einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,674
Nimewapuuza Tu. Mnabisha kwa Shallow Learning... Na kwa makusudi kabisa mnapotosha hata kile mlichokielewa. Mnalazimisha kutokuelewa.
Nawakumbusha tena, Mwenyezi Mungu ni mkubwa kuliko chochote /Yeyote, na mwenye uwezo wa kila kitu.
Oneni ukuu wake, fungueni macho na akili. MTAELEWA.
Mkuu Ina Maana Mungu anaweza kila kitu?sawa!
Binadamu anaweza kusahau,so kama Mungu anaweza kila kitu,Je yeye pia anaweza kusahau?