Kanisikitisha sana sijajua Kwa nn kamfanyia hivyo halafu mbele ya watu halafu eti wanapiga makofiHuyo mjinga tangu mwanzo alionekana hafai sasa sijajua kwa nini watu kama hawa bado wanapewa nafasi kama hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisikitisha sana sijajua Kwa nn kamfanyia hivyo halafu mbele ya watu halafu eti wanapiga makofiHuyo mjinga tangu mwanzo alionekana hafai sasa sijajua kwa nini watu kama hawa bado wanapewa nafasi kama hizo
Kwani uchapa kazi ni kudhalilisha wengine? Au uchapa kazi siku hizi haueleweki , makamera yanini kama kweli ni mchapa kazi?Mutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Kwanza umewaona hao wapiga makofi wenyewe wengine hata meno ya mbele hawana ni wajinga tuu wengi waoKanisikitisha sana sijajua Kwa nn kamfanyia hivyo halafu mbele ya watu halafu eti wanapiga makofi
Mapenzi gani kaleta pale au na wewe unanyege kama huyobunaye mtetea maan ukikosa mwanaume kwa muda mrefu nyege zinakufanya uwe na hasira.Sasa kama mtu anataka kuleta mapenzi kwenye mambo serious unamwambiaje zaidi ya kumkejeli.
Watumishi wengi wa kike wakishashibashiba rushwa huwa wanakuwa na pozi sana na kudharau kila mtu, wakishazoea huo usenge hujisahau nakutaka kumdharau kila mtu.
Acha chizi mwenzao awakomeshe.
Udhalilshaji sio uchapa kazi. Anachokifanya Makonda ni kiki za kisiasa na sio kuboresha utendaji. Watu wajinga wa aina yako ndio huwa rahisi kuchotwa na hizo drama. Utendaji huboreshwa kwa mifumo imara, sio kwa ziara za kusaka kiki na kupumbaza wananchi wenye upeo mdogo.Mutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Mengine yalete ww. Yeye kaleta hayo, labda useme haya aliyoleta sio ya kweli.Lete mengine kasemaje!
Mazuri ni wajibu wako kuyaleta. Wajibu wako usimtwishe mwingine. Hata huko kwenye nyumba za ibada Kila kiongozi wa ibada huchukua sehemu fulani katika kitabu kitakatifu na kukieleza kwa kina, sio kwamba kila siku wanaongelea kitabu chote.Hakuna mema mengine ambayo umeyasikia toka kwa MAKONDA, tofauti na hizi chuki zako dhidi yake kila uchao?, kijba cha roho kitakumaliza
Tafadhali, mbavu zetu zinauma!Hivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
Ziara nzima tukio ni moja tu!Mengine yalete ww. Yeye kaleta hayo, labda useme haya aliyoleta sio ya kweli.
Matukio ni mengi, ila hayo ni juu yako kuyaripoti.Ziara nzima tukio ni moja tu!
UtarudiwaSawa, na vipi kuhusu uchaguzi aa cdm kule Njombe? Hatupati taarifa?!!!!!
Ahsante, sababu kuu ni nini haswa kiongozi?!!!Utarudiwa
Kuna jinga moja linapiga makofi na kucheka sana.yanashsngilia,kwamba angalau mtu meingine aumizwe kama wao wanavyoumizwa na maisha
VuruguAhsante, sababu kuu ni nini haswa kiongozi?!!!