Adui hatari nambari wani wa taifa letu Tanzania ni CCM, je unaafiki?

Laana hii
 
Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha hbr.
Wala sishangai, huwezi kwani juhudi kubwa inahitajika na kwa mwana CCM hata kumudu kusoma kichwa lazima umeteseka kweli kweli!
Adui ni wewe mwenye mawazo mgando,vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Mwana CCM kindandaki G'taxi, ndipo uwezo wako ulipofikia baada ya akili kuathirika kwa kuishi kwenye nyumba yenye uvundo. Fungua angalau dirisha uonje harufu ya hewa safi!
 
%100 ccm ni adui namba moja wa hii nchi, ndio mana hata wanapopeana madaraka kila mmoja anaingia na yake,tunapozungumzia CCM ni pamoja na police
 
Ila tunakoelekea nadhani itabidi jwtz (tpdf) jeshi la wananchi wa Tanzania) liingilie Kati dhulma ya polisi na ccm dhidi ya watanzania.
Hao ni zao la CCM. Wametengenezwa walivyo na ndiyo maana ni wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi, Makatibu tawala, n. K, n.k.
 
Binafsi Naona mtazunguka Sana mfumo wetu wa utawala na kifikra wa UJAMAA ndio uliotufikisha hapa

Ujamaa umetufanya tuwe waoga tushindwe kuhoji na Kama ukihoji bas utahoji ukiwa chumban kwako au mtandaon kwa fake ID ili usijulikane kuogopa mkono was dola hiz zote n athari za ujamaa ambazo zmetufanya tuwe waoga wa kila kitu

Wachache wakijitokeza kuhoji juu ya utendaji mbovu wa serikali wanaoonekana wasaliti wasioipenda nchi na hata support wanayoipata n chache Sana toka kwa raia hii yote sababu ya hofu kutokana na mifumo

Mungu awabariki hata hawa wachache wanaojaribu kupigania demokrasia katika nchi yetu naamin ipo siku mwanga tutauona

WATANZANIA N WAZURI KUONGEA MDOMONI LAKN VITENDO N HOVYOOO USIMTEGEMEE MTANZANIA KATIKA JAMBO LA KUPIGANIA DEMOKRASIA YA WOTE

lakn MTANZANIA huyo huyo akiguswa maslah yake anataka wote tumsaidie ili apate haki yake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja. Hongera Sana Mkuu Kwa uchambuzi wako uliotukuka.

Hivi sasa wameanza kubaguana wenyewe Kwa wenyewe. Mf kwenye sakata la Gwajiboy mmewaona watoa hoja walivyofika mbali Kwa kusema eti Gwaji hakuwa mwanachama wa CCM Bali wa Magu. Ni wazi kuwa hawana tena mbinu za kupambana na wale wasiowapenda.

Ukizoea Kula nyama za watu kamwe hotoiacha, by Mwl. Nyerere.
 
Siyo Magufuli tena?

Mimi nilifikiri mbaya wetu hii nchi ni Magufuli, na hata zile shangwe za wana chadema baada ya kifo chake nilifikiri sasa mtajiona mko Newyork!

Mmakwama wapi mabavicha?
Nyoka akiwa mrefu hujikuta akigonga mkia wake mwenyewe akidhani ni adui. Endelea na kejeli zako lkn iko siku utarudi humu JF Kwa ID mpya kuishambulia Chama chako chakavu baada ya kukujeruhi.
 
Chama dola,sasa bora wangekuwa kama ccp ya china wawe na vitengo competent kwenye idara mbalimbali na ziweze kuja na suluhu ya matatizo unfortunately hapo ndio hakuna kuna wachumia tumbo na waganga njaa.
 
Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha hbr.

Adui ni wewe mwenye mawazo mgando,vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Wewe yawezekana ni mvivu wa kusoma yawezekana hata shule hukumaliza Kwa uvivu wako. Ndiyo maana unatumia nguvu hata pale pasipohitajika badala ya akili.
 
Tusubiri WaTZ waelimike na kufunguka akili kama Kijana wa Salender alivyowakilisha kuchoshwa na ukandamizaji.
 
Sasa inakuwaje mnabadirika badirika kama vinyonga?
Mnabadirika badirika ni mdudu gani ndugu yangu au ni yale yale ya nireteeni Gwajima! Je una undugu na mwendakuzimu? Lakini kama ulitaka kusema nabadilika badilika, naomba nikukumbushe kidogo...

Toka siku ya kwanza nilipojiunga na Jamii Forums mwaka 2008 nilisema kuwa adui mkubwa wa taifa hili ni CCM. Leo miaka 13 toka nijiunge bado narudia kuwa adui nambari wani wa taifa ni CCM...hata siku moja sijabadilika.
Yule anasema adui ni ccm, wengine adui alikuwa Magu,
Mwendakuzimu ndiye aliyevaa sura halisi ya CCM labda kupita waliomtangulia. Alihodhi kila kitu hadi uhai wa Watanzania. Alikuwa mchezaji, mshika kibendera na mwamuzi vyote kwa pamoja. Watu waliishi kwa huruma zake na ole wako utofautiane naye, hatma yako ilikuwa mikononi mwake.
Tuelewe lipi?
Bahati mbaya huwezi kuelewa chochote hata ukikutana nacho uso kwa uso. Uvundo wa CCM umekulemaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…