Adui wa mwanadamu duniani

Adui wa mwanadamu duniani

1 wakoritho 15:26 inasema hivi; (adui wa mwisho atakaye batitilishwa ni mauti) hapa ina maana Mungu atakuja kumuondoa kwanza ibilisi adui mkubwa ndo kifo kiondolewe,. nimeamua kutumia andiko la biblia kwa sababu hii mada iko ki spritual zaidi.
 
you can't go against nature

Teh teh teh

You can't Go Against Nature.Well
You sound Like very Wise Guy Mr rajabkisauti

Anyway,Let Me Ask you A simple Question My Brother;

You've said that One Can't Go Against nature,But Do you Know that,Nature Itself Ensure the Balance For Everything?Do You Know what Exactly I Mean From that Question?
 
Last edited by a moderator:
Our Deepest Fear is not that we are inadequate,our deepest fear is that we are powerful beyond measures,it's our lights and not the darkness that most frighten us.
 
Kuna watu wenye mateso ya aina mbali mbali hapa duniani hawa watu hutamani kifo kuliko hayo mateso yaani huona kifo ni nafuu kuliko hayo mateso.. Sidhani kama kifo ndiye adui namba moja wa binadamu
 
1 wakoritho 15:26 inasema hivi; (adui wa mwisho atakaye batitilishwa ni mauti) hapa ina maana Mungu atakuja kumuondoa kwanza ibilisi adui mkubwa ndo kifo kiondolewe,. nimeamua kutumia andiko la biblia kwa sababu hii mada iko ki spritual zaidi.

Fafanua .. !
 
kile kidhiirishacho uepo wa mungu ni pale binadam wato wanapo jichanganya mtu wa kwanza katoka wapi
 
Teh teh teh

You can't Go Against Nature.Well
You sound Like very Wise Guy Mr rajabkisauti

Anyway,Let Me Ask you A simple Question My Brother;

You've said that One Can't Go Against nature,But Do you Know that,Nature Itself Ensure the Balance For Everything?Do You Know what Exactly I Mean From that Question?
Very tricky qustion within a question...mr eistern umeanzia mbali kidogo sjakuelewa unamaanishani
 
Last edited by a moderator:
Very tricky qustion within a question...mr eistern umeanzia mbali kidogo sjakuelewa unamaanishani

Every creature Need to have a weakness in order to Balance the Nature,sijui Umenielewa?

Mfano kwenye Bailogia,kuna kitu kinaitwa Ecosystem
Ecosystem ni Mfumo unaoonyesha Jinsi Gani viumbe vinategemeana.
Mathalani,tuna viumbe vinne;Simba,swala,Majani,na Bacteria
Viumbe Hivi vyote vinategemeana,na kila kiumbe kina Udhaifu wake

Udhaifu wa Majani ni kuliwa na swala
Udhaifu wa swala ni kuliwa na simba
Udhaifu wa simba ni kuuliwa na Bacteria
Na udhaifu wa Bacteria ni simple structure yake inayomzuia kuishi kwa Mda mrefu.

kwahiyo lazima kila kiumbe kiwe na udhaifu ili kubalance Ecosytem
swala wasingekuwa wanaliwa na simba,basi idadi yao ingekuwa kubwa sana kuliko majani.kwasababu majani ndiyo chakula chao kikubwa
wengi wangekufa kwa njaa.
so udhaifu wao unabalance Idadi yao

so I ask you Again,Do you believe Nature Ensure the Balance for Everything?
 
Ndugu yangu napenda nipingane na wewe,lakini ni kwa hoja na sio kwa ngumi au matusi.
Kwanza adui wa mwanadamu SIO kifo (mauti),bali adui wa mwanadamu ni IBILISI/SHETANI.Ingawa wengi hawatokubali hoja hii na wengine wametamka hadharani kabisa kwamba shetani ndiye Mungu wao,lakini Mwenyezi Mungu ametutahadharisha juu ya huyu shetani kwamba ni ADUI YETU DHAHIRI.Na akasisitiza kwamba atakayemfanya shetani ni rafiki /Mungu/mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu;hakika amepata khasara zilizokua wazi.
Pili,kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu.Yeye ndiye ANAYEFISHA na KUHUISHA.Na anasema kwamba kila nafsi ITAONJA UMAUTI.Na Mwenyezi Mungu kwa msisitizo kabisa anatuambia kwamba haifi nafsi yoyote ila KWA IDHINI YAKE.Yeye pekee ndiye mwenye kumiliki uhai wa kila kiumbe mbinguni na ardhini.
Tatu,kifo ni HATIMA YA LAZIMA kwa kila kiumbe.Mwanadamu hakuumbwa kuishi milele hapa duniani.Anaishi hapa kwa kipindi maalum kilichowekwa na Muumba.Muda wako wa kuwepo hapa duniani ukikamilika,kifo kinakuondoa hapa kwenda kizuizini.Sasa wale waliodai na wanaodai hakuna Mungu wakifa warudishie uhai kama jeuri wanayo maana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye MMILIKI wa uhai wa viumbe vyote akiwemo na huyo shetani.

Hivi huyo Shetani/ibilisi ni nani?

Pili tunakufa sababu tulizaliwa (kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho) hakuna yoyote alieumba kifo, si wewe wala Mungu wako unaemsimulia hapa.

Tatu naomba uniambie kizuizini ni wapi? Kuhusu kurudisha uhai mbona hata wanaodai Mungu yupo hawajawahi kurudisha uhai walipokufa? Kwasababu wote tupo hapa kukamilisha kanuni moja tu kuwa kila mwanzo una mwisho. Na unajuaje kama haturudi tena duniani?
Usisahau kunijibu SHETANI/IBILISI ni nani na kizuizini ni wapi?
 
Dunia hii kuna adui moja tu ambaye ni tishio kwa mwanadamu. Adui huyo hakuna mwanadamu anayeweza kumshinda licha ya kuwa mwanadamu hufanya jitihada za kila namna kumwangamiza lakini jitihada hizo hukwama.

KIFO.
Kifo ndiye adui mbaya na hatari katika maisha ya mwanadamu, kamwe hakuna aliyeshinda kifo kwa uzao wa mwanadamu wala hatotokea atakayeshinda kifo.
Kifo haijaletwa na MWENYEZI MUNGU duniani, MUNGU alituumba tuishi milele lakini uasi ndio imeleta kifo duniani.

Hakuna anayempenda huyo adui lakini hakuna namna ya kumshinda.

Hizo jitihada za kukishinda kifo zinafanyikia wapi? ( naomba ushahidi)

Uthibitisho wa uadui wa kifo mana mi toka nizaliwe sijawahi kuona kama kifo ni Adui
 
Ndugu yangu napenda nipingane na wewe,lakini ni kwa hoja na sio kwa ngumi au matusi.
Kwanza adui wa mwanadamu SIO kifo (mauti),bali adui wa mwanadamu ni IBILISI/SHETANI.Ingawa wengi hawatokubali hoja hii na wengine wametamka hadharani kabisa kwamba shetani ndiye Mungu wao,lakini Mwenyezi Mungu ametutahadharisha juu ya huyu shetani kwamba ni ADUI YETU DHAHIRI.Na akasisitiza kwamba atakayemfanya shetani ni rafiki /Mungu/mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu;hakika amepata khasara zilizokua wazi.
Pili,kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu.Yeye ndiye ANAYEFISHA na KUHUISHA.Na anasema kwamba kila nafsi ITAONJA UMAUTI.Na Mwenyezi Mungu kwa msisitizo kabisa anatuambia kwamba haifi nafsi yoyote ila KWA IDHINI YAKE.Yeye pekee ndiye mwenye kumiliki uhai wa kila kiumbe mbinguni na ardhini.
Tatu,kifo ni HATIMA YA LAZIMA kwa kila kiumbe.Mwanadamu hakuumbwa kuishi milele hapa duniani.Anaishi hapa kwa kipindi maalum kilichowekwa na Muumba.Muda wako wa kuwepo hapa duniani ukikamilika,kifo kinakuondoa hapa kwenda kizuizini.Sasa wale waliodai na wanaodai hakuna Mungu wakifa warudishie uhai kama jeuri wanayo maana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye MMILIKI wa uhai wa viumbe vyote akiwemo na huyo shetani.

Kwa mantiki yako ninahuakika unataka kusema kwamba Mungu ndo muweza wa yote na ni rafiki yetu mwema.....hoja yangu kwa nn aliliumba hili li shetani/ibilis?
 
Kwa mantiki yako ninahuakika unataka kusema kwamba Mungu ndo muweza wa yote na ni rafiki yetu mwema.....hoja yangu kwa nn aliliumba hili li shetani/ibilis?

Mkuu,kitu nilichojifunza kwa Hawa wenzetu,ni kwamba wana Majibu Mepesi kwenye Maswali Magumu kama Haya

Mungu anajua yote yatakayo tokea Kabla Hayajatokea
Alijua Fika Madhara ya Ibilisi lakini Bila sababu yoyote ya Maana Akaamua kumuumba

Wanamuita Mungu mwenye upendo,lakini wakati Huohuo Anaanda Jehanum kwa Makosa aliyoyafanya yeye Mwenyewe.Lol
 
Mkuu,kitu nilichojifunza kwa Hawa wenzetu,ni kwamba wana Majibu Mepesi kwenye Maswali Magumu kama Haya

Mungu anajua yote yatakayo tokea Kabla Hayajatokea
Alijua Fika Madhara ya Ibilisi lakini Bila sababu yoyote ya Maana Akaamua kumuumba

Wanamuita Mungu mwenye upendo,lakini wakati Huohuo Anaanda Jehanum kwa Makosa aliyoyafanya yeye Mwenyewe.Lol

Tumia AKILI zako nyingi ulizonazo kujifunza kupitia Qur'an kufahamu ni kwann wanadamu na MAJINI wameumbwa. Itakusaidia sn. Usipojifunza kitu na ukabaki na msimamo wako huo huo. Basi tunga na wewe Kitabu chako cha dini/mfumo wa maisha kitakachofanana na Qur'an. Ukifanikiwa, basi utakuwa sawa ktk Imani yako ya kutokuamini uwepo wa Mungu
 
Tatizo kila siku unatuletea yaliyoujaza moyo wako ambayo ni uoga na kutokujiamini.

Kwani kushindwa kujirudishia uhai kunathibitishaje kwamba mungu yupo?
Jichunguze sana kijana! Usiwe unamuabudu mungu wako kwa vijisababu vidogo kama hivi... Maana ukitumia matatizo yanayoikabili jamii binadamu kama kigezo cha kumwamini na kumwabudu mungu wako, siku hayo matatizo yakipata majibu utapoteza imani.
Na hapa humaanishi kwamba unamuabudu huyo Mungu wako bali unayaabudu matatizo yako.

Na kama mungu wako ndio huyu anaeshindwa na matatizo kama haya tuyaonayo, basi ujue ni msiba mkubwa kwenu.
Maana hakudhihirishi ukuu wake bali kunadhihirisha udhaifu wake 🙂

Kuamini uwepo wa Mungu hakuleti maana ya kuwa na uwezo kwa mwenye kuamini KUJIRUDISHIA UHAI. Ni kanuni ya Imani kuumbwa, kuzaliwa, kuishi na kufa.
 
Tumia AKILI zako nyingi ulizonazo kujifunza kupitia Qur'an kufahamu ni kwann wanadamu na MAJINI wameumbwa. Itakusaidia sn. Usipojifunza kitu na ukabaki na msimamo wako huo huo. Basi tunga na wewe Kitabu chako cha dini/mfumo wa maisha kitakachofanana na Qur'an. Ukifanikiwa, basi utakuwa sawa ktk Imani yako ya kutokuamini uwepo wa Mungu

Hakuna kitabu cha Hovyoo kama Hicho ulichonishauri Nisome.

Na siyo Mimi tu,Hata Mtoto wa shule ya Msingi anaweza kutunga kitabu Bora kuliko Quran.
 
Tumia AKILI zako nyingi ulizonazo kujifunza kupitia Qur'an kufahamu ni kwann wanadamu na MAJINI wameumbwa. Itakusaidia sn. Usipojifunza kitu na ukabaki na msimamo wako huo huo. Basi tunga na wewe Kitabu chako cha dini/mfumo wa maisha kitakachofanana na Qur'an. Ukifanikiwa, basi utakuwa sawa ktk Imani yako ya kutokuamini uwepo wa Mungu

Mkuu kwasababu wewe umesoma hiyo quran naomba kufahamu kwanini wanadamu na majini wameumbwa, ikiwezekana na ufafanuzi pia kuwa majini ni nini?
Natanguliza shukrani zangu za dhati....
 
Back
Top Bottom