Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Umejibu nini sasa kama hujasoma contents za uzi,nyie ndo mnaoimba nyimbo za kusifu na kuabudu huku maisha yenu yakiwa magumu,badirika Mkuu!Hata sijasoma japo nimesoma kichwa cha habari.
Adui ni wewe mwenye mawazo mgando, vyama havisaidii chochote kwa mahala popote,adui ni mtu mvivu anaye chagua cha kufanya
Ndio!hakika kifo cha meko ilikuwa furaha kubwa,
Mkuu kuwa serious bas kidogo!Ndio!
.
Ndio maana furaha hiyo imeendelea mpaka leo!
Matatizo yenu yameisha, maisha ni mazuri, hela mmejaziwa mifukoni mwenu, mnapumua sasa, mna uhuru wa kutosha sasa,
Hakika meko aliwaonea sana!
Mi 10 tena kwa Mama atake asitake
Wenye akili tunakuelewa, lakini Imataga watakuja hapa kuharishaNakiri kuwa sijawahi kuishabikia CCM hata kwa bahati mbaya. CCM ni chafu na inanuka. Siwezi kuishi kwenye nyumba inayonuka, nikijifunika blanketi moja na wanaonuka, nikikesha na wenzangu wanaonuka halafu nidanganye watu kwamba sinuki. Kuwa mwanachama wa CCM maana yake ni kwamba huo uvundo haukusumbui, unauona kama marashi ya Pemba.
Kuwa mwanachama wa CCM ni hatua ya kwanza katika kulisaliti taifa kwa kukubaliana na tulipokuwa, tulipo na tunakoelekea. Hata mwenyekiti muasisi wa CCM, Baba wa Taifa, alishindwa kuvumilia huo uvundo na kutishia kujitoa kama juhudi za makusudi hazikufanyika kukisafisha chama kilichoonekana wazi kabisa kukosa dira lakini masikini, hata yeye akapotezwa!
Niliipinga CCM kabla ya mfumo wa vyama vingi, nikaendelea kuipinga baada ya mfumo mpya na nitaendelea kuipinga hadi itoke madarakani. Hii ni kwa sababu ninaamini kwa dhati kwamba chama ambacho kwa muda zaidi ya nusu karne haikuweza kutuopoa katika lindi la ujinga, maradhi na umasikini, imechoka, imezeeka na haina uhalali wowote wa kubaki madarakani.
CCM inaamini katika kuhodhi kila kitu...kuhodhi nchi, kuhodhi uraia, kuhodhi Katiba, kuhodhi utawala, kuhodhi haki (mahakama), kuhodhi madaraka, kuhodhi fikra, kuhodhi hoja (bunge), kuhodhi akili, kuhodhi uhai na kuhodhi hata ujinga! Naam, ukianza kuhodhi kila kitu, umekuwa sawa na kokoro na si ajabu kuhodhi hadi ujinga! Angalia ilipofikia CCM imehodhi hadi ulevi wa madaraka!
Mwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu, hata hivyo la kuvunda halina ubani na mwisho wake hauko mbali.
Nafikiri shida siyo CCM ,shida nI aina ya watu tuliyowatengeneza anzia huko mashuleni.Mtu anasoma ili apate kazi siyo ajiajiri.Mwanasiasa wa Tanzania naona bila siasa hawezi kuishi.Nakiri kuwa sijawahi kuishabikia CCM hata kwa bahati mbaya. CCM ni chafu na inanuka. Siwezi kuishi kwenye nyumba inayonuka, nikijifunika blanketi moja na wanaonuka, nikikesha na wenzangu wanaonuka halafu nidanganye watu kwamba sinuki. Kuwa mwanachama wa CCM maana yake ni kwamba huo uvundo haukusumbui, unauona kama marashi ya Pemba.
Kuwa mwanachama wa CCM ni hatua ya kwanza katika kulisaliti taifa kwa kukubaliana na tulipokuwa, tulipo na tunakoelekea. Hata mwenyekiti muasisi wa CCM, Baba wa Taifa, alishindwa kuvumilia huo uvundo na kutishia kujitoa kama juhudi za makusudi hazikufanyika kukisafisha chama kilichoonekana wazi kabisa kukosa dira lakini masikini, hata yeye akapotezwa!
Niliipinga CCM kabla ya mfumo wa vyama vingi, nikaendelea kuipinga baada ya mfumo mpya na nitaendelea kuipinga hadi itoke madarakani. Hii ni kwa sababu ninaamini kwa dhati kwamba chama ambacho kwa muda zaidi ya nusu karne haikuweza kutuopoa katika lindi la ujinga, maradhi na umasikini, imechoka, imezeeka na haina uhalali wowote wa kubaki madarakani.
CCM inaamini katika kuhodhi kila kitu...kuhodhi nchi, kuhodhi uraia, kuhodhi Katiba, kuhodhi utawala, kuhodhi haki (mahakama), kuhodhi madaraka, kuhodhi fikra, kuhodhi hoja (bunge), kuhodhi akili, kuhodhi uhai na kuhodhi hata ujinga! Naam, ukianza kuhodhi kila kitu, umekuwa sawa na kokoro na si ajabu kuhodhi hadi ujinga! Angalia ilipofikia CCM imehodhi hadi ulevi wa madaraka!
Mwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu, hata hivyo la kuvunda halina ubani na mwisho wake hauko mbali.
Ndio!
.
Ndio maana furaha hiyo imeendelea mpaka leo!
Matatizo yenu yameisha, maisha ni mazuri, hela mmejaziwa mifukoni mwenu, mnapumua sasa, mna uhuru wa kutosha sasa,
Hakika meko aliwaonea sana!
Mi 10 tena kwa Mama atake asitake
hakuna lolote....we unaweza ingia mtaani zaidi ya kuishia kwenye keyboard?.....shatapIla tunakoelekea nadhani itabidi JWTZ (TPDF) jeshi la wananchi wa Tanzania) liingilie Kati dhulma ya polisi na CCM dhidi ya Watanzania.
Tatizo lako tangia ume balehe unaishi kwa shemeji chumba cha uani, utajua wapi matatizo ya wa Tanzania.Siyo Magufuli tena?
Mimi nilifikiri mbaya wetu hii nchi ni Magufuli, na hata zile shangwe za wana chadema baada ya kifo chake nilifikiri sasa mtajiona mko Newyork!
Mmakwama wapi mabavicha?
ila kweli kuiongoza nchi hii ni rahisi sana ....i wish ningekuwa mwanasiasa ningeingia CCM ,ningejipatia kauongozi halafu ningewaburuza balaaHakuna uongozi umetokea kwa Bahati mbaya dunia,nimekuja kuamini Hivyo hivi majuzi. Mungu karuhusu ccm itawale ili watanzania tuujue upumbavu wetu.
Mungu hata shusha Akina Elia ama Isaya ili kutuambia watanzania kuwa ni wapumbavu, bali anatumia ccm kutuambia na kutuonyesha upumbavu wetu. Dunia inajua kuhusu ilo, hata yule mkenya aliwai sema ( magufuli RIP) anaswaga ng'ombe M 60..
Adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, ADUI wa Tanzania ni upumbavu wa watanzania wenyewe,ccm wametake advantages tu kupitia HAKO kagep ndiyo Maana ni wachungu kweli hawana ladhi na mtu yoyote atakae jaribu kuwaamsha ng'ombe wao.
Ukiwashinda kwa hoja, watakutungia kashfa, kashfa ikishindwa Wanatumia polisi kukudhoofisha, polisi na mahakama wakishindwa wasiohulikana wanaingia mzigoni.
😂😂 Hii nchi I naweza ongozwa na Malaika ama shetani na kila mmoja akamaliza mhura wake na kufanya chochote anachotaka na watu wasiohoji.ila kweli kuiongoza nchi hii ni rahisi sana ....i wish ningekuwa mwanasiasa ningeingia CCM ,ningejipatia kauongozi halafu ningewaburuza balaa
Nakiri kuwa sijawahi kuishabikia CCM hata kwa bahati mbaya. CCM ni chafu na inanuka. Siwezi kuishi kwenye nyumba inayonuka, nikijifunika blanketi moja na wanaonuka, nikikesha na wenzangu wanaonuka halafu nidanganye watu kwamba sinuki. Kuwa mwanachama wa CCM maana yake ni kwamba huo uvundo haukusumbui, unauona kama marashi ya Pemba.
Kuwa mwanachama wa CCM ni hatua ya kwanza katika kulisaliti taifa kwa kukubaliana na tulipokuwa, tulipo na tunakoelekea. Hata mwenyekiti muasisi wa CCM, Baba wa Taifa, alishindwa kuvumilia huo uvundo na kutishia kujitoa kama juhudi za makusudi hazikufanyika kukisafisha chama kilichoonekana wazi kabisa kukosa dira lakini masikini, hata yeye akapotezwa!
Niliipinga CCM kabla ya mfumo wa vyama vingi, nikaendelea kuipinga baada ya mfumo mpya na nitaendelea kuipinga hadi itoke madarakani. Hii ni kwa sababu ninaamini kwa dhati kwamba chama ambacho kwa muda zaidi ya nusu karne haikuweza kutuopoa katika lindi la ujinga, maradhi na umasikini, imechoka, imezeeka na haina uhalali wowote wa kubaki madarakani.
CCM inaamini katika kuhodhi kila kitu...kuhodhi nchi, kuhodhi uraia, kuhodhi Katiba, kuhodhi utawala, kuhodhi haki (mahakama), kuhodhi madaraka, kuhodhi fikra, kuhodhi hoja (bunge), kuhodhi akili, kuhodhi uhai na kuhodhi hata ujinga! Naam, ukianza kuhodhi kila kitu, umekuwa sawa na kokoro na si ajabu kuhodhi hadi ujinga! Angalia ilipofikia CCM imehodhi hadi ulevi wa madaraka!
Mwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu, hata hivyo la kuvunda halina ubani na mwisho wake hauko mbali.
Laiti nusu ya watanzania wangekuwa na fikra kama zako tungekuwa taifa lenye maendeleo. Ccm ni chaka la wezi na wavivu.Nakiri kuwa sijawahi kuishabikia CCM hata kwa bahati mbaya. CCM ni chafu na inanuka. Siwezi kuishi kwenye nyumba inayonuka, nikijifunika blanketi moja na wanaonuka, nikikesha na wenzangu wanaonuka halafu nidanganye watu kwamba sinuki. Kuwa mwanachama wa CCM maana yake ni kwamba huo uvundo haukusumbui, unauona kama marashi ya Pemba.
Kuwa mwanachama wa CCM ni hatua ya kwanza katika kulisaliti taifa kwa kukubaliana na tulipokuwa, tulipo na tunakoelekea. Hata mwenyekiti muasisi wa CCM, Baba wa Taifa, alishindwa kuvumilia huo uvundo na kutishia kujitoa kama juhudi za makusudi hazikufanyika kukisafisha chama kilichoonekana wazi kabisa kukosa dira lakini masikini, hata yeye akapotezwa!
Niliipinga CCM kabla ya mfumo wa vyama vingi, nikaendelea kuipinga baada ya mfumo mpya na nitaendelea kuipinga hadi itoke madarakani. Hii ni kwa sababu ninaamini kwa dhati kwamba chama ambacho kwa muda zaidi ya nusu karne haikuweza kutuopoa katika lindi la ujinga, maradhi na umasikini, imechoka, imezeeka na haina uhalali wowote wa kubaki madarakani.
CCM inaamini katika kuhodhi kila kitu...kuhodhi nchi, kuhodhi uraia, kuhodhi Katiba, kuhodhi utawala, kuhodhi haki (mahakama), kuhodhi madaraka, kuhodhi fikra, kuhodhi hoja (bunge), kuhodhi akili, kuhodhi uhai na kuhodhi hata ujinga! Naam, ukianza kuhodhi kila kitu, umekuwa sawa na kokoro na si ajabu kuhodhi hadi ujinga! Angalia ilipofikia CCM imehodhi hadi ulevi wa madaraka!
Mwinyi aliingia na yake, Mkapa akaingia na yake, Kikwete akaingia na yake, Magufuli kaingia na yake na sasa Mama naye kaingia na yake lakini washiriki bado ni wale wale na nyumba inayonuka bado ni ile ile. Baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi, ikaamua kung'ang'ania madaraka kwa ulaghai na matumizi ya nguvu, hata hivyo la kuvunda halina ubani na mwisho wake hauko mbali.
Bora kuliko wapuuzi chademaNaafiki 100% na ndio maana hawataki tume huru na katiba mpya plus kuiagiza polisi uovu.