Kwa mimi niliyeisoma Phyz wote walivyochangia inadhihirisha wamewahi kuisomaNi rahisi sana we chunguza katika maandishi yao.
Hahitaji kuusoma Advances physics kujua mkweli ama muongo.
We chunguza tu mkuu utaona.
Na uhakika nusu yao hawakuisoma kabisa physics wengine usishangae kuwa waliishia kidato cha nne.Kwa mimi niliyeisoma Phyz wote walivyochangia inadhihirisha wamewahi kuisoma
Ahsante Mkuu, VP ulishindwa sheria na kanuni za seminary mpk wakakukimbiza ?, pole huenda ungekua Engineer now kama ungeendelea kule,ila kila kitu hutokea kwa sababuPole mkuu! Mimi mpaka form two nilikuwa mbabe nikafukuzwa seminary nilipelekwa shule ya day afi polini nakaishi gheto no teacher, np materials, nilihamia taratibu nikajikuta nasoma hgl, ila agriculture, bios nilifanya vizuri mno shida nilidrop physics na chemistry form3.
Hahaaaa ,basi mama akikutambulisha unajiskia vzr mwenyewe, unatamani aulizwe VP matokeo ya binti yako ?[emoji1] [emoji1] [emoji1] kufaulu kuna raha yake jamaniAhahhhahahaha, sitosahau mda tokeo la olevel linatoka kitaa kizima mtoto wa kike ndo nimefaulu vzur div matata mzee kichwa kilimuota pembe ,mama ikawa kila sehemu anataka niende naye full kunitambulisha huyu ndo bint yangu nakumbuka hadi tuit ya kuingia adv sikusoma .....wamama wakawa wananitolea mifano kwa watoto wao eti waje kwangu niwape ushaur
Mkuu mzigua ulivokua unasoma tax mkuu siuliwakimbiza sana uko maana wadau huwa wanabwela sana kwenye hesabu za kizembe sana najua walikua wanakuona jiniazIla si wapo wanaofaulu? Kwanini mimi nishindwe sasa. Nikiamua kusoma nasoma japo siwagi serious. Hata hii nikipiga nitachomoka tu naamini.
Sikua nawakimbiza ila walikua wanajua nitadisco semester ya kwanza. Wakashangaa kundi langu kila semester anarudia mwaka mtu au anadisco. Ila mimi kwenye sup sionekani. Mwaka wa tatu nikapata sup ya auditing ila tulipata karibia 80% ya class.Mkuu mzigua ulivokua unasoma tax mkuu siuliwakimbiza sana uko maana wadau huwa wanabwela sana kwenye hesabu za kizembe sana najua walikua wanakuona jiniaz
Mkuu ulitishaSikua nawakimbiza ila walikua wanajua nitadisco semester ya kwanza. Wakashangaa kundi langu kila semester anarudia mwaka mtu au anadisco. Ila mimi kwenye sup sionekani. Mwaka wa tatu nikapata sup ya auditing ila tulipata karibia 80% ya class.
Dah ni alikuwa mwalimu wangu UDOM INFORMATICSKuna dada mmoja nadhan yupo Udom anaitwa Niima shidende nilisoma nae 1998 alikula 1 ya 3 PCM mpk WAZIRI kapuya akamwambia chagua chuo nje ya nchi ....kile kichwa kilikua sio cha nchi hii na shule tuliosoma ilikua haina walimu wazuri na miundo mbinu duni ....aisee alikua anatuweka round kwenye meza vidume anasema ulizeni swali lolote na topic yoyote hahahahah aisee
Kama unamaanisha Nima Shidende ni mwalimu wa UDOM College of Informatics na ni Dr kwa sasa.Yupo department ya Information SecurityKuna dada mmoja nadhan yupo Udom anaitwa Niima shidende nilisoma nae 1998 alikula 1 ya 3 PCM mpk WAZIRI kapuya akamwambia chagua chuo nje ya nchi ....kile kichwa kilikua sio cha nchi hii na shule tuliosoma ilikua haina walimu wazuri na miundo mbinu duni ....aisee alikua anatuweka round kwenye meza vidume anasema ulizeni swali lolote na topic yoyote hahahahah aisee
You are known far and wide,you are always our guide,We will never forget you...Hahah mkuu mm tangu nisome advanc physics pale azania had namaliza six sijawah kupata zaid ya 50% ila necta nikabahatish C flat zote..stak kukumbuk kbsa hio mambo nachuo sikutak kbsa kusom science . Sas hv CPA holder nipo ofisin nakul kiyoyoz..
Ila mtu kama ulikuwa smart enough pepa 2 ndo ilikuwa ya kutokea. Topic kama Gravitational au thermodaymics ilikuwa mzuka sanaPCH haikuwa ya mchezomchezo unaweza kata siku3 bila kuona maji... Nakumbuka tu among the three subjects Physics niliipenda mno but at last nikaishia kupata C.. Kuna jamaa siku ya mtihani ghafla tu kasingizia haoni ikabidi apelekwe hosp hiyo ilikuwa pepa2