zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,483
- 1,705
Sudi alikuwa mkoma kinoma,bora DopraHahahahah shule yenyew O-level tulkuwa tunagonga Engineering Science badala ya Physics.....so ulikuwa ukichaguliwa Iyunga advance kama ulkotoka ulkuwa unabahatisha hakuna muujiza wa kutoboa.....ukigeuka kushoto unakutana na LE MUTUZ la Chemistry....Mr. SUDI.....***** mzee ana roho mbaya huyo.....kinyama.....
Umenkumbusha mbali sana kwa IYUNGA......
Ila chemistry niliishika pabaya ma math sio mnyama physics sina hamu nae mpk leo