Mie chemistry ilinichefua kwanza sikuwa nikiizingatia toka o level, pili madam niliyemkuta mie alikuwa na mimba sijui mimba yake ilinichukia, kifupi mimi na yeye tulikuwa hatuivi kabisa, yaani chochote ntakachofanya darasani ni ugomvi, akiongea kitu cha kuchekesha ukicheka mtiti wakati karibia darasa zima limecheka, ukikaa kimya eti umenuna nini, akiwa anaeleza kitu ukimkodolea macho analalamika kwanini namtizama kama kinyago, siku ukisema leo simtizami ugomvi eti.
Anataja jina langu analalamika simsikilizi namdharau, kama nishasoma huko nje ni heri nitoke darasani niwapishe wenzangu kuna siku akaniambia ni heri abaki na wajinga wachachr kuliko werwvu wengi
Kuna siku alikuwa anafundisha nahisi ni organic ile na nilikuwa na hamu kichizi ya kuijua kindaki ndaki,class watu huku nyuma wakacheka, bhanabwe alipogeuka tu kageuka kageuka na mimi, simama juu unacheka nini, kutaka kumuelewesha ukawa ugomvi, ikabidi niwe mpole akaongea wee akaniamnia najitia mwerevu sana ila mwisho wa uerevu wa binadamu ndio mwandamu ndio mwanzo wa ujinga wa mungu sijui, akazira na kufundisha.
Kuja kipindi nilifikiria sijui nimtombe tu kiukweli maisha yalikuwa magumu sana kwa madam yule ilifikia hatua vipindi vyake nikawa siingii sababu najijua mwenyewe sichelew kumkata mtu makofi, nikaona niepushe shari tu