Hata wabara wakitaka mtoko wa kweli lazima waende Zenji.Naona wazenji kwasasa mnaufagilia sana mungano maana mmejazana kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wabara wakitaka mtoko wa kweli lazima waende Zenji.Naona wazenji kwasasa mnaufagilia sana mungano maana mmejazana kariakoo
🤣🤣🤣 We pimbi nini, wapi nimefoka?!🤔ACha kufokafoka
DPW iendelee![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo katelephone aliunda kamati ya kuchunguza ajali ya tank lililowaka moto Msamvu Morogoro mpaka leo hii hatujui hatima yakeIla Wakuu to be honest,PM Majaliwa ni muongo muongo sana alafu anapenda kuficha udhaifu wake kwa kuunda vikamati uchwara.Huyu anapaswa apumzishwe kwa sasa!
Kuna ya kuungua soko la Kariakoo na sasa kaunda kamati ya masuala ya kodi baada ya mgomo wa Kariakoo.Lakini watu wa Lindi ni wafitini na waongo sana.Nimeshafanya nao kazi sehemu kadhaa!Huyo katelephone aliunda kamati ya kuchunguza ajali ya tank lililowaka moto Msamvu Morogoro mpaka leo hii hatujui hatima yake
Ila huyo Mwabukusi ni mtu na nusu Tulia akimkimbia sugu atakakokuwa atakutana na huyo mwambaKuna ya kuungua soko la Kariakoo na sasa kaunda kamati ya masuala ya kodi baada ya mgomo wa Kariakoo.Lakini watu wa Lindi ni wafitini na waongo sana.Nimeshafanya nao kazi sehemu kadhaa!
Hana chochote huyo, anamuonea wivu Dr Ulimboka tu basi.Huyo ni mshamba fulani tu hivi.
Jitu la Mbeya huko na bandari wapi na wapi.
Wee Mwabukusi dkt ulimboka anasalimu sana.Nukuu:
Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu. Waziri mkuu ametundanganya kwa mengi ikiwamo kifo cha Magufuli! Na hii ni mara ya tano anaudanganya umma bila fact.
Mwambukusi.