Adui Muombee Njaa

Adui Muombee Njaa

Utajiumiza, acha hizo mambo za kufunga kabla afya haijatengemaa.

Pona kwanza.

BTW, leo uniombee kabla ya kulala, omba chochote kile.
Ntakuombea mchumba. Tatizo mchana kula siwezi tena. Leo nimejaribu kula apple. Kesho ntakula tena nione. Halafu nimepungua sasa
Ngoja niwapishe muombeane kwanza![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali
Sio adui umuombee kupenda,halafu huyo anaye mpenda akawa anampenda mtu mwingine ?
 
Jamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali
nini inakusibu hadi uwaze kiasi cha kupata vidonda tumbo?
hii hali haitakiwi ijirudie jmn
 
nini inakusibu hadi uwaze kiasi cha kupata vidonda tumbo?
hii hali haitakiwi ijirudie jmn
Hata sielewi na mimi ilikuaje maana sijaumwa nina miaka kama sita au saba. Ila weekend hii vimetibuka na naona havijatulia bado.
 
Back
Top Bottom