Laana hiiMwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu...hata hivyo la kuvunda halina ubani!View attachment 1920398
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Magu na ccm wote maadui tuSasa inakuwaje mnabadirika badirika kama vinyonga?
Yule anasema adui ni ccm, wengine adui alikuwa Magu,
Tuelewe lipi?
Wala sishangai, huwezi kwani juhudi kubwa inahitajika na kwa mwana CCM hata kumudu kusoma kichwa lazima umeteseka kweli kweli!Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha hbr.
Mwana CCM kindandaki G'taxi, ndipo uwezo wako ulipofikia baada ya akili kuathirika kwa kuishi kwenye nyumba yenye uvundo. Fungua angalau dirisha uonje harufu ya hewa safi!Adui ni wewe mwenye mawazo mgando,vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
NakaziaWewe ndiye una mawazo mgando,mleta hoja amesema adui wa taifa letu,neno uvivu linaingiaje hapo ?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sasa ilikuwaje mkaanza kushangilia kifo chake mkawa mnasema sasa mmejikomboa, mungu kawakumbuka, mnapumua?Magu na ccm wote maadui tu
Hao ni zao la CCM. Wametengenezwa walivyo na ndiyo maana ni wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi, Makatibu tawala, n. K, n.k.Ila tunakoelekea nadhani itabidi jwtz (tpdf) jeshi la wananchi wa Tanzania) liingilie Kati dhulma ya polisi na ccm dhidi ya watanzania.
Wote ni wanufaika baba mmojaIla tunakoelekea nadhani itabidi jwtz (tpdf) jeshi la wananchi wa Tanzania) liingilie Kati dhulma ya polisi na ccm dhidi ya watanzania.
Eeh Kulikoni Bagamoyo
Lkn ufata maagano ya ccmPengibe hata sio ccm. Ni watu walioko ccm
Nyoka akiwa mrefu hujikuta akigonga mkia wake mwenyewe akidhani ni adui. Endelea na kejeli zako lkn iko siku utarudi humu JF Kwa ID mpya kuishambulia Chama chako chakavu baada ya kukujeruhi.Siyo Magufuli tena?
Mimi nilifikiri mbaya wetu hii nchi ni Magufuli, na hata zile shangwe za wana chadema baada ya kifo chake nilifikiri sasa mtajiona mko Newyork!
Mmakwama wapi mabavicha?
Wewe yawezekana ni mvivu wa kusoma yawezekana hata shule hukumaliza Kwa uvivu wako. Ndiyo maana unatumia nguvu hata pale pasipohitajika badala ya akili.Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha hbr.
Adui ni wewe mwenye mawazo mgando,vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Tusubiri WaTZ waelimike na kufunguka akili kama Kijana wa Salender alivyowakilisha kuchoshwa na ukandamizaji.Nakiri kuwa sijawahi kuishabikia CCM hata kwa bahati mbaya. CCM ni chafu na inanuka. Siwezi kuishi kwenye nyumba inayonuka, nikijifunika blanketi moja na wanaonuka, nikikesha na wenzangu wanaonuka halafu nidanganye watu kwamba sinuki. Kuwa mwanachama wa CCM maana yake ni kwamba huo uvundo haukusumbui, unauona kama marashi ya Pemba.
Kuwa mwanachama wa CCM ni hatua ya kwanza katika kulisaliti taifa kwa kukubaliana na tulipokuwa, tulipo na tunakoelekea. Hata mwenyekiti muasisi wa CCM, Baba wa Taifa, alishindwa kuvumilia huo uvundo na kutishia kujitoa kama juhudi za makusudi hazikufanyika kukisafisha chama kilichoonekana wazi kabisa kukosa dira lakini masikini, hata yeye akapotezwa!
Niliipinga CCM kabla ya mfumo wa vyama vingi, nikaendelea kuipinga baada ya mfumo mpya na nitaendelea kuipinga hadi itoke madarakani. Hii ni kwa sababu ninaamini kwa dhati kwamba chama ambacho kwa muda zaidi ya nusu karne haikuweza kutuopoa katika lindi la ujinga, maradhi na umasikini, imechoka, imezeeka na haina uhalali wowote wa kubaki madarakani.
CCM inaamini katika kuhodhi kila kitu kuhodhi nchi, kuhodhi uraia, kuhodhi Katiba, kuhodhi utawala, kuhodhi haki (mahakama), kuhodhi madaraka, kuhodhi fikra, kuhodhi hoja (bunge), kuhodhi akili, kuhodhi uhai na kuhodhi hata ujinga! Naam, ukianza kuhodhi kila kitu, umekuwa sawa na kokoro na si ajabu kuhodhi hadi ujinga! Angalia ilipofikia CCM imehodhi hadi ulevi wa madaraka!
Mwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu, hata hivyo la kuvunda halina ubani na mwisho wake hauko mbali.
Mnabadirika badirika ni mdudu gani ndugu yangu au ni yale yale ya nireteeni Gwajima! Je una undugu na mwendakuzimu? Lakini kama ulitaka kusema nabadilika badilika, naomba nikukumbushe kidogo...Sasa inakuwaje mnabadirika badirika kama vinyonga?
Mwendakuzimu ndiye aliyevaa sura halisi ya CCM labda kupita waliomtangulia. Alihodhi kila kitu hadi uhai wa Watanzania. Alikuwa mchezaji, mshika kibendera na mwamuzi vyote kwa pamoja. Watu waliishi kwa huruma zake na ole wako utofautiane naye, hatma yako ilikuwa mikononi mwake.Yule anasema adui ni ccm, wengine adui alikuwa Magu,
Bahati mbaya huwezi kuelewa chochote hata ukikutana nacho uso kwa uso. Uvundo wa CCM umekulemaza.Tuelewe lipi?