Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
you can't go against nature
Siwezi kwenda kinyume na maumbile kivipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you can't go against nature
you can't go against nature
1 wakoritho 15:26 inasema hivi; (adui wa mwisho atakaye batitilishwa ni mauti) hapa ina maana Mungu atakuja kumuondoa kwanza ibilisi adui mkubwa ndo kifo kiondolewe,. nimeamua kutumia andiko la biblia kwa sababu hii mada iko ki spritual zaidi.
kile kidhiirishacho uepo wa mungu ni pale binadam wato wanapo jichanganya mtu wa kwanza katoka wapi
Very tricky qustion within a question...mr eistern umeanzia mbali kidogo sjakuelewa unamaanishaniTeh teh teh
You can't Go Against Nature.Well
You sound Like very Wise Guy Mr rajabkisauti
Anyway,Let Me Ask you A simple Question My Brother;
You've said that One Can't Go Against nature,But Do you Know that,Nature Itself Ensure the Balance For Everything?Do You Know what Exactly I Mean From that Question?
Very tricky qustion within a question...mr eistern umeanzia mbali kidogo sjakuelewa unamaanishani
kwani Mungu wa kwanza katoka wapi?
Ndugu yangu napenda nipingane na wewe,lakini ni kwa hoja na sio kwa ngumi au matusi.
Kwanza adui wa mwanadamu SIO kifo (mauti),bali adui wa mwanadamu ni IBILISI/SHETANI.Ingawa wengi hawatokubali hoja hii na wengine wametamka hadharani kabisa kwamba shetani ndiye Mungu wao,lakini Mwenyezi Mungu ametutahadharisha juu ya huyu shetani kwamba ni ADUI YETU DHAHIRI.Na akasisitiza kwamba atakayemfanya shetani ni rafiki /Mungu/mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu;hakika amepata khasara zilizokua wazi.
Pili,kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu.Yeye ndiye ANAYEFISHA na KUHUISHA.Na anasema kwamba kila nafsi ITAONJA UMAUTI.Na Mwenyezi Mungu kwa msisitizo kabisa anatuambia kwamba haifi nafsi yoyote ila KWA IDHINI YAKE.Yeye pekee ndiye mwenye kumiliki uhai wa kila kiumbe mbinguni na ardhini.
Tatu,kifo ni HATIMA YA LAZIMA kwa kila kiumbe.Mwanadamu hakuumbwa kuishi milele hapa duniani.Anaishi hapa kwa kipindi maalum kilichowekwa na Muumba.Muda wako wa kuwepo hapa duniani ukikamilika,kifo kinakuondoa hapa kwenda kizuizini.Sasa wale waliodai na wanaodai hakuna Mungu wakifa warudishie uhai kama jeuri wanayo maana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye MMILIKI wa uhai wa viumbe vyote akiwemo na huyo shetani.
Dunia hii kuna adui moja tu ambaye ni tishio kwa mwanadamu. Adui huyo hakuna mwanadamu anayeweza kumshinda licha ya kuwa mwanadamu hufanya jitihada za kila namna kumwangamiza lakini jitihada hizo hukwama.
KIFO.
Kifo ndiye adui mbaya na hatari katika maisha ya mwanadamu, kamwe hakuna aliyeshinda kifo kwa uzao wa mwanadamu wala hatotokea atakayeshinda kifo.
Kifo haijaletwa na MWENYEZI MUNGU duniani, MUNGU alituumba tuishi milele lakini uasi ndio imeleta kifo duniani.
Hakuna anayempenda huyo adui lakini hakuna namna ya kumshinda.
Ndugu yangu napenda nipingane na wewe,lakini ni kwa hoja na sio kwa ngumi au matusi.
Kwanza adui wa mwanadamu SIO kifo (mauti),bali adui wa mwanadamu ni IBILISI/SHETANI.Ingawa wengi hawatokubali hoja hii na wengine wametamka hadharani kabisa kwamba shetani ndiye Mungu wao,lakini Mwenyezi Mungu ametutahadharisha juu ya huyu shetani kwamba ni ADUI YETU DHAHIRI.Na akasisitiza kwamba atakayemfanya shetani ni rafiki /Mungu/mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu;hakika amepata khasara zilizokua wazi.
Pili,kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu.Yeye ndiye ANAYEFISHA na KUHUISHA.Na anasema kwamba kila nafsi ITAONJA UMAUTI.Na Mwenyezi Mungu kwa msisitizo kabisa anatuambia kwamba haifi nafsi yoyote ila KWA IDHINI YAKE.Yeye pekee ndiye mwenye kumiliki uhai wa kila kiumbe mbinguni na ardhini.
Tatu,kifo ni HATIMA YA LAZIMA kwa kila kiumbe.Mwanadamu hakuumbwa kuishi milele hapa duniani.Anaishi hapa kwa kipindi maalum kilichowekwa na Muumba.Muda wako wa kuwepo hapa duniani ukikamilika,kifo kinakuondoa hapa kwenda kizuizini.Sasa wale waliodai na wanaodai hakuna Mungu wakifa warudishie uhai kama jeuri wanayo maana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye MMILIKI wa uhai wa viumbe vyote akiwemo na huyo shetani.
Kwa mantiki yako ninahuakika unataka kusema kwamba Mungu ndo muweza wa yote na ni rafiki yetu mwema.....hoja yangu kwa nn aliliumba hili li shetani/ibilis?
Mkuu,kitu nilichojifunza kwa Hawa wenzetu,ni kwamba wana Majibu Mepesi kwenye Maswali Magumu kama Haya
Mungu anajua yote yatakayo tokea Kabla Hayajatokea
Alijua Fika Madhara ya Ibilisi lakini Bila sababu yoyote ya Maana Akaamua kumuumba
Wanamuita Mungu mwenye upendo,lakini wakati Huohuo Anaanda Jehanum kwa Makosa aliyoyafanya yeye Mwenyewe.Lol
Tatizo kila siku unatuletea yaliyoujaza moyo wako ambayo ni uoga na kutokujiamini.
Kwani kushindwa kujirudishia uhai kunathibitishaje kwamba mungu yupo?
Jichunguze sana kijana! Usiwe unamuabudu mungu wako kwa vijisababu vidogo kama hivi... Maana ukitumia matatizo yanayoikabili jamii binadamu kama kigezo cha kumwamini na kumwabudu mungu wako, siku hayo matatizo yakipata majibu utapoteza imani.
Na hapa humaanishi kwamba unamuabudu huyo Mungu wako bali unayaabudu matatizo yako.
Na kama mungu wako ndio huyu anaeshindwa na matatizo kama haya tuyaonayo, basi ujue ni msiba mkubwa kwenu.
Maana hakudhihirishi ukuu wake bali kunadhihirisha udhaifu wake 🙂
Tumia AKILI zako nyingi ulizonazo kujifunza kupitia Qur'an kufahamu ni kwann wanadamu na MAJINI wameumbwa. Itakusaidia sn. Usipojifunza kitu na ukabaki na msimamo wako huo huo. Basi tunga na wewe Kitabu chako cha dini/mfumo wa maisha kitakachofanana na Qur'an. Ukifanikiwa, basi utakuwa sawa ktk Imani yako ya kutokuamini uwepo wa Mungu
Tumia AKILI zako nyingi ulizonazo kujifunza kupitia Qur'an kufahamu ni kwann wanadamu na MAJINI wameumbwa. Itakusaidia sn. Usipojifunza kitu na ukabaki na msimamo wako huo huo. Basi tunga na wewe Kitabu chako cha dini/mfumo wa maisha kitakachofanana na Qur'an. Ukifanikiwa, basi utakuwa sawa ktk Imani yako ya kutokuamini uwepo wa Mungu