Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

Tunahitaji Katiba na muundo wa utawala wenye kuupa uwekezaji na biashara binafsi imani hadi ya miaka 50 mbele, tunahitaji mfumo wa uongozi unaotabirika sio matamko mapya kila kukicha, tunahitaji mfumo wa uongozi unaojitahidi kupunguza regulations, red tapes na kodi sio unaojitahidi na kujisifia kuongeza vitu hivyo.

Mfumo huo wa uongozi unahitaji kusimikwa juu ya katiba mpya iliyo thabiti na kuelekeza kwamba sisi ni taifa la kibepari. Bila hivyo mawazo ya Ujamaa na hodhi ya dola kwa chama kimoja vitaendelea kutufanya mafukara tunaoenda kwa mwendo wa Kobe.
 
Tatizo la nchi ni Katiba, Marekani na Ulaya yote haina na haijwahi kuwa na adhabu ya kifo kwa mafisadi ila ndio mataifa yalioendelea

Ni uongo,
Marekani, Ulaya, Urusi na Australia hazijwahi kuwa na sheria za kunyonga mafisadi. Tatizo letu kubwa ni la Katiba na kiakili.
Inaonekana wewe huzijui historia za mataifa hayo kiuchumi, lakini pia hujawahi kuishi huko hata kwa wiki moja. Hizo nchi hazina utani kwenye uhujumu uchumi na ukwepaji kodi.
 
Tunahitaji Katiba na muundo wa utawala wenye kuupa uwekezaji na biashara binafsi imani hadi ya miaka 50 mbele, tunahitaji mfumo wa uongozi unaotabirika sio matamko mapya kila kukicha, tunahitaji mfumo wa uongozi unaojitahidi kupunguza regulations, red tapes na kodi sio unaojitahidi na kujisifia kuongeza vitu hivyo.

Mfumo huo wa uongozi unahitaji kusimikwa juu ya katiba mpya iliyo thabiti na kuelekeza kwamba sisi ni taifa la kibepari. Bila hivyo mawazo ya Ujamaa na hodhi ya dola kwa chama kimoja vitaendelea kutufanya mafukara tunaoenda kwa mwendo wa Kobe.
Shida hapo sio Katiba, bali watu wanaotenda kwa mujibu wa Katiba.
 
Tatizo la nchi ni Katiba, Marekani na Ulaya yote haina na haijwahi kuwa na adhabu ya kifo kwa mafisadi ila ndio mataifa yalioendelea zaidi duniani.
Sasa si KATIBA yenyewe unaona wasivyotaka itengenezwe inayowabana wasifanye ufisadi?
Nadhani kabla ya kufika huko kwenye katiba inayowezesha kama hizo za Marekani na kwingineko, italazimu tupitie kwa njia fulani katika hili la kulishana shaba na kutiana vitanzi shingoni kwanza!
Tukimpata mtu wa kutupeleka huko, mtu mwenye akili timamu, na siyo kama Magufuli, nadhani hili tatizo litapungua.

Sijui tutampata wapi mtu wa namna hiyo! Na tunamhitaji kwa haraka zaidi, maanake nchi inateketea hii!
 
Wanajuaa wakiweka hiyo sheria
Kuna watu wengi wataondoka

Ova
 
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
Jamaa wa ccm wamejitengenezea sheria nyepesi ili watupige kodi zetu na wanalijua hilo tunahitaji katiba mpya itakayowawajibisha weZ wa mali za umma
 
Urusi imejaa na imejengwa na wala rushwa na mafisadi wanaoitwa Oligarchs
Inaonekana wewe huzijui historia za mataifa hayo kiuchumi, lakini pia hujawahi kuishi huko hata kwa wiki moja. Hizo nchi hazina utani kwenye uhujumu uchumi na ukwepaji kodi.
 
Hujitambui aisee IPO siku utajuta
Wewe ambae nchi yako inatafunwa halafu unakenua meno kama Zuzu ndiye hujitambui.

Magufuli ndiye fisadi bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

20211206.jpg
1638703545.jpg
 
Kwaakweli!!! Hakuna kiongozi wa Afrika atapenda kutengeneza katiba ambayo mhujumu uchumi yeyote bila kujali nafasi yake atanyongwa au kifungo cha maisha. Hii inafahamika kwakuwa viongozi wetu ni wezi, wanakwapua. Kama kweli kiongozi ni msafi kwelikweli aandike katiba inayochukia wizi wa mali za umma. Huku kuanzisha mahakama za mafisadi na wakati huohuo unaongeza idadi ya watu wenye kinga ya kushitakiwa ni UFISADI pia.
Hata hayo uliyo andika MAZUZU AWAWEZI KUKUELEWA
 
Hata hayo uliyo andika MAZUZU AWAWEZI KUKUELEWA
Kwavyovyote vile raia lazima tuache kuishi kwa mazoea. Viongozi wetu wanapata maisha ambayo hayana maelezo ya kutosheleza zaidi ya wizi wa mali zetu kwa kutumia dhamana tunazowapa. Kuandika Katiba inayolinda Mali zetu sio ombi Wala hisani, na kuhakikisha tunaongozwa na kutendewa kwa mujibu wa Katiba hiyo sio ombi wala hisani. Elimu yetu mashuleni lazima iwaambie hivyo watoto wetu.

Hata kama sio Leo lakini siku ifike task force ya kitaifa iundwe kupitia Mali za kila kiongozi tangu nchi hii ipate Uhuru kuona ana nini Na kakipataje. Miaka 60 ya Uhuru Kazi kama hii ya kuwatathimini viongozi namna walivyotuongoza Na hasara Na faida waliyoliletea taifa ndiyo ingekuwa miongoni kwa mambo muhumu ya kujitathimini. Maana wako viongozi ambao wameliingiza taifa hasara na faida, na waliotuibia pia Na waliotenda mambo mema kwetu. Wote hawa tulipaswa tuwatambue kwenye miaka 60 hii ya Uhuru.

Unaposema kwa miaka 60 tumejenga shule 2000 haitoshi, lazima tuseme pia tulipaswa kujenga shule ngapi Na kwanini hazikujengwa hizo na Nani hakufanya nini au kafanya nini .

Mfano mzuri Rais wetu Samia ameshaianzisha tathimini ya aina hii. Wakati anazindua ukamilishaji wa ujenzi wa magati 1-7 bandari ya DSM aliwatimua wenyeviti wa Bodi kwa ubadhilifu alisema kuwa wizi huo haukutokea kwenye awamu yake bali kwenye awamu za nyuma, hivyo asipakwe matope na kunyooshewa kidole yeye. Na amesema hatakubali kupakwa matope. Hiuu ni ushahidi kuwa taarifa zote za nani alifanya nini zipo, ni muda ufike pachimbike. Hii ya Rais Samia kuzinyooshea kidole awamu zilizopita ni fursa mpya ya kuliponya taifa kwa kumulika kila awamu ilituibia nini kwa kiasi gani badala ya kusema jumlajumla tu bila takwimu.
 
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
Iko sahihi kabisa na anayetakiwa kuanza kunyongwa ni JK Ndugai, Mama Malinda
 
Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?

Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?

Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.

Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
Fikiria aina ya wawakilishi wetu mjengoni wanavyochangia hoja na kupitisha maamuzi chini ya sabufa ndo uje hapa tujadili. Karibu.
 
Iko sahihi kabisa na anayetakiwa kuanza kunyongwa ni JK Ndugai, Mama Malinda
Jasho LA umma haliliwi, iko siku ganzi ya watanzania itakwisha mwilini, watahoji nani ilifanya nini hadi iwe hivi. Kundi LA kwanza kutokwa Na ganzi hiyo watakuwa wamachinga, bodaboda Na kufuatiwa Na walimu Na watu wa afya, wakifuatiwa Na kundi LA askari.
 
Ku

Kuna maafrika mengine eti yanasema bila wazungu ahatuwezi chochote na sasa yanalelewa huko kisha nayo yanasema ni maafrika
Yaani Trump tukana hizi kenge za Afrika mpaka masikio yao yazibuke.
Ulitaka kusemaje maana sijakupata?
 
Ulitaka kusemaje maana sijakupata?
Ulichoandika huko juu kinaonyesha kwenye matusi ya Trump hukosekani,
Fitina, uchawi, ngono, ulevi, misifa, wizi, ufisadi, kuzaa hovyo, udumavu wa akili, na mengine mengi, by D Trump.
 
Ulichoandika huko juu kinaonyesha kwenye matusi ya Trump hukosekani,
Fitina, uchawi, ngono, ulevi, misifa, wizi, ufisadi, kuzaa hovyo, udumavu wa akili, na mengine mengi, by D Trump.
Sasa unataka nipingane na ripoti ya CAG?Mimi ni nani kwenye nchi hii hadi nipinge ripoti ya CAG?!

Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.Haya ni kwa mujibu wa CAG wala siyo kwa mujibu wa maoni yangu mimi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

Halafu unanishambulia as if ni maoni yangu binafsi.Koma kabisa.Nenda kamshambulie CAG ambae aliibua ufisadi huo.
20211206.jpg
1638703545.jpg
 
Ku

Kuna maafrika mengine eti yanasema bila wazungu ahatuwezi chochote na sasa yanalelewa huko kisha nayo yanasema ni maafrika
Yaani Trump tukana hizi kenge za Afrika mpaka masikio yao yazibuke.
Mzungu sio mjinga kiasi hicho, mzungu anafahamu kuwa viongozi wa Africa ni wezi Na hawakusanyi kodi. Mzungu sio mjinga akupe wewe fadha ya wananchi wake wanaokamuliwa Na hata ikibidi kufungwa Na kunyongwa eti akuletee wewe mwizi Na usiekusanya kodi kwa wananchi wako. Ukiona mzungu anakupa hela ya mpiga kodi wake usifurahie Na kukenua meno, bail fahamu kuwa hicho ni chambo tu, ana jambo lake kuuuubwa analitaka kutoka kwako leo, kesho au hata keshokutwa.
 
Back
Top Bottom