Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

Duh! Ila honey imepenyaa mpk mashuleni
Watoto wadogo ma bikra wanatoa bado ya kukata mauno, tuna wazazi mawaziri wanaona sawa tu.
Kuna ma-afisa ustawi wa jamii ukiwakuta mahakamani wanajiona wanapenda watoto ila haya waapo kimya.
 
Acha tu watoto waimbe napenda nyonya pipi,nkupake mafuta ingie vzr,inama itereze, honey wng simuachi chumbani
--- type mna kizaz cha ovyo ndmn sahv mitoto midg lkn Michz inaijua
Washazibuliw maeneo yote
Na mpk mfike 2030 mambo yatakuwa nyakanyaka

Ova
Mrangi, inauma sana, mtoto huyu akipitishiwa mtalaumu?
alafu , hivi hii nchi mbona ina watu wachache wanao haribu vizazi vyetu na tupo kimya?
 
Wimbo sio mbaya Ila maneno ya wimbo maneno ya wimbo yameimbwa kingonongono sana, ni kuhamsisha ngono ngono ngono ngono na watoto wameumeza mwanzo Mwisho maana umeimbwa kitoto toto zaidi yaan dizaini km Zauchi aliingia shule ya chekechea akawa anachukua rehearsal jinsi watoto wanavyoimba akawasoma baada ya hapo akaingia booth kuimba bila kujua masikini anazoimba ni beti za Uchi
 
Back
Top Bottom