Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.
Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?
Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.
Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?
Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.
NB: NDUMBARO, MWANA FA hamtoshei, yaani Katibu mkuu wa Wizara anawafunika sema basi tu, mtu kwa kubebwa bebwa.
DIAMOND, ZUCHU, HARMO na wengineo wanaimba nyimbo zinazohamasisha ngono, mapenzi ya jinsia moja na madawa/shisha huku zikichezwa hata kwenye sherehe ambazo watoto wapo, BASATA wapo, na wanyonge wapo.
#Acheni unafki BASATA ifumuliwe pale hamna kitu.
Pia soma >Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)