Adui hatari nambari wani wa taifa letu Tanzania ni CCM, je unaafiki?

Wazii..
 
Upo sahihi kwa asilimia mia moja (100%).
CCM ni chanzo cha kila uovu.
 
True rejea maakubaliano yao na shetani mapangoni bagamoyo umasikini ni moja masharti.

CCM ni iwafanye watz masikini ili itawale. Pasipo umasikini CCM itakufa.

na ndiyo maana kundi kubwa la watu wanaoipenda ccm ni kutoka ktk mikoa masikini
 
Siyo Magufuli tena?

Mimi nilifikiri mbaya wetu hii nchi ni Magufuli, na hata zile shangwe za wana chadema baada ya kifo chake nilifikiri sasa mtajiona mko Newyork!

Mmakwama wapi mabavicha?

unazini kila anaepinga ccm ni bavicha tupo tusio na chama na tunaipinga ccm
 
Sasa chama kiingie mkataba na Shetani na limwenge Lao halafu waipende hii nchi!! Tangu lini shetani akawa na mahaba na watu??
 
Naafiki chama Cha majambazi kwa sets zao mbovu ndo adui was taifa Hilo.
 
na ndiyo maana kundi kubwa la watu wanaoipenda ccm ni kutoka ktk mikoa masikini
Na mtaji mkubwa wa CCM ni ujinga. CCM haitaki watu waelimike kwa sababu wakielimika hawatakubali tena mambo ya kijinga. Ujinga na umasikini ni kama pete na kidole.
 
Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha habari.

Adui ni wewe mwenye mawazo mgando, vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Kweli wewe ni zumbukuku wa mambo ya siasa
 
Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha habari.

Adui ni wewe mwenye mawazo mgando, vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Ccm ni adui nambari moko kwa ustawi wa mtanzania
 
Hakuna uongozi umetokea kwa Bahati mbaya dunia,nimekuja kuamini Hivyo hivi majuzi. Mungu karuhusu ccm itawale ili watanzania tuujue upumbavu wetu.
Mungu hata shusha Akina Elia ama Isaya ili kutuambia watanzania kuwa ni wapumbavu, bali anatumia ccm kutuambia na kutuonyesha upumbavu wetu. Dunia inajua kuhusu ilo, hata yule mkenya aliwai sema ( magufuli RIP) anaswaga ng'ombe M 60..
Adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, ADUI wa Tanzania ni upumbavu wa watanzania wenyewe,ccm wametake advantages tu kupitia HAKO kagep ndiyo Maana ni wachungu kweli hawana ladhi na mtu yoyote atakae jaribu kuwaamsha ng'ombe wao.
Ukiwashinda kwa hoja, watakutungia kashfa, kashfa ikishindwa Wanatumia polisi kukudhoofisha, polisi na mahakama wakishindwa wasiohulikana wanaingia mzigoni.
 
unazini kila anaepinga ccm ni bavicha tupo tusio na chama na tunaipinga ccm
Wasamehe hao, ndivyo wanavyokaririshwa kwenye hilo jumba linalonuka.
 
Umenena mkuu
 
unazini kila anaepinga ccm ni bavicha tupo tusio na chama na tunaipinga ccm
Nmekuzini lini?

Mibavicha hamjifichi wewe!

Mwanzo mlifikiri matatizo yenu ni sababu ya Magu na alipofariki makashangilia.

Taratibu mtapata akili tu
 
Kwa hiyo wewe una akili tofauti na hawa mibavicha wa humu?
.
Kama ni ndiyo, wewe unatoka katika bavicha ipi?

Huyo mwendakuzimu ndio nani?
 
Nyoka akiwa mrefu hujikuta akigonga mkia wake mwenyewe akidhani ni adui. Endelea na kejeli zako lkn iko siku utarudi humu JF Kwa ID mpya kuishambulia Chama chako chakavu baada ya kukujeruhi.
Kwani sasa hivi bado mnajeruhiwa?

Si aliekuwa anawajeruhi alishakufa?

Sasa hivi mnapumua, mko huru, maisha mazuri.!
 
Nmekuzini lini?

Mibavicha hamjifichi wewe!

Mwanzo mlifikiri matatizo yenu ni sababu ya Magu na alipofariki makashangilia.

Taratibu mtapata akili tu

chanzo cha matatizo ni ccm alafu kwani kuna ubaya watu kushangilia kifo cha meko hii nichi huru kila mtu anahaki ya kufanya anacho jisikia hii mradi havunji sheria, meko alikuwa janga la taifa, ilikuwa lazima tushangilie tu,
 
chanzo cha matatizo ni ccm alafu kwani kuna ubaya watu kushangilia kifo cha meko hii nichi huru kila mtu anahaki ya kufanya anacho jisikia hii mradi havunji sheria, meko alikuwa janga la taifa, ilikuwa lazima tushangilie tu,
Akikuwa janga na amekufa mkashangilia!

Maksema sasa mko huru, mnapumua, mama anaupiga mwingi, maisha mazuri sanaaaaa!

Bado mnalalamika tena?
 
Akikuwa janga na amekufa mkashangilia!

Maksema sasa mko huru, mnapumua, mama anaupiga mwingi, maisha mazuri sanaaaaa!

Bado mnalalamika tena?

hakika kifo cha meko ilikuwa furaha kubwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…