Adui wa mwafrika kwa sasa ni vyama vya siasa vinavyotawala

Adui wa mwafrika kwa sasa ni vyama vya siasa vinavyotawala

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,114
Reaction score
3,541
Naam, nimefuatilia miaka mingi kuona utendaji wa vyama tawala Afrika ni kama vimejisahau vinafanya mambo kijinga kabisa. Hii mara nyingi husababishwa na kutafuta fedha kwaajili ya uchaguzi ili kuhonga wapiga kura. Kilicho fanywa na serikali ya CCM Tanzania ni mfano wa mawazo ya hovyo kabisa.

Kuna uwezekano mkubwa wameuza bandari zetu kwa DPW ili wapate fedha za uchaguzi 2025.

Sasa hivi ramani ya Tanzania ikichorwa kama ukitoa maziwa yote na bahari tunabaki na nini?

Tuna viongozi wa hovyo ndani ya CCM kuliko kawaida.
 
Kwamba lini viliacha kuwa Adui?

Angalia mfano hai pale South Afrika, linganisha maendeleo kabla ya 1994 na maendeleo baada ya 1994
 
Kwamba lini viliacha kuwa Adui?

Angalia mfano hai pale South Afrika, linganisha maendeleo kabla ya 1994 na maendeleo baada ya 1994
Bora kipindi mapinduzi ya kijeshi yalipo kuwa yameshamiri, kidogo walikuwa wanatumia akili wakihofia kupinduliwa au kuuawa kabisa.
 
Ccm Iko Mbele Inapunga Mkono Kulia Kushoto Bila Aibu Yoyote
 
Naam, nimefuatilia miaka mingi kuona utendaji wa vyama tawala Afrika ni kama vimejisahau vinafanya mambo kijinga kabisa. Hii mara nyingi husababishwa na kutafuta fedha kwaajili ya uchaguzi ili kuhonga wapiga kura. Kilicho fanywa na serikali ya CCM Tanzania ni mfano wa mawazo ya hovyo kabisa.

Kuna uwezekano mkubwa wameuza bandari zetu kwa DPW ili wapate fedha za uchaguzi 2025.

Sasa hivi ramani ya Tanzania ikichorwa kama ukitoa maziwa yote na bahari tunabaki na nini?

Tuna viongozi wa hovyo ndani ya CCM kuliko kawaida.
Kweli vyama vikongwe kama CCM vimejenga mfumo mbovu na havina tena dhamira nzuri kwa waafrika.
 
Naam, nimefuatilia miaka mingi kuona utendaji wa vyama tawala Afrika ni kama vimejisahau vinafanya mambo kijinga kabisa. Hii mara nyingi husababishwa na kutafuta fedha kwaajili ya uchaguzi ili kuhonga wapiga kura. Kilicho fanywa na serikali ya CCM Tanzania ni mfano wa mawazo ya hovyo kabisa.

Kuna uwezekano mkubwa wameuza bandari zetu kwa DPW ili wapate fedha za uchaguzi 2025.

Sasa hivi ramani ya Tanzania ikichorwa kama ukitoa maziwa yote na bahari tunabaki na nini?

Tuna viongozi wa hovyo ndani ya CCM kuliko kawaida.
CCM,ZANUPF Zimbabwe na SWAPO Namibia hivi vyama yamepitwa na wakati vinatakiwa vitoke madarakani
 
Kweli vyama vikongwe kama CCM vimejenga mfumo mbovu na havina tena dhamira nzuri kwa waafrika.
CCM hawa wamefika mahali kuona hata Tanzania ni yao. Jeshi lipo tu. Natamani siku moja wakutane na mapinduzi ya kijeshi ili akili ziwakae sawa.
 
Back
Top Bottom