magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Mutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
"Haya samahani muheshimiwa hivi unamjua
Bashite
Hili ni jipu jipya toka Koromije
Limeshaiva na usaa limeshatunga nakukabidhi
sindano ya kulidunga
Daktari haogopi kubwa kidonda we si doctor
wa majipu
Tumbua hakuna kuvunga
Kuvamia ofisi za watu hee kumbe nayo ni kazi
Hakuna noma wanangu tupige kazi bodaboda
kazi Bajazi kazi
Eti vipi kukaba nayo ni kazi.."
Nay wa Mitego - Wapo.