Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fanya hivi ndio mkeo kaambiwa hapo utasema chuki au chukuMutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Amekuambia yeye ni Mwanamme?🐼fanya hivi ndio mkeo kaambiwa hapo utasema chuki au chuku
Lete mengine kasemaje!Hivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
Ngoja nikuwekee video yote, utasikitika sanaLete mengine kasemaje!
Hakuna mema mengine ambayo umeyasikia toka kwa MAKONDA, tofauti na hizi chuki zako dhidi yake kila uchao?, kijba cha roho kitakumalizaHivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
Yapo , kupanda punda na kutumia mkokoteniHakuna mema mengine ambayo umeyasikia toka kwa MAKONDA, tofauti na hizi chuki zako dhidi yake kila uchao?, kijba cha roho kitakumaliza
toa maelezo ya kina, ya kazi ya umma ulopewa kuisimamia, kwanini ipo hivyo ilivyo na fedha za walipakodi zimetolewa ? 🐒Hivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
mtu kaiba hela halafu anashindwa kuongea unasema kadhalilishwa ? acha akazitapike hizo hela kiboko yenu kaingi aarusha bado lemaHivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
Dhihaka ndiyo uchapakazi? Halafu hii tabia ya kudhani kila anayekosoa ni mpinzani ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.Mutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Makonda aseme ukweli wenda pisi kali ameikubali , Makonda muhuni sana unaweza kuta Ameisha ipigia sim iende ofisin kwake au wanafamihana, wapenzi wakutanapo kuna codes haziwezi jificha ndo maana Bibie akaanza kulegeza sautiHivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159