Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Enzi hizo baba yangu alikua anataka nije kua doctor, akanipeleka kuniandikisha F.5 hata kabla serikali haijatoa selection za shule zake (nilikua na div. 1) F.4

Kufika akaniregister kusoma PCB(Shule 1 hivi ya private) ,nilisoma mwezi mzima hiyo physics naona nyota nyota tu nikaamua kuhamia PCB.

Mpaka namaliza Advance mzee anajua nipo PCB kumbe fizikia ilinipiga hat trick mapema tu.
Mkuu bora ulivyoenda PCB kuikimbia Physics ya PCM maana ile ni shida.Hahahahahah
 
Mkuu bora ulivyoenda PCB kuikimbia Physics ya PCM maana ile ni shida.Hahahahahah

Kwani tofauti ya phy ya PCM NA PCB ni ipi ? Wote wanasoma phy moja !!! tena bora PCM maana kidogo maths na phy baadhi ya vitu vinaingiliana kidogo.
 
Kwani tofauti ya phy ya PCM NA PCB ni ipi ? Wote wanasoma phy moja !!! tena bora PCM maana kidogo maths na phy baadhi ya vitu vinaingiliana kidogo.
Yah ni moja ila jamaa kanichekesha sana maana kasema alivyokuwa PCM Physics ilimshinda akahamia PCB
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu kumbe na wewe ulisoma haya nadude.

Ndio maana posts zako hua zipo tofauti na wadada wa H-kunanii
Hahahahaa. Nilikua sina jinsi mkuu. History nilikua najua kumeza mapoint issue kuandika maelezo mengi nilikua siwezi kabisa.
 
Haahahhaaa...shkamoo physics..ROGER MUNCASTER..TOM DUNCAN...COLLEGE ENGINEERING..NELCON...CHAND...niliapa...sitahitaji mateso kama yale..koz nlivotoka kwenye pepa nlikuwa sijui nilie au nifanyaje,tilia maanani hukawahi feli mtihani anzia uanze shule,nlikutana na jiwe la hatari..hata kupata ile D...nliona nimependelewa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Uzuri kwenye huu uzi

Kila mmoja anajipambanua kuwa kasoma physics.

Ila kiukweli nusu yao wachangiaji humu hawajasoma physics wanaishia kutaja tu aaa mara physics ngumu mara nini....!!

Kuna watu wanashinda humu mchana kutwa usiku kucha unajiuliza huyu hiyo physics alisoma lini na kama aliisoma???anafanya kazi saa ngapi???.

Jamani tuacheni drama na ku pretend

Ni hayo tu kwa sasa.
 
Uzuri kwenye huu uzi

Kila mmoja anajipambanua kuwa kasoma physics.

Ila kiukweli nusu yao wachangiaji humu hawajasoma physics wanaishia kutaja tu aaa mara physics ngumu mara nini....!!

Kuna watu wanashinda humu mchana kutwa usiku kucha unajiuliza huyu hiyo physics alisoma lini na kama aliisoma???anafanya kazi saa ngapi???.

Jamani tuacheni drama na ku pretend

Ni hayo tu kwa sasa.
Wewe uliisoma au hukuisoma Advanced Physics?
 
Back
Top Bottom