Adv. Bashir Yakub: Tatizo siyo Law School

Adv. Bashir Yakub: Tatizo siyo Law School

Eti wew naye ni advocate

Ngoja nikwambie kuna vyuo ambavyo vina dahili wanafunzi cream wenye division one nzuri tu lkn hao hao wakifika law school wanagonga mwamba

Wakufunzi wa Law school most of them ndo hao hao waliowapika hao wanafunzi wakiwa vyuoni. Unakuta mtu ni lecturer UDSM at the same time ni lecturer wa Law school. Anasemaje wanafunzi hawakupikwa vzr wakati yeye ndo amewapika vyuoni?

Wakufunzi wa law school most of them wamesoma kwenye hvyo hvyo vyuo ambavyo wew unaviona sio bora. Wao wamepata ubora wao wapi?

Kuna walioko kwenye field ya sheria kwa miaka mingi kama mahakimu na ma lecturer wa vyuo mbalimbali wengine mpaka wana masters lkn wakifika LST wanadunda. Hiyo sheria inayofundishwa hapo inatoka mbinguni?

Law schools za nchi zingine kama Kenya na Uganda hakuna mass failure ya aina hii kwamba sisi ndo vilaza kuliko wenzetu?

Hata mtu aniweke kisu shingoni kwa pass ya wanafunzi 26 kati ya zaid ya wanafunzi 600 siwezi kushawishika kwamba eti tatizo liko kwa wanafunzi. Noooo. Ma lecturers wa nchi hii nawafahamu vzr ni wapenda sifa sana.

La mwisho liko hvi, kama wew ni mwalimu unafundisha wanafunzi alafu wanafeli mtihani wako kwa kiasi kikubwa hvyo that means huwa wanafunzi hawakuelewi achana na kazi ya kufundisha.
 
Eti wew naye ni advocate

Ngoja nikwambie kuna vyuo ambavyo vina dahili wanafunzi cream wenye division one nzuri tu lkn hao hao wakifika law school wanagonga mwamba

Wakufunzi wa Law school most of them ndo hao hao waliowapika hao wanafunzi wakiwa vyuoni. Unakuta mtu ni lecturer UDSM at the same time ni lecturer wa Law school. Anasemaje wanafunzi hawakupikwa vzr wakati yeye ndo amewapika vyuoni?

Wakufunzi wa law school most of them wamesoma kwenye hvyo hvyo vyuo ambavyo wew unaviona sio bora. Wao wamepata ubora wao wapi?

Kuna walioko kwenye field ya sheria kwa miaka mingi kama mahakimu na ma lecturer wa vyuo mbalimbali wengine mpaka wana masters lkn wakifika LST wanadunda. Hiyo sheria inayofundishwa hapo inatoka mbinguni?

Law schools za nchi zingine kama Kenya na Uganda hakuna mass failure ya aina hii kwamba sisi ndo vilaza kuliko wenzetu?

Hata mtu aniweke kisu shingoni kwa pass ya wanafunzi 26 kati ya zaid ya wanafunzi 600 siwezi kushawishika kwamba eti tatizo liko kwa wanafunzi. Noooo. Ma lecturers wa nchi hii nawafahamu vzr ni wapenda sifa sana.

La mwisho liko hvi, kama wew ni mwalimu unafundisha wanafunzi alafu wanafeli mtihani wako kwa kiasi kikubwa hvyo that means huwa wanafunzi hawakuelewi achana na kazi ya kufundisha.
Umemgonga kisawasawa. Asante sana! Unaona naye eti ni Wakili, anatoa analysis ya kitoto.
 
Eti wew naye ni advocate

Ngoja nikwambie kuna vyuo ambavyo vina dahili wanafunzi cream wenye division one nzuri tu lkn hao hao wakifika law school wanagonga mwamba

Wakufunzi wa Law school most of them ndo hao hao waliowapika hao wanafunzi wakiwa vyuoni. Unakuta mtu ni lecturer UDSM at the same time ni lecturer wa Law school. Anasemaje wanafunzi hawakupikwa vzr wakati yeye ndo amewapika vyuoni?

Wakufunzi wa law school most of them wamesoma kwenye hvyo hvyo vyuo ambavyo wew unaviona sio bora. Wao wamepata ubora wao wapi?

Kuna walioko kwenye field ya sheria kwa miaka mingi kama mahakimu na ma lecturer wa vyuo mbalimbali wengine mpaka wana masters lkn wakifika LST wanadunda. Hiyo sheria inayofundishwa hapo inatoka mbinguni?

Law schools za nchi zingine kama Kenya na Uganda hakuna mass failure ya aina hii kwamba sisi ndo vilaza kuliko wenzetu?

Hata mtu aniweke kisu shingoni kwa pass ya wanafunzi 26 kati ya zaid ya wanafunzi 600 siwezi kushawishika kwamba eti tatizo liko kwa wanafunzi. Noooo. Ma lecturers wa nchi hii nawafahamu vzr ni wapenda sifa sana.

La mwisho liko hvi, kama wew ni mwalimu unafundisha wanafunzi alafu wanafeli mtihani wako kwa kiasi kikubwa hvyo that means huwa wanafunzi hawakuelewi achana na kazi ya kufundisha.
Asante, Thomaaasss!
 
Wakili Bashir Yakub amejielekeza vibaya na anatakiwa kupuuzwa kwa sababu zifuatazo.

Mosi , Kumeibuka wimbi la baadhi ya watu waliofaulu law school (mawakili) kuponda kwamba tatizo lipo kwenye vyuo vinavyoandaa wanafunzi wa sheria na sio law school

Kama tatizo lipo vyuoni pekee Swali yeye amewezaje kuwa wakili? Ikiwa na yeye uwakili wake ameupata baada ya kuwa ameanzia kwenye vyuo hivyo hivyo anavyovisema vina matatizo?

Pili, Wakili Yakub amegusia alama za udahili wa watu wanaodahiliwa kwenda kusoma sheria kwamba wanachukua mpaka watu wenye alama D kwenye masomo yao hivyo hii inachangia watu kufeli law schoo, Hoja hii haikutakiwa kutolewa na mtu kama yeye ambae amesema ni wakili.

Kwa sababu inaonekana hana uelewa na jambo hili. Watu wote wenye alama D katika masomo yao ya kidato cha nne huwalazimu kwenda kuanzia ngazi ya cheti kwa mwaka mmoja, baadae huenda ngazi ya Diploma kwa miaka miwili na baadae hupata sifa za kwenda ngazi ya degree baada ya kuwa wamepata GPA ya 3+ na rekodi zinaonyesha watu hawa wamekuwa wakifanya vizuri

Kwani Yakub hajui kama unaweza kutoka form six na one ya point 7 na ukafika chuo ufaulu ukawa sio mzuri? Je hao wanafunzi wote waliofeli law school wote wana alama D? Yakub amejielekeza vibaya na je hata hizo taaluma zingine hajawahi kusikia daktari amefeli wakati udahili wao ni wa juu?

Tatu, anasema saizi kila chuo kinatoa degree, kwa ufupi ni kwamba hakuna chuo kinachotoa degree vyuo vinatunuku degree huwezi kusema unaenda UDOM, UDSM au MZUMBE ukasema unaenda kupewa degree vyuo vinatunuku degree baada ya kuwa umepitia mafunzo waliyoyaweka ya kukupima. Hata yeye ndo njia hiyo hiyo aliitumia mpaka akawa wakili.

Anasema hata chuo kikiwa kipya kinaanza na kozi ya sheria , hii inaonyesha Yakub hajui kabisa vigezo vya chuo kukubaliwa kuanza kufundisha kozi flani angekuwa anajua asingesema hivyo. Upya wa chuo sio kikwazo cha chuo kufundisha sheria. Akasome sheria zinazoanzisha vyuo ili ajue.

Nne, anasema asilimia 90 ya wanafunzi wanaomaliza chuo hawajui kuandaa kiapo hili hajasema amefanya utafiti gani, Tanzania tuna vyuo zaidi ya 10 vinavyofundisha sheria ametumia utafiti upi kubaini hili au ameandika tu?

Tano, wakili Yakub anasema mawakili na mahakimu wamekuwa wakilalamika sana juu ya ubovu wa wanafunzi je ni kwa nini baadhi ya mahakimu hao pia wamekuwa wakifeli law school? Na je hakuna mawakili wabovu? Yakub anataka kuaminisha watu kuwa kila mtu aliyepita law school ni mwamba kitu ambacho sio kweli

Sita, Anasema Law School haizalishi mawakili tu, bali inazalisha majaji na mahakimu hii nakubali lakini je ndo iwe sababu ya kuponda wanafunzi wote na kumnyima nafasi ya kufungua akili yake ili ajue kama upande wa pili pia kuna tatizo? Yeye ni wakili anajua kuwa tuna mahakim na majaji wengi ambao walishapita hapo law school lakini bado ukisoma judgement’s zao utakuta kuta shida ya kisheria? Je hajawahi kuona kitu kama hiki?

Anasema law school inahitaji watu pure je yeye ni pure ? Ni kweli ni jambo jema kupata watu pure je Toka ametoka law school anataka kusema anajua kila kitu kwenye sheria?

Wakili Yakub asifunge akili na kuanza kuona waliopo chini wote hawana uwezo bali wenye uwezo ni wale tu waliofaulu law school kitu ambacho sio kweli

Unaweza kwenda law firm’s na mahakaman kufanya field na ukaenda law school ukafeli.

Ushauri wa Yakub umeegemea upande mmoja hajataka kabisa kuonyesha weaknesses za upande wa pili.
Haya kamati ya Dr Mwakyembe imeshaundwa na kupewa siku 30 waje na majibu, hakikisha unapeleka hizi hoja zako kwa kamati. Pia kamati ikija na majibu kwamba wanafunzi wa miaka hii ni vilaza ukubali matokeo.
 
Tuliza mshono wewe hujui unachoongea.
Wakati nipo hapo kuna mkufunzi mmoja alikuja kukokotoa swali alilokuwa ametoka kuwatungia Cohort ya mbele yetu likamshinda.
Na hapo ameshakaa nalo mda mrefu.
Sasa jiulize mtu aliyekutana na swali hilo kwa mara ya kwanza na lilikuwa la lazima huku akikimbizana na mda.
Kiingereza hamjui acha kushupaza shingo. Hata Kiswahili fasaha tuu hamuwezi kuandika..
 
Na ndugu yangu anafundisha hapo anasema wanafunzi wengi vilaza hasa wanaotoka vyuo vyetu vya private.. Msingi wa mafunzo wao sio mzuri.. Sasa wanapokuja law school mambo yanakua magumu. Sasa sijui kamati itapia mitihani au itafanya mahojiano. Itafaa kama watapitia mitihani yao waone utopolo halisi na sio kutafuta mchawi
Mitihani yote itapitiwa maana jana waziri alitaka kuwapa waandishi wa habari matokeo ya hiyo mitihani ambapo kuna waliopata zero kabisa..
Screenshot_20221012-212006.jpg
 
TATIZO SIO LAW SCHOOL.

Tatizo ni vyuo vya sheria. Tatizo linaanza na sifa za udahili wa wanafunzi wanaostahili kusomea sheria katika vyuo, na Pili mfumo wa ufundishaji vyuoni.

Kuna vyuo hadi mwenye D flat, D English, D kiswahili na D history anapata na nafasi ya kusoma sheria.

Sasa hivi karibia hamna chuo hakitoi degree ya sheria. Chuo hata kikiwa kipya moja ya kozi ambazo wanaanza nazo na ya sheria lazima iwemo.

Mchanganyiko huu hauwezi kuwa salama ukifika Law School ambapo maadili na taaluma ya sheria inasimamiwa kwa uthabiti.

Hatusemi vyuo vya sheria visiwe vingi ama watu wasidahiliwe kwa wingi, tunazungumzia ubora wa vyuo hivyo katika kutoa taaluma hiyo, na ubora wa wadahiliwa wenyewe.

Niwaambie kitu, asilimia 90 ya wanafunzi wanaomaliza sheria katika vyuo vyetu hawawezi hata kuandaa kiapo(affidavit). Kiapo tu.

Simsingizii mtu, mahakimu na mawakili mnaokaa na wanafunzi hao wakija field mnajua na mmekuwa mkikilalamika sana kuhusu hili.

Nazungumzia kiapo wala sizungumzii kuandaa mashitaka(Plaint au Charge) au utetezi( Wsd), kiapo tu hawajui.

Mtu kama huyu unataka Law School iseme amefaulu, ili akafanye nini mtaani. Akatoe huduma gani.

Kuna kitu jamii inapaswa kuelewa. Law School haizalishi tu Mawakili bali Mahakimu na Majaji. Tokea ilipoanzishwa hawi mtu Hakimu ama Jaji isipokuwa amefaulu Law School.

Unaonaje mtu kama Jaji ama hakimu mwenye mamlaka ya kuhukumu mtu kunyongwa hadi kufa, kuhukumu kifungo cha maisha jela, kifungo cha miaka 30, kuhukumu upoteze nyumba ama mali yako nk awe mtu aliyefaulu kiujanjaujanja tu ilimradi. Haiwezekani

Law School inahiaji watu "Pure" na wala haimuonei yeyote. Inahitaji watu ambao watabeba majukumu mazito kama hayo niliyoainisha hapo juu.

Hayo majukumu ni mazito sawa na ya udaktari. Ni majukumu ambayo mstari wake ni kati ya kifo na uhai.

Wanafunzi wenyewe wanajua na ndio maana wakifeli wanakimbilia kwenye media. Zipo taratibu za rufaa kwa waliofeli lakin hawataki kuzitumia sababu wanajua hawatatoka kutokana na ukweli. Wanajua kabisa wamefeli kwasababu hawajaiva inavyostahili.

Na suala la kuhakikisha Wakili anaiva vizuri kabla ya kuapishwa halijaanza na Law School. Lilikuwepo hata kipindi cha Bar Exam kabla Law School haijaanzishwa. Mwendo ulikuwa huu huu. Waulizeni waliopitia mfumo huu wa Bar Exam watakuelezeni. Mtu alikuwa akirudia mitihani hii hata mara 15 ili aweze kufaulu na kuapishwa kuwa Wakili.

Lengo ni hilohilo kumuandaa mtu sahihi atakayebeba haya majukumu mazito ya kifo na uhai.

Kwa ufupi, kama kuna sehemu ya kushugulikia kuondokana na kadhia hii ni vyuo vya Sheria. Mifumo ibadilike kuanzia sifa za udahili hadi ufundishaji.

Sifa za udahili wa shetia zimeshushwa mno, Pili Wajitoe katika kufundisha Theory na wajikite katika Practical. Law is about practise 80% and theory 20%.

Tusitafute mchawi Law School. Na ukitaka kujua ukweli wa hili ni nadra mno tena mno mtu ambaye amemaliza chuo akapractise kwa muda aidha kwa mawakili au mahakamani then akaenda Law School, kumkuta amefeli.

Hao wachache mnaosikia wanafaulu wengi sio fresh from school. Ni watu ambao wametoka ofisi za mawakili au wamepractise mahakamani.

Hawa wa kutoka chuo moja kwa moja Law School hufeli karibia wote, itokee tu.

Kwahiyo ni muhimu kuangalia hayo mambo mawili, Kwanza sifa za udahili wa wanafunzi ambao wanatakiwa kusomea sheria, Pili mfumo wa vyuo ubadilike kutoka theory na kuwa practical zaidi.

Tuachane na Law School iandae watu Mahiri. Tunahitaji watu mahiri wabebe majukumu mazito ya kifo na uhai.
Huyo Bashir Yakubu hajapita Law school, NI toleo la wale waliofanya internship na kumaliza kwa bar exam kwahiyo asiongee chochote! Uhalisia ni kwamba wamaogopa competition from junior advocates cause wana uchu wa kufika mbali...nimekutana na senior advocates wengi wanapigwa P.O za ajabu ajabu na junior advocates
 
Ni kawaida mtu aliyevuka daraja kumuhofia mtu anayetaka kuvuka maana ni kikwazo kwake.
 
sio ivo uko vyuoni kuna paper unakutana nayo hata uingie na materials yako yote hutoboi,sijasoma sheria lakon najua kilicho wakuta
Na majibu yanakwepo ila ilo swali ukisoma unaona kuna majibu zaid ya matatu au sita ukisoma tena unaona majibu manne ukirudia tena unaona majibu mawili yote ni sahihi ila moja ndo sahihi, sa unakuta unashuka mwalimu anakulamba ziro hahahaa hao walipewa maswali ya mtego , yani swali linafinywangwa linageuzwa juu chini yani kuna key point mpaka uzifungue ndo unajuwa anataka ujibu nin plus kingereza kigumu
 
Wakili Bashir Yakub amejielekeza vibaya na anatakiwa kupuuzwa kwa sababu zifuatazo.

Mosi , Kumeibuka wimbi la baadhi ya watu waliofaulu law school (mawakili) kuponda kwamba tatizo lipo kwenye vyuo vinavyoandaa wanafunzi wa sheria na sio law school

Kama tatizo lipo vyuoni pekee Swali yeye amewezaje kuwa wakili? Ikiwa na yeye uwakili wake ameupata baada ya kuwa ameanzia kwenye vyuo hivyo hivyo anavyovisema vina matatizo?

Pili, Wakili Yakub amegusia alama za udahili wa watu wanaodahiliwa kwenda kusoma sheria kwamba wanachukua mpaka watu wenye alama D kwenye masomo yao hivyo hii inachangia watu kufeli law schoo, Hoja hii haikutakiwa kutolewa na mtu kama yeye ambae amesema ni wakili.

Kwa sababu inaonekana hana uelewa na jambo hili. Watu wote wenye alama D katika masomo yao ya kidato cha nne huwalazimu kwenda kuanzia ngazi ya cheti kwa mwaka mmoja, baadae huenda ngazi ya Diploma kwa miaka miwili na baadae hupata sifa za kwenda ngazi ya degree baada ya kuwa wamepata GPA ya 3+ na rekodi zinaonyesha watu hawa wamekuwa wakifanya vizuri

Kwani Yakub hajui kama unaweza kutoka form six na one ya point 7 na ukafika chuo ufaulu ukawa sio mzuri? Je hao wanafunzi wote waliofeli law school wote wana alama D? Yakub amejielekeza vibaya na je hata hizo taaluma zingine hajawahi kusikia daktari amefeli wakati udahili wao ni wa juu?

Tatu, anasema saizi kila chuo kinatoa degree, kwa ufupi ni kwamba hakuna chuo kinachotoa degree vyuo vinatunuku degree huwezi kusema unaenda UDOM, UDSM au MZUMBE ukasema unaenda kupewa degree vyuo vinatunuku degree baada ya kuwa umepitia mafunzo waliyoyaweka ya kukupima. Hata yeye ndo njia hiyo hiyo aliitumia mpaka akawa wakili.

Anasema hata chuo kikiwa kipya kinaanza na kozi ya sheria , hii inaonyesha Yakub hajui kabisa vigezo vya chuo kukubaliwa kuanza kufundisha kozi flani angekuwa anajua asingesema hivyo. Upya wa chuo sio kikwazo cha chuo kufundisha sheria. Akasome sheria zinazoanzisha vyuo ili ajue.

Nne, anasema asilimia 90 ya wanafunzi wanaomaliza chuo hawajui kuandaa kiapo hili hajasema amefanya utafiti gani, Tanzania tuna vyuo zaidi ya 10 vinavyofundisha sheria ametumia utafiti upi kubaini hili au ameandika tu?

Tano, wakili Yakub anasema mawakili na mahakimu wamekuwa wakilalamika sana juu ya ubovu wa wanafunzi je ni kwa nini baadhi ya mahakimu hao pia wamekuwa wakifeli law school? Na je hakuna mawakili wabovu? Yakub anataka kuaminisha watu kuwa kila mtu aliyepita law school ni mwamba kitu ambacho sio kweli

Sita, Anasema Law School haizalishi mawakili tu, bali inazalisha majaji na mahakimu hii nakubali lakini je ndo iwe sababu ya kuponda wanafunzi wote na kumnyima nafasi ya kufungua akili yake ili ajue kama upande wa pili pia kuna tatizo? Yeye ni wakili anajua kuwa tuna mahakim na majaji wengi ambao walishapita hapo law school lakini bado ukisoma judgement’s zao utakuta kuta shida ya kisheria? Je hajawahi kuona kitu kama hiki?

Anasema law school inahitaji watu pure je yeye ni pure ? Ni kweli ni jambo jema kupata watu pure je Toka ametoka law school anataka kusema anajua kila kitu kwenye sheria?

Wakili Yakub asifunge akili na kuanza kuona waliopo chini wote hawana uwezo bali wenye uwezo ni wale tu waliofaulu law school kitu ambacho sio kweli

Unaweza kwenda law firm’s na mahakaman kufanya field na ukaenda law school ukafeli.

Ushauri wa Yakub umeegemea upande mmoja hajataka kabisa kuonyesha weaknesses za upande wa pili.
Mkuu umeongea point kubwa sana makubaliana na wewe hoja zako
 
Waswahili wanamsemo kuwa,
"usiangalie ulipo angukia, angalia ulipo jikwaa"

Kufeli kwa wanafunzi wa shule ya Sheria (Law School ) kunatokana na maandalizi mabovu katika vyuo vikuu ambapo wanapotoka wananfunzi mbalimbali.

Hivyo ni muhimu sana kwa vyuo vyetu vikuu vikawaandaa kikamilifu wanafunzi wanao maliza degree zao kabla hawajiunga na Law School.

Narudia kusema kuwa wanafunzi wa zama hizi hawataki kusoma kwa bidiiii, wengi wao wanataka mserereko......lengo wanataka ajira tu lakini kichwani weupee peeee.

Hili sio jambo hata la kuunda tume ni kupoteza muda na rasilimali bureeee.
 
Waswahili wanamsemo kuwa,
"usiangalie ulipo angukia, angalia ulipo jikwaa"

Kufeli kwa wanafunzi wa shule ya Sheria (Law School ) kunatokana na maandalizi mabovu katika vyuo vikuu ambapo wanapotoka wananfunzi mbalimbali.

Hivyo ni muhimu sana kwa vyuo vyetu vikuu vikawaandaa kikamilifu wanafunzi wanao maliza degree zao kabla hawajiunga na Law School.

Narudia kusema kuwa wanafunzi wa zama hizi hawataki kusoma kwa bidiiii, wengi wao wanataka mserereko......lengo wanataka ajira tu lakini kichwani weupee peeee.

Hili sio jambo hata la kuunda tume ni kupoteza muda na rasilimali bureeee.
Ngono +kutokujua kingereza
Hayo mambo mengine hayafai
 
Tatizo ni vyuo vya sheria. Tatizo linaanza na sifa za udahili wa wanafunzi wanaostahili kusomea sheria katika vyuo, na Pili mfumo wa ufundishaji vyuoni.

Kuna vyuo hadi mwenye D flat, D English, D kiswahili na D history anapata na nafasi ya kusoma sheria
Tazama law school wenyewe walichoandika, Unatarajia kuna kufaulisha hapa!!?
 

Attachments

Waswahili wanamsemo kuwa,
"usiangalie ulipo angukia, angalia ulipo jikwaa"

Kufeli kwa wanafunzi wa shule ya Sheria (Law School ) kunatokana na maandalizi mabovu katika vyuo vikuu ambapo wanapotoka wananfunzi mbalimbali.

Hivyo ni muhimu sana kwa vyuo vyetu vikuu vikawaandaa kikamilifu wanafunzi wanao maliza degree zao kabla hawajiunga na Law School.

Narudia kusema kuwa wanafunzi wa zama hizi hawataki kusoma kwa bidiiii, wengi wao wanataka mserereko......lengo wanataka ajira tu lakini kichwani weupee peeee.

Hili sio jambo hata la kuunda tume ni kupoteza muda na rasilimali bureeee.
Swali langu la msingi. Lakini hao hao walimu wanaowafundisha huko vyuoni wengi wao ndo hao hao walioko law of school. Je inakuaje Sasa lowama zinatupiwa wanafunzi tu. Hivi wanafunzi wakifeli lawama zinawaendea wao au zinaenda kwa walimu wao
 
Eti wew naye ni advocate

Ngoja nikwambie kuna vyuo ambavyo vina dahili wanafunzi cream wenye division one nzuri tu lkn hao hao wakifika law school wanagonga mwamba

Wakufunzi wa Law school most of them ndo hao hao waliowapika hao wanafunzi wakiwa vyuoni. Unakuta mtu ni lecturer UDSM at the same time ni lecturer wa Law school. Anasemaje wanafunzi hawakupikwa vzr wakati yeye ndo amewapika vyuoni?

Wakufunzi wa law school most of them wamesoma kwenye hvyo hvyo vyuo ambavyo wew unaviona sio bora. Wao wamepata ubora wao wapi?

Kuna walioko kwenye field ya sheria kwa miaka mingi kama mahakimu na ma lecturer wa vyuo mbalimbali wengine mpaka wana masters lkn wakifika LST wanadunda. Hiyo sheria inayofundishwa hapo inatoka mbinguni?

Law schools za nchi zingine kama Kenya na Uganda hakuna mass failure ya aina hii kwamba sisi ndo vilaza kuliko wenzetu?

Hata mtu aniweke kisu shingoni kwa pass ya wanafunzi 26 kati ya zaid ya wanafunzi 600 siwezi kushawishika kwamba eti tatizo liko kwa wanafunzi. Noooo. Ma lecturers wa nchi hii nawafahamu vzr ni wapenda sifa sana.

La mwisho liko hvi, kama wew ni mwalimu unafundisha wanafunzi alafu wanafeli mtihani wako kwa kiasi kikubwa hvyo that means huwa wanafunzi hawakuelewi achana na kazi ya kufundisha.
Thread iendelee lakini haya majibu tunaomba yamfikie wakili Yakubu kama vile andiko lake lilivyofika hapa Badi haya majibu yamrudie.
 
Back
Top Bottom