wanateuliwa, jambo la kwanza ni kupanga safu ya upigaji..., hii haileti maana kabisa. Tena hawa watu wanapoteuliwa unasikia vigelegele vya kuwachochea wakazoe mali za waTanzania. Hapo bandarini kwa mfano, ni kama tatizo la wizi ni kidonda kisichopona kiasi kwamba kila anayeteuliwa kwenda pale ni lazima ajihusishe na njama za kuliibia taifa. Ni kama wafanyakazi mahali pale, kazi yao kubwa ni kupanga njama za wizi tu!

Tabia hizi za ukwapuzi wa mali za taifa hili ni lazima zikomeshwe kwa njia zozote ziwezekanazo, hata kunyongwa hadi kufa kwa wanaothibitika kufanya hivyo.

Hii ikitokea, akili zitawaingia kichwani wahusika.
 
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
Pambaf
 
MAZUZU AWAWEZI KUKUELEWA
Kwaakweli!!! Hakuna kiongozi wa Afrika atapenda kutengeneza katiba ambayo mhujumu uchumi yeyote bila kujali nafasi yake atanyongwa au kifungo cha maisha. Hii inafahamika kwakuwa viongozi wetu ni wezi, wanakwapua. Kama kweli kiongozi ni msafi kwelikweli aandike katiba inayochukia wizi wa mali za umma. Huku kuanzisha mahakama za mafisadi na wakati huohuo unaongeza idadi ya watu wenye kinga ya kushitakiwa ni UFISADI pia.
 
Tatizo la nchi ni Katiba, Marekani na Ulaya yote haina na haijwahi kuwa na adhabu ya kifo kwa mafisadi ila ndio mataifa yalioendelea zaidi duniani.
Na hakika wachina ni wezi kweli, si unaona wanavyohangaika wanapokuja huku? Lakini kwao hawathubutu!

Naunga mkono kabisa mada, kwamba inabidi sasa pawe na mabadiliko ya kuukabili ufisadi ndani ya Tanzania. Njia hizi zilizopo hazisaidii chochote.

Unaona watu wanateuliwa, jambo la kwanza ni kupanga safu ya upigaji..., hii haileti maana kabisa. Tena hawa watu wanapoteuliwa unasikia vigelegele vya kuwachochea wakazoe mali za waTanzania. Hapo bandarini kwa mfano, ni kama tatizo la wizi ni kidonda kisichopona kiasi kwamba kila anayeteuliwa kwenda pale ni lazima ajihusishe na njama za kuliibia taifa. Ni kama wafanyakazi mahali pale, kazi yao kubwa ni kupanga njama za wizi tu!

Tabia hizi za ukwapuzi wa mali za taifa hili ni lazima zikomeshwe kwa njia zozote ziwezekanazo, hata kunyongwa hadi kufa kwa wanaothibitika kufanya hivyo.
Hii ikitokea, akili zitawaingia kichwani wahusika.
 
Ni uongo,
Marekani, Ulaya, Urusi na Australia hazijwahi kuwa na sheria za kunyonga mafisadi. Tatizo letu kubwa ni la Katiba na kiakili.
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
 
Back
Top Bottom