Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu

Kichwa gani taka taka hiyo hivi ww unajua dhambi ya utengano unazani tutakuwa paxuri mtu yoyote anayepinga muungano huyo ni msaliti wa Taifa
Wewe ndiyo takataka. Hukustahili kuzaliwa kama mwana Tanganyika au Zanzibar . Miungano ya kulazimisha yalishavunjika yote. Yugoslavia iko wapi ? Senegal & Gambia (Senegambia) iko wapi. Ule muungano mkubwa wa USSR Urusi ya zamani iko wapi ?! Ni mambo kama haya yaliozivunja. Pengine ulikuwa bado mtoto.

Wazanzibari kuuza mali za waTanganyika kwa namna ya kutapanya si sawa. Ccm siyo Tanzania ni kikundi cha watu wenye nia mbaya na rasilimali za nchi hii. Bora hata Nyerere alikuwa mzalendo siyo hawa waliofuata.
 
Kichwa gani taka taka hiyo hivi ww unajua dhambi ya utengano unazani tutakuwa paxuri mtu yoyote anayepinga muungano huyo ni msaliti wa Taifa
Kuandika kwenyewe hujui nawe unajiita Great Thinker,Nchi hii MACHOKO kama wewe hawawezi kwisha
 
Huyu Mwabukusi kachanganyikiwa, madeni ya huko mahakamani yamemjaa mpaka shingoni. Kila akifungua kesi inaangukia pua. Alishindwa dhidi ya Mwakibete mbunge wa sasa na anakwenda kushindwa dhidi ya serikali suala la bandari.

Amejaribu kuitangaza video yake ya nje ya mahakama ili wafadhili wamkumbuke kwenye ufalme wao, hizo ni jitihada za mwisho mwisho kabla jahazi halijazama kabisa.

Acha uvivu wa kufikiri.
 
Hii ngoma ya Bandari imenisaidia sana kujua muelekeo wa Siasa zetu kuelekea 2025 na makundi yanayofaidi kodi, yanayofaidi kiwango cha chini kuliko matarajio yao, makundi yenye mlengo wa kidini, makundi yanayotafuta kujulikana kwa malengo mengine n.k


pia wapo wachache waliojikita kwny hoja tu bila ya kashfa wala kubeza mf.Prof Shivji
 
Huyu Mwabukusi kachanganyikiwa, madeni ya huko mahakamani yamemjaa mpaka shingoni. Kila akifungua kesi inaangukia pua. Alishindwa dhidi ya Mwakibete mbunge wa sasa na anakwenda kushindwa dhidi ya serikali suala la bandari.

Amejaribu kuitangaza video yake ya nje ya mahakama ili wafadhili wamkumbuke kwenye ufalme wao, hizo ni jitihada za mwisho mwisho kabla jahazi halijazama kabisa.
Dah!

Sasa wewe ndiye umegeuka na kuwa mwenye madaraka ya kuamua hatma za watu?
 
Hii ngoma ya Bandari imenisaidia sana kujua muelekeo wa Siasa zetu kuelekea 2025 na makundi yanayofaidi kodi, yanayofaidi kiwango cha chini kuliko matarajio yao, makundi yenye mlengo wa kidini, makundi yanayotafuta kujulikana kwa malengo mengine n.k


pia wapo wachache waliojikita kwny hoja tu bila ya kashfa wala kubeza mf.Prof Shivji
Nilichojifunza mimi ni kuwa kuna makundi yanayopigania maslahi yao na kuna kundi linalotetea uzima na uhai wa nchi yetu na watu wake wote bila kujali matabaka yaliyomo ndani ya nchi..

Nami pia nitamweka kama mfano wa kuigwa, Prof. Shivji katika kundi hili la mwisho
 
🐒🐒🐒
downloadfile-4.jpg
16625309531397.jpg
16625309217624.jpg
16625309323135.jpg
16625309128553.jpg
16625309048222.jpg
 
Wakili Mwabukusi anasema Waziri mkuu Kassim Majaliwa ndie mtu wa mwisho kabisa watanzania hawapaswi kumuamini kwani ni muongo na hana aibu,Anadanganya na wala hakumbuki kuomba msamaha kwa uwongo wake.

Wakili Mwabukusi,Waziri mkuu ndie mtu wa kwanza alipaswa kujiuzulu kuhusu mambo ya bandari kwani aliupeleka bungeni halafu baada ya mambo kuwa magumu anaomba watu watoe maoni.

Wakili Mwabukusi,Anahoji hayo maoni mkusanyaji ni nani na yana kazi gani wakati wamepitisha sheria

Wakili Mwabukusi amesisitiza watanzania hawapaswi kumuamini kabisa Kassim Majaliwa kwenye masuala ya bandari

Wakili Mwabukusi,Waziri mkuu alete data na facts kuhusu mkataba wa bandari ,aache porojo kuwa watanzania wamuamini,Majaliwa haaminiki ni mwongo na amedanganya Taifa kwenye mambo mengi ya msingi

Suala la kuamini ni suala la imani kwa mujibu wa wakili Mwabukusu na mambo ya imani yaachwe kwenye makanisa na misikiti.

Wakili Mwabukusi,Mkataba wa uwekezaji siyo mambo ya imani ,Inabidi mkataba wenyewe ujitetee na sio Waziri mkuu Majaliwa kuomba watu wamuamini wakati yeye haaminiki

Wakili Mwabukusi amesisitiza watu waongo kama Kassim Majaliwa hawapaswi tena kuwa viongozi,Kwa mkataba wa bandari lazima tuwaonyeshe kuwa nchi hii sasa kuna wasomi wengi tofauti na enzi za mababu zetu ambao hawakusoma na walitawaliwa na wakoloni

Wakili Mwabukusi,Kwa Tanzania hii ya leo watu hawawezi fanya ujinga kama walivyofanya kwenye mkataba wa bandari na Dp world,Hao walioingia mkataba ni genge la wachache
 
Kama anadhani kuongea ovyo ni ushujaa, basi anachokitafuta anaweza akakipata.
Anaweza akabidhiwa bwana mdogo anaitwa Polium ahangaike nae.
 
Adv. nimetokea kumwelewa sana, hii nchi ina vichwa vya kutosha kutuondoa kwenye mkwamo wa kifikra tuliomo, tatizo maamuzi yamehodhiwa na kikundi cha wachache, walafi wa madaraka, wajinga wasiojua wanapotupeleka, na waliokata tamaa.

Huu ni wakati wa kuwaamsha, na kuwaambia ukweli, vitisho vyao havina maana yoyote.
A iwe A.
 
Adv. nimetokea kumwelewa sana, hii nchi ina vichwa vya kutosha kutuondoa kwenye mkwamo wa kifikra tuliomo, tatizo maamuzi yamehodhiwa na kikundi cha wachache, walafi wa madaraka, wajinga wasiojua wanapotupeleka, na waliokata tamaa.

Huu ni wakati wa kuwaamsha, na kuwaambia ukweli, vitisho vyao havina maana yoyote.
Mtaishia humu humu nyuma ya keyboard
 
Huyu Mwabukusi kachanganyikiwa, madeni ya huko mahakamani yamemjaa mpaka shingoni. Kila akifungua kesi inaangukia pua. Alishindwa dhidi ya Mwakibete mbunge wa sasa na anakwenda kushindwa dhidi ya serikali suala la bandari.

Amejaribu kuitangaza video yake ya nje ya mahakama ili wafadhili wamkumbuke kwenye ufalme wao, hizo ni jitihada za mwisho mwisho kabla jahazi halijazama kabisa.
Huyo ni mshamba fulani tu hivi.
Jitu la Mbeya huko na bandari wapi na wapi.
 
Back
Top Bottom