Adui wa mwanadamu duniani

Adui wa mwanadamu duniani

Byizle

Qur'an
7:54> Ameumba Mbingu na Ardhi kwa siku 6 kisha akaumba Jua, Mwezi na Nyota. (Kwann usione tendo hili la kuumba Jua, Nyota na Mwezi linakamilisha ck 7?)

Qur'an 10:3 na siyo 10:13 Hapa kaongelea kuumba Mbingu BILA IDADI na Ardhi kwa siku 6. {Ni Mbingu na Ardhi


Wewe Hesabu unaijua vizuri?

Quran 7:54
"Hakika Mola Mlezi aliyeziumba Mbingu na Ardhi kwa siku 6"

Hapa,Mbingu+Ardhi=siku 6.

Quran 41:9
"Sema Hivyo nyinyi mnaomkata aliyeumba Ardhi kwa siku Mbili"

Mbingu+ardhi=siku 6
lakini ardhi=siku 2
kwahiyo Mbingu=siku 4

Quran 41:12
"Na akaweka humo milima juu yake na akabariki humo,na akakadiria humo chakula chake katika siku 4."
Milima+chakula+vinginevyo=siku 4

Pia kwa mujibu wa Maelezo yako,Jua,mwezi na nyota Havikuumbwa pamoja na Mbingu

Hitimisho;
Milima+chakula+vinginevyo=4
Mbingu=4
Ardhi=2
jua,mwezi,nyota=1
Jumla 4+4+2+1=siku 11

kwanini iwe siku 11,Wakati Allah aliuumba vitu vyote ndani ya siku 6?

naomba kuulza swali kwenye hilo:mfano:siku ya jumamosi fundi juma aliweka tiles nusu ya nyumba,siku hiyo hiyo alipaka rangi nusu ya nyumba hiyo,siku ya pili yaani juma pili fundi juma alimalizia kuweka tiles katika sehemu iliyobaki na kumalizia kupaka rangi sehemu ya nyumba iliyo baki,fundi juma anaulizwa uliweka tiles katika nyumba hii kwa siku ngapi? Fundi juma anasema nimetumia siku mbili kuweka tiles hizi!kisha anaulizwa ulipaka rangi nyumba hii kwa muda gani?fundi juma anasema nimetumia siku mbili kupaka rangi katika nyumba hii! Je!hapa tutajumlisha siku 2za tiles+2 za rangi kuwa ni siku4? Au uhalisia unabaki kuwa alikamilisha kazi zote hizo kwa siku 2 yaani j'mosi na j'pili?
 
Last edited by a moderator:
jimena wewe ni mwanamke ila wanawake wengi ni wanazi sana kwenye dini, wanawaamini wachungaji wao kiasi hata anaweza kujifilisi atoe sadaka amridhishe mchungaji, wewe jamii inakuchukuliaje? au hujajiweka wazi kua wewe sio muumini

Mi naishi dunia ambayo hakuna anayejali maisha ya mwingine. Hapa kila mtu na maisha yake mkuu.
Binafsi sio mtu wa kufatilia watu wengine wanavyosema kuhusu mimi.
 
naomba kuulza swali kwenye hilo:mfano:siku ya jumamosi fundi juma aliweka tiles nusu ya nyumba,siku hiyo hiyo alipaka rangi nusu ya nyumba hiyo,siku ya pili yaani juma pili fundi juma alimalizia kuweka tiles katika sehemu iliyobaki na kumalizia kupaka rangi sehemu ya nyumba iliyo baki,fundi juma anaulizwa uliweka tiles katika nyumba hii kwa siku ngapi? Fundi juma anasema nimetumia siku mbili kuweka tiles hizi!kisha anaulizwa ulipaka rangi nyumba hii kwa muda gani?fundi juma anasema nimetumia siku mbili kupaka rangi katika nyumba hii! Je!hapa tutajumlisha siku 2za tiles+2 za rangi kuwa ni siku4? Au uhalisia unabaki kuwa alikamilisha kazi zote hizo kwa siku 2 yaani j'mosi na j'pili?

Jifunze Kwanza kutengeneza Mifano Isiyojichanganya.
Mfano wako wa Fundi Juma Hauna Specific time-interval.Haujaonesha Juma Alitumia Masaa Mangapi kupaka rangi,na Masaa Mangapi kuweka Tiles,kumbuka siku Ina Masaa 24

ulitakiwa kuonyesha Juma,alitumia Masaa mangapi kupaka rangi,na Mangapi kuweka T
 
Jifunze Kwanza kutengeneza Mifano Isiyojichanganya.
Mfano wako wa Fundi Juma Hauna Specific time-interval.Haujaonesha Juma Alitumia Masaa Mangapi kupaka rangi,na Masaa Mangapi kuweka Tiles,kumbuka siku Ina Masaa 24

ulitakiwa kuonyesha Juma,alitumia Masaa mangapi kupaka rangi,na Mangapi kuweka T

Duuu we jamaa unabshana!
 
naomba kuulza swali kwenye hilo:mfano:siku ya jumamosi fundi juma aliweka tiles nusu ya nyumba,siku hiyo hiyo alipaka rangi nusu ya nyumba hiyo,siku ya pili yaani juma pili fundi juma alimalizia kuweka tiles katika sehemu iliyobaki na kumalizia kupaka rangi sehemu ya nyumba iliyo baki,fundi juma anaulizwa uliweka tiles katika nyumba hii kwa siku ngapi? Fundi juma anasema nimetumia siku mbili kuweka tiles hizi!kisha anaulizwa ulipaka rangi nyumba hii kwa muda gani?fundi juma anasema nimetumia siku mbili kupaka rangi katika nyumba hii! Je!hapa tutajumlisha siku 2za tiles+2 za rangi kuwa ni siku4? Au uhalisia unabaki kuwa alikamilisha kazi zote hizo kwa siku 2 yaani j'mosi na j'pili?

We jamaa n zaid ya mwl. Mashaallah
 
Jifunze Kwanza kutengeneza Mifano Isiyojichanganya.
Mfano wako wa Fundi Juma Hauna Specific time-interval.Haujaonesha Juma Alitumia Masaa Mangapi kupaka rangi,na Masaa Mangapi kuweka Tiles,kumbuka siku Ina Masaa 24

ulitakiwa kuonyesha Juma,alitumia Masaa mangapi kupaka rangi,na Mangapi kuweka T

Kwani ktk Qur'an Allah ameonyesha specific time????
 
God created universe for Reason not Religion
 
Basi wewe Ndiyo Hovyo kuliko Qur'an Maana Mpaka Leo Hujui Uhovyo wake.

Quran 36:40,surat ya-sin.
Haliwi Jua kuufikia Mwezi wala Usiku kuupita Mchana na Vyote Vinaogelea katika Njia zao

Maelezo ya Hiyo sura ni Haya;
"Haipelekei Jua Likaacha Sharia zake Likakutana na Mwezi
Na likaingia Katika Njia zake,wala Usiku Hauwezi kuushinda Mchana ukazuia usije,Bali vyote Viwili Hupeana zamu.Na vyote Jua na Mwezi,
Vinaogelea katika Njia za Mbinguni wala Haviachi Njia.

Hapo kwenye Redi,
Neno Njia limetumika kama Orbit ya Sayari,kwa Maana Hiyo Basi.Mwezi pamoja na Jua vyote vipo katika Orbit.
Pia Jua na Mwezi vinaizunguka Dunia katika Orbit zao Bila kukutana.

Hivi,Jua tangu lini Likazunguka?
Au tangu lini Jua likawa kwenye Orbit?

Maelezo yote ya Hiyo sura,yamebase katika Geocentric theory[A-level umesoma Hichi kitu]

Katika Hii nadharia,Jua,nyota na Mwezi vyote vinaizunguka Dunia.
Geocentric theory ni Uongo.
Napenda sana mchango wako hapa JF mkuu. Alafu jinsi hizi dini zinavyolewesha atakataa
 
Dunia hii kuna adui moja tu ambaye ni tishio kwa mwanadamu. Adui huyo hakuna mwanadamu anayeweza kumshinda licha ya kuwa mwanadamu hufanya jitihada za kila namna kumwangamiza lakini jitihada hizo hukwama.

KIFO.
Kifo ndiye adui mbaya na hatari katika maisha ya mwanadamu, kamwe hakuna aliyeshinda kifo kwa uzao wa mwanadamu wala hatotokea atakayeshinda kifo.
Kifo haijaletwa na MWENYEZI MUNGU duniani, MUNGU alituumba tuishi milele lakini uasi ndio imeleta kifo duniani.

Hakuna anayempenda huyo adui lakini hakuna namna ya kumshinda.

Mwana wa Adam alishayashinda mauti, amekushindia na wewe pia... Elewa shetani anamtumia binadamu kuangamiza wanadamu... Na sisi wanadamu hatujielewi kwa sababu wengi wao wamekosa maarifa ya kumjua Mungu
 
Back
Top Bottom