Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu watoto waimbe napenda nyonya pipi,nkupake mafuta ingie vzr,inama itereze, honey wng simuachi chumbaniYaani mimi sijaona tatizo hapo sema wabongo tunapenda kukuza mambo. Sie wenyewe mashuleni tulikua tunaimbishwa nyimbo na kufundishwa kukatika viuno, kucheza ngoma kwenye somo la utamaduni mbona tumekuwa watu wema tu? Its ok for kids to have fun bana. Stress zimezidi sana, afya ya akili inaenda mrama, wakipata nafasi ya kufurahi na waalimu wao acha wafurahi. Shule sio jela
Itanufaika jamii ambayo haikutendewa hakimkuu, Wakijiuzulu wewe utanufaika nini??
Wenye kupiga vita ndiyo haohao unasikia michango yao bungeni akina Msambatavangu, Chitanda and the likeKuna channel moja ya TV, tena ni maarufu hapa nchini kuna siku huwa wanavionyesha vitoto vikikata viuno kwa nyimbo zisizoeleweka vikionyesha vipaji. Mbona hatujasikia kelele huko? Watoto wa mtaani ndio haohao wanafunzi.
Kifupi ni kupiga marufuku nyimbo zinazohamasisha ngono.
Kwa sakata hili NI DONGO La kimya kimya kwa BASATA na WCB kwamba nyimbo yao haina maadiliBaada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.
Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?
Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.
NB: NDUMBARO, MWANA FA hamtoshei, yaani Katibu mkuu wa Wizara anawafunika sema basi tu, mtu kwa kubebwa bebwa.
DIAMOND, ZUCHU, HARMO na wengineo wanaimba nyimbo zinazohamasisha ngono, mapenzi ya jinsia moja na madawa/shisha huku zikichezwa hata kwenye sherehe ambazo watoto wapo, BASATA wapo, na wanyonge wapo.
#Acheni unafki BASATA ifumuliwe pale hamna kitu.
Pia soma >Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)
View attachment 2802423
Harafu wanaadhibiwa walimu loliila lile vibe la vile vitoto nimelipenda. vitoto vilishaharibika toka makwao ,vinaimba utafikiri ndo vitunzi
swali la kipuuzi sana hilimkuu, Wakijiuzulu wewe utanufaika nini??
Wanaimba uchaf mtupuNyimbo hazifai
Kuna wadau humu wanasema waache watoto waburudike etiNyimbo hazifai
Kuna wadau humu wanasema waache watoto waburudike eti
Ova
Ushawahi kuskia raisi kastaafu?Nyerere alistaafu hakujiuzuru.
Mpuuzi mmoja wa Wizara huko anahojiwa anasema hauna shida na ni wa siku yingi ila wasipigiwe watoto!Hapa mtaani kwetu watoto wanauimba na kucheza hadi aibu. Hivyo kujifanya kuzuia mashuleni wakati mtaani watoto ndio wimbo wanaucheza sidhani kama itasaidia.
Kwa nini usipigwe marufuku wimbo? Wimbo wenyewe unajitangaza maudhui yake.
Kuna nyimbo zinaibwa mitaani utakuta bodaboda wanashikana matako.
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
MASIKITIKO: Mkenda anajichomoa betri kwa kufungia / na kushasha cheo mwalimu badala ya ku-deal na wimbo, unachezwa na watoto na watu wazima harusini.
Nani aliyeema wimbo ni mbaya kwa watoto lakini wimbo huo huo hao watoto wakikua unakuwa mzuri?
Wimbo unao hamasisha kufir*** na ngono isiyo salama ni mbaya kwa watoto na mzuri kwa watu wazima?
MWANA FA yeye yupo Wizarani amekaa kimya haoni wala hasemi lolote kwakuwa ni washkaji zake.
NB: NDUMBARO, MWANA FA hamtoshei, yaani Katibu mkuu wa Wizara anawafunika sema basi tu, mtu kwa kubebwa bebwa.
DIAMOND, ZUCHU, HARMO na wengineo wanaimba nyimbo zinazohamasisha ngono, mapenzi ya jinsia moja na madawa/shisha huku zikichezwa hata kwenye sherehe ambazo watoto wapo, BASATA wapo, na wanyonge wapo.
#Acheni unafki BASATA ifumuliwe pale hamna kitu.
Pia soma >Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)
View attachment 2802423