Admission post zinatoka lini?

Admission post zinatoka lini?

kama kgezo n ufaulu mbna m nlikua na point 10 na fakat nlizoomb n hz
1;petroleum eng udsm
2;petroleum eng udom
3;pharmacy muhas
4;mechanical eng udsm
5;agrc eng sua
na nmechaguliwa sipo kwenye 2nd round app?
 
msaada waungwana. kuna ndugu yangu yey jna lake halipo kweny list ya wanaotakiwa ku apply upya ila ukiingia kweny profile yake anaambia your not selected try second round application. plz mwenye ushauri autoe kuhusu hili..
 
kama kgezo n ufaulu mbna m nlikua na point 10 na fakat nlizoomb n hz
1;petroleum eng udsm
2;petroleum eng udom
3;pharmacy muhas
4;mechanical eng udsm
5;agrc eng sua
na nmechaguliwa sipo kwenye 2nd round app?

Agriculture inakuhusu
 
kama kgezo n ufaulu mbna m nlikua na point 10 na fakat nlizoomb n hz
1;petroleum eng udsm
2;petroleum eng udom
3;pharmacy muhas
4;mechanical eng udsm
5;agrc eng sua
na nmechaguliwa sipo kwenye 2nd round app?
let me assure you katika hizo course ulizoandika hapo utachaguliwa either mechanical(coz haina comptn sana) au agrc eng sua....afu mdogo wangu na point zako hizo mbovu kwanini uliweka petro eng ya kwanza??...au kutaka sifa tu hapo cafe ulipokuwa unafanya applctns zako
 
Kuna kabinti kamoja nilikashauri vizuri kulingana na uzoefu wangu, kakajifanya Legendary na Div 3 yake ya mwisho anataka Famas Muhimbili. Mbona alinifata baadae nimbadilishie course hapo sasa ndio nikampa makavu.
ndo wanavokuwaga mkuu
 
kama kgezo n ufaulu mbna m nlikua na point 10 na fakat nlizoomb n hz
1;petroleum eng udsm
2;petroleum eng udom
3;pharmacy muhas
4;mechanical eng udsm
5;agrc eng sua
na nmechaguliwa sipo kwenye 2nd round app?


Combination gani mkuu?
 
poleni sana waswahili wanasemaga "mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba" pia usipopata unachokipenda penda unachokipata...
 
Nacte ni washenzi jamani jana nilisoma page yao nikakuta mwisho wa muaply chuo ni trh 12 mwez huu...leo nikamuombea chuo binamu wangu kufika kwenye hatua ya mwisho eti wanasema mwisho ulikiwa trh 6 mwezi huu....na kurudi kuangalia ile pg tena nikakuta wameiondoa ile tarh n kuweka mwsho ni thr 6
 
Nacte ni washenzi jamani jana nilisoma page yao nikakuta mwisho wa muaply chuo ni trh 12 mwez huu...leo nikamuombea chuo binamu wangu kufika kwenye hatua ya mwisho eti wanasema mwisho ulikiwa trh 6 mwezi huu....na kurudi kuangalia ile pg tena nikakuta wameiondoa ile tarh n kuweka mwsho ni thr 6

madai yao system inarun.
 
Sitokujibu upuuzi wako kwa sababu natambua fika unaelewa nilikuwa namaanisha nini

Naona unakosa busara kwa kujiona wewe ni mwingi wa maarifa , endeleza mbwembwe zako za heshima.
 
wana JF mnanikosha,yaaani hata wengine hamjuani lakini mnajibiana kejeli,haya sasa hivi mwaka huu ndio hadi wenye 4 wanaenda kusoma bachelor????? na diploma atasoma nani?
 
kama kgezo n ufaulu mbna m nlikua na point 10 na fakat nlizoomb n hz
1;petroleum eng udsm
2;petroleum eng udom
3;pharmacy muhas
4;mechanical eng udsm
5;agrc eng sua
na nmechaguliwa sipo kwenye 2nd round app?

hapo hyo sua ndio imekutoa dogo. hzo za hapo juu hupati hata moja. jiandae kureport sua. unapoint mbovu ukachagua makubwa. jiandae kujua kila aina ya udongo, wadudu wanaoharibu mazao, vipind vya mvua na majina ya mbegu
 
let me assure you katika hizo course ulizoandika hapo utachaguliwa either mechanical(coz haina comptn sana) au agrc eng sua....afu mdogo wangu na point zako hizo mbovu kwanini uliweka petro eng ya kwanza??...au kutaka sifa tu hapo cafe ulipokuwa unafanya applctns zako

acha kupiga majungu ww ndo tcu au...???
hapo karoho kanakuuma mbaya yaan na atachaguliwa hyo hyo ya kwanza.
 
Sawa tumeshaapply na notice ya kuwa selected tumeipata sasa mbona siku zinaenda TCU lini watatoa hizi post ili tujue tunajiunga na vyuo vipi?Mwenye fununu anifahamishe
 
Back
Top Bottom