Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

Yaani mimi sijaona tatizo hapo sema wabongo tunapenda kukuza mambo. Sie wenyewe mashuleni tulikua tunaimbishwa nyimbo na kufundishwa kukatika viuno, kucheza ngoma kwenye somo la utamaduni mbona tumekuwa watu wema tu? Its ok for kids to have fun bana. Stress zimezidi sana, afya ya akili inaenda mrama, wakipata nafasi ya kufurahi na waalimu wao acha wafurahi. Shule sio jela
Acha tu watoto waimbe napenda nyonya pipi,nkupake mafuta ingie vzr,inama itereze, honey wng simuachi chumbani
--- type mna kizaz cha ovyo ndmn sahv mitoto midg lkn Michz inaijua
Washazibuliw maeneo yote
Na mpk mfike 2030 mambo yatakuwa nyakanyaka

Ova
 
Kuna channel moja ya TV, tena ni maarufu hapa nchini kuna siku huwa wanavionyesha vitoto vikikata viuno kwa nyimbo zisizoeleweka vikionyesha vipaji. Mbona hatujasikia kelele huko? Watoto wa mtaani ndio haohao wanafunzi.
Kifupi ni kupiga marufuku nyimbo zinazohamasisha ngono.
Wenye kupiga vita ndiyo haohao unasikia michango yao bungeni akina Msambatavangu, Chitanda and the like
 
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.

MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.

Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?

Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.

NB: NDUMBARO, MWANA FA hamtoshei, yaani Katibu mkuu wa Wizara anawafunika sema basi tu, mtu kwa kubebwa bebwa.

DIAMOND, ZUCHU, HARMO na wengineo wanaimba nyimbo zinazohamasisha ngono, mapenzi ya jinsia moja na madawa/shisha huku zikichezwa hata kwenye sherehe ambazo watoto wapo, BASATA wapo, na wanyonge wapo.

#Acheni unafki BASATA ifumuliwe pale hamna kitu.

Pia soma >Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

View attachment 2802423
Kwa sakata hili NI DONGO La kimya kimya kwa BASATA na WCB kwamba nyimbo yao haina maadili
 
Fanya vyote duniani hapa...ukiona nyakati imekutupa mkono ni bora utulie tuu...Dunia ndio inasepa hivyo...chukua miaka yako uliyonayo afu toa miaka 25 ndio ufikir ulikuwa kwenye mazingira gan na sa hivi upo kwenye mazingira gan...
 
Sisi ni jamii iliyoharibika.. huwezi ruhusu wimbo kama ule kwenye jamii iliyostaarabika, huwez! Tuna BASATA, tuna waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo wote wameridhia huo wimbo!
 
Ha ha ha ha mbona madogo wamefurahi tu na maticha wao wanajiachia kiroho safi. Stress free

Shida kwani ni wimbo au wanafunzi kucheza?

Au madogo wangeruka na lile goma la """mwenzenu mimi, ¶¶¶¶¶¶¶ sujui kutongoza ,¶¶¶ wakijipitisha ¶¶¶¶¶¶¶ namwaga helaaa ¶¶¶¶¶¶¶¶ asanteee""""" ¶¶¶¶¶¶¶¶¶¶¶¶¶¶

"Huyu demu wake nani ¶¶¶¶¶¶ anipandisha midadi ¶¶¶¶¶¶¶, anitafuta lawama ¶¶¶¶¶¶¶ mwambieni bwana ¶¶¶¶¶¶¶¶ asanteeeee ¶¶¶¶¶¶¶"""""""

Hili lenyewe ingekuwa Poa tu au sijaelewa.

Au hao mawaziri ndio Leo wanasikia hilo goma?
 
Kwa ubishi wa watanzania. Serikali ingeacha watu wafanye ujinga wao, halafu nature itwarudia waanze kulia na kutafuta suluhu. Ni Kama Ukimwi watu walipoona wanakwisha wakaanza kujilinda.
 
Kuna wadau humu wanasema waache watoto waburudike eti

Ova

Kizazi Cha nyoka hata ungefanyaje hawasikii. Serikali iwaache wafanye wanavyotaka ila mwisho wasianze kulalamika serikali. Maana miaka ishirini ijayo kwa kizazi hiki hata ndoa hazitadumu itakuwa full vurugu na mauaji.
 
Hapa mtaani kwetu watoto wanauimba na kucheza hadi aibu. Hivyo kujifanya kuzuia mashuleni wakati mtaani watoto ndio wimbo wanaucheza sidhani kama itasaidia.
Kwa nini usipigwe marufuku wimbo? Wimbo wenyewe unajitangaza maudhui yake.
Kuna nyimbo zinaibwa mitaani utakuta bodaboda wanashikana matako.
Mpuuzi mmoja wa Wizara huko anahojiwa anasema hauna shida na ni wa siku yingi ila wasipigiwe watoto!
Hii nchi wamrudishe Carl Peters tuendelee naye, wameshindwa!
 
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.

MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.

Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?

Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.

NB: NDUMBARO, MWANA FA hamtoshei, yaani Katibu mkuu wa Wizara anawafunika sema basi tu, mtu kwa kubebwa bebwa.

DIAMOND, ZUCHU, HARMO na wengineo wanaimba nyimbo zinazohamasisha ngono, mapenzi ya jinsia moja na madawa/shisha huku zikichezwa hata kwenye sherehe ambazo watoto wapo, BASATA wapo, na wanyonge wapo.

#Acheni unafki BASATA ifumuliwe pale hamna kitu.

Pia soma >Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

View attachment 2802423


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom