Hakuna ndoa nzuri wala ndoa mbaya bali wenye ndoa ndio wanawajibika kuifanya ndoa yao kupitia wao ionekane nzuri ama mbaya..Watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakitegemea(kupatiwa/kupata_to get) vitu fulani fulani na sio kutoa(to give) vitu fulani fulani,ukiingia kwenye ndoa elewa kuwa UNATEGEMEWA kutoa na sio old mindset ya kutaka KUPOKEA TU__Unaweza ukasoma majarida yote unayoyafahamu kuhusu ndoa/ kwenda semina zote za ndoa/ kusikiliza shuhuda zote za ndoa lakini 'rest assured' unapaswa UJIPENDE WEWE KWANZA kabla ya KUTAKA KUMPENDA mtu mwingine,unapaswa ujielewe/ujitambue wewe kwanza kabla ya kutaka UWAELEWE watu wengine na kikubwa zaidi ufahamu UNAKWENDA KUTAFUTA NINI KWENYE NDOA(kama vyote vinavyopatikana ndani ya ndoa,wewe unaweza kuvipata nje ya ndoa)?? All together we can take BILL and MELINDA GATES kama our case study,i guess kuna mengi ya kujifunza kwenye mshusiano[emoji848].