Mutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Zinahusiana chochote na rushwa vurugu hizo?!!!Vurugu
TunachunguzaZinahusiana chochote na rushwa vurugu hizo?!!!
Makonda hajawahi kuwa binadamuHivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa kero
View attachment 2998158View attachment 2998159
But that wasnβt acceptableMutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Huyu Makonda ni comedian hana uchaoakazi wowoteMutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Cha kushangaza Malasusa, Pengo na Mwamposa wanahangaika kumuombea mtu mhuni kama huyu!Makonda hajawahi kuwa binadamu
Maneno yako ya jumla sana.Nani asiyejua watumishi wa umma kuanzia katani mpaka mkoani,walivyo na nyodo kwa wananchi?
WaambieMutakufa kwa chuki nyinyi Chadomo viongozi wakiwa wazembe munasema wakiwa wachapa kazi munalalamika hivi hasa munataka nini?
Yule aliyempatia huyu nafasi ndiye hafai zaidi. Maji hufuata mkondoHuyo mjinga tangu mwanzo alionekana hafai sasa sijajua kwa nini watu kama hawa bado wanapewa nafasi kama hizo
SikupingiYule akiyempatia huyu nafasi ndiye hafai zaidi. Maji hufuata mkondo
πππππππNiki alimsifia mkewe hadharani wahuni wakapita naye Ndoa ikawa Ndoana πΌ
Hivi Ile miwani ni kwambaaaa??? Dressing code nayo ni muhimu ukiongea na boss wakoWacha wapewe dawa hawa maofisa baadhi yao wanajikuta sana pindi unataka huduma kutoka kwao sitetei mtu hapa ngoja wanyooshane..
Ingekuwa MAKONDA anachangiwa ili anunue gari ya 300ml+ nadhani humu Jukwaani nyuzi zingepishana kama mishono ya vitenge na picha nyingi za vituo vya afya pamoja na wanafunzi wakiwa wamekalia mawe.Hivi ndivyo watendaji wanavyodhalilishwa kwenye ziara za hawa wanaoitwa Wateule wa Rais
Bila shaka huu ndio utatuaji mpya wa ke