Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
- Thread starter
- #41
Nadhani wengi wanapenda kuoa mapema, ila mazingira ndio yanawabana. Ni nadra sana kukuta mwanaume anaoa ni early 20's. Ila all in all unachoongea ni points.Bible kwenye Mithali 5 nadhani kuna mistari inasema hivi "heri kuwa wawili kuliko mmoja maana wapata ijara njema kwa Bwana, tena walalapo wawili wanaweza kupata joto, ni rahisi kuvunja kijiti kimoja kuliko vitano" haya maneno hayako hivyo ila yapo kwa mtindo huo.