Adui mkubwa wa Mtanzania ni Mtanzania mwenyewe!

Afrika, na hususan Tanzania siyo Marekani wewe hayawani. Wewe na werevu na ujasiri wako, ulikuwa wapi kupinga hilo katazo wakati wa utawala wa JPM? Mnasubiri jambo litokee halafu mnakuja kuonyesha unafiki wenu. Siasa waachieni Wanasiasa: mikutano ya kisiasa nje ya chaguzi ni watu wachache sana wanahudhuria.
 
Old ass nigga…you already know whenever me and you cross paths, it’s on-site.

I’ll fold you like a pretzel and dunk you in some Sweet Baby Ray’s Hickory & Brown Sugar barbecue sauce.

Watch your Twitter fingers.
 
....Na. Adui mkubwa wa CCM ni CCM wenyewe.

Kuwa "Ndivyo Tulivyo"

Kuna ulazima wa kubadilika Fikra.

Hayati alijaribu hayo(Kubadilisha Fikra za Wananchi wake) tunaona yanayojiri...Uhasama hasi toka mwanzo...

Hakuogopa, Wananchi nao Wakaanza kuondoa woga. Ni kwa sababu ya Ujasiri,ni kwasababu ya kuwa Kiongozi ndipo kulitupeleka kuanza Kuamini kuwa Tunaweza fanya /kuleta, mabadiliko....

Walakin...
Tumerudi kwenye Uwoga, Tumerudi Kukubali kuambiwa hatuwezi hili wala lile Kwamba bila Misaada wala Mikopo hatuwezi sogea mbele... n.k .Ni woga toka juu unatiririka chini...

Ni Uongozi tu. Na uongozi huo ni wa CCM
Tutajirudi, Lazima Tujirudi

...vile vile, sio Lazima kukubali Maadili na Utamaduni wa Nje, Iwe mwiko Kukubali. Sio kila kitu cha nje kinaweza leta Mafanikio ambayo kwa namna moja au nyingine tunakataa kuwa Tunayo hayo Mafanikio. Muda utaeleza



Bado mbichi hiyo...
Mie nimeshakubali Kwenda kuzikwa Chato, Mie nimeshakubali sihami kwenda Burundi, Mie nimeshakubali kujitoa Mhanga. Siogopi sasa kama huko Nyuma. Nawashukuru wadhalimu wote kwa kunifikisha nilipo-Kifikra, Kimawazo Uhasam wenu umenifanya kutokuwa na Uwoga.
Asanteni.

Aluta Continua
 
Old ass nigga…you already know whenever me and you cross paths, it’s on-site.

I’ll fold you like a pretzel and dunk you in some Sweet Baby Ray’s Hickory & Brown Sugar barbecue sauce.

Watch your Twitter fingers.
Duh

Ova
 
Rais hayuko juu ya sheria, hata kwa hii katiba ya sasa.

Ni ujinga na uoga wetu sisi Watanzania ndo unaowapa uthubutu hao watawala wa kupora haki za watu.
Kama katiba hii inamruhusu rais kuwa dikteta, basi tambuwa dikteta huwa juu ya sheria.

Kama sikosei, the late mwalimu Nyerere alilisema hili.
 
Most Tanzanians are lazy and sloppy, let's face the facts.
 
Kama katiba hii inamruhusu rais kuwa dikteta, basi tambuwa dikteta huwa juu ya sheria.

Kama sikosei, the late mwalimu Nyerere alilisema hili.
Actually sidhani kama katiba hii inamruhusu Rais kuwa dikteta.

Kinachompa fursa Rais kuwa dikteta ni ujinga na uoga wa wananchi.

Magufuli na Samia walitumia kipengele gani cha katiba hii kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa?
 
Actually sidhani kama katiba hii inamruhusu Rais kuwa dikteta.

Kinachompa fursa Rais kuwa dikteta ni ujinga na uoga wa wananchi.

Magufuli na Samia walitumia kipengele gani cha katiba hii kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa?
Rais ambaye hawezi kushitakiwa popote na yeyote akiwa madarakani na hata baada ya kustaafu, anaweza kupingwa na nani? Kumbuka dola yote iko mikononi mwake. Siyo jeshi, polisi wala usalama tu. Hadi mahakama hakuna mwenye uwezo wala uthubutu wa kwenda kinyume na rais.

Wakati maandamano yalipotaka kufanyika sijui yale ya “ukuta”, rais alituma jeshi la wananchi mtaani.

Rais akilalamika juu yako huna lako. Usipopotezwa unaweza kufia jela kwa kesi ya kupewa.
 
Kwa comment hii, nimemwamini Nyami Ngabu.
 
Nimezungumzia ujinga wa Watanzania na kutolea mfano majenerali wa Marekani walivyokuwa tayari kukaidi amri haramu toka kwa Trump.

Ukiwa mjinga na muoga utakubali kutekeleza amri zilizo haramu.

Ukiwa mjinga na muoga, hata katiba ikiruhusu Rais kushitakiwa mahakamani, huko mahakamani utakutana na majaji wajinga na walio waoga, hivyo hayo mashitaka dhidi ya Rais hayatakuwa na maana yoyote ile maana hakuna atayethubutu kumkuta na hatia Rais.

Inaonekana point yangu umeshindwa kuielewa.
 
06 January 2023

Balozi Wilbrod Slaa azungumzia tamko haramu la JPM kuzuia mikutano na tamko la kufutwa la kufutwa kwake

Dr. Wilbrod Slaa achambua kwa kina kuhusu zuio haramu kuondolewa na rais Samia Hassan. Tamko haramu la John Magufuli halikuandikwa ktk gazeti la serikali ( Govt Gazette) kama tangazo kwa kuwa lilikuwa haramu pia lilikuwa linapingana na katiba. Bunge kukaa kimya wakati ni jukumu lake kutunga sheria ni udhaifu mwingine. Ashangaa wanasheria wasomi kushindwa kuliona hilo na anadhani ndiyo maana wanasheria wengi wamefeli mitihani ya shule ya sheria baada ya kumaliza digrii zao kwakuwa hawajapikwa vizuri....
 
Ukitumia hisia wewe ndo mjinga maana utaishia kuishi maisha ya mateso hadi kufa ila ukiishi kwa akili ukajua kwamba hapa niwe mpole tu utaishi kwa amani... Watu ambao wapo kimya sio kwamba ni waoga au wajinga hapana ila wanajua matokeo, Unaweza ukafa na upumbavu ukabaki palepale. Upumbavu upo kwa viongozi hadi kwa wanaowaongoza, mean what ? Hiyo ni kumaanisha elimu ndo mkombozi kwa vizazi vijavyo kama ikianza kuvaliwa njuga watu wakaanza kufunzwa haki zao, Uzalendo n.k.... ila hivi vizazi vya sasa ni Too-late tulichotoka nacho kwenye shule tulizosoma ni vyeti na stori za moments... Upumbavu unarisiwa, Huwezi kupambania haki yako ambayo huijui.... Kmmake kuna vitu vinakera sana kwenye mataifa yetu ya Africa imagine viongozi wanajua kabisa mitaala tunayotumia kufundishwa shuleni haina maana yoyote kwenye maisha yetu ila still bado hata hawana habari.... Acha tu nisiongee na umri wangu huu mdogo ntaambiwa sijui kitu kwenye hii nchi nanuka mavi.
 
Eti wewe pia ni Great Thinker!
 
Unataka kusema mkuu watanzania hawana rekodi za kuandamana huko nyuma na kupata misukosuko ya polisi katika nchi hii?
 
Labda wewe ndiyo umeshindwa kuilewa point yangu.

Mkuu katiba ya marekani huwezi kuifananisha hata kidogo na ya kwetu.

Tangu Nyerere alipotaka kupinduliwa jeshi, katiba ilibadilishwa, ni vigumu kwa jeshi kwenda kinyume na rais. Ikitokea anaondolewa tu na kushitakiwa. Mwingine anateuliwa mambo yanaendelea.

Uoga wa watanzania umechangiwa na mambo kama hayo. Katiba mpya ndo mwanzo mzuri.

Kama kutakuwa na uwajibishwaji wa hao viongozi, wananchi wataona “halaa! Kumbe inawezekana?”

If there’s no way out, ni ngumu kumpata panya atakayethubutu kumfunga paka kengele.

Kama kiongozi ataruhusiwa kushitakiwa, hapo hata upande wa majaji watafanya inavyotakiwa. Lazima kuwepo na pahala pa kuanzia. Ndiyo point yangu kuwa katiba mpya ni mwanzo mzuri.

Fear can be instilled! And our leaders have just done that. Through many ways. Including by using the constitution.

Rais ni kama Mungu mtu kwa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…