Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

Duh! Ila honey imepenyaa mpk mashuleni
Watoto wadogo ma bikra wanatoa bado ya kukata mauno, tuna wazazi mawaziri wanaona sawa tu.
Kuna ma-afisa ustawi wa jamii ukiwakuta mahakamani wanajiona wanapenda watoto ila haya waapo kimya.
 
Mrangi, inauma sana, mtoto huyu akipitishiwa mtalaumu?
alafu , hivi hii nchi mbona ina watu wachache wanao haribu vizazi vyetu na tupo kimya?
 
Mpuuzi mmoja wa Wizara huko anahojiwa anasema hauna shida na ni wa siku yingi ila wasipigiwe watoto!
Hii nchi wamrudishe Carl Peters tuendelee naye, wameshindwa!
Kuna watu hawajitambui Mkuu, sijui wanafikiria kwa kutumia nini?
 
Wimbo sio mbaya Ila maneno ya wimbo maneno ya wimbo yameimbwa kingonongono sana, ni kuhamsisha ngono ngono ngono ngono na watoto wameumeza mwanzo Mwisho maana umeimbwa kitoto toto zaidi yaan dizaini km Zauchi aliingia shule ya chekechea akawa anachukua rehearsal jinsi watoto wanavyoimba akawasoma baada ya hapo akaingia booth kuimba bila kujua masikini anazoimba ni beti za Uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…