Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Mie chemistry ilinichefua kwanza sikuwa nikiizingatia toka o level, pili madam niliyemkuta mie alikuwa na mimba sijui mimba yake ilinichukia, kifupi mimi na yeye tulikuwa hatuivi kabisa, yaani chochote ntakachofanya darasani ni ugomvi, akiongea kitu cha kuchekesha ukicheka mtiti wakati karibia darasa zima limecheka, ukikaa kimya eti umenuna nini, akiwa anaeleza kitu ukimkodolea macho analalamika kwanini namtizama kama kinyago, siku ukisema leo simtizami ugomvi eti.

Anataja jina langu analalamika simsikilizi namdharau, kama nishasoma huko nje ni heri nitoke darasani niwapishe wenzangu kuna siku akaniambia ni heri abaki na wajinga wachachr kuliko werwvu wengi

Kuna siku alikuwa anafundisha nahisi ni organic ile na nilikuwa na hamu kichizi ya kuijua kindaki ndaki,class watu huku nyuma wakacheka, bhanabwe alipogeuka tu kageuka kageuka na mimi, simama juu unacheka nini, kutaka kumuelewesha ukawa ugomvi, ikabidi niwe mpole akaongea wee akaniamnia najitia mwerevu sana ila mwisho wa uerevu wa binadamu ndio mwandamu ndio mwanzo wa ujinga wa mungu sijui, akazira na kufundisha.

Kuja kipindi nilifikiria sijui nimtombe tu kiukweli maisha yalikuwa magumu sana kwa madam yule ilifikia hatua vipindi vyake nikawa siingii sababu najijua mwenyewe sichelew kumkata mtu makofi, nikaona niepushe shari tu
Una Laana wewe: ndio maana hiyo Kemia ulipata D
 
Haha aisee siamin o-level nilikua physics nagonga 90% kuja advance level nikawa napata namba za viatu daah yaani 12% 11%...ni maksi za kawaida sna kwangu haha nikajiona kama nimelogwa vile

Ila nikichek masela nao hoooi yaani siwezi sahau two years ya advance level ilikua kama miaka mia vile [emoji23][emoji23][emoji23]

Afu unatoka hapo unapangiwa jeshi ,ila tz wanamakusud saana mungu anawaona lakin.....
 
Mmh umisetta na shule wapi na wapi? Tena mara nyingi watu wa umisetta enzi zetu walikuwa ni chakula cha washkj flani walokuwa hawaendi Likizo: ILBORU 1999-2001
Ndo ushangae sasa. Mi nilikua namudi kote. Na nilikua siliwi sasa
 
Hii itakuwa ni ya juzi hapa, na hawa ni wa juzi. Hata hivi vitabu vya Chand ni vya hivi karibuni

Aiseeee S.chand alikuwa vitabu vizur saaana yaani vimeelezewa vizur na kama hujaelewa topic chand lazima uelewe sio kama mavitabu ya wazungu .....chand ya math mzee aliliwa pesa yake tuu hakuna kitu mule ..... nilivyogundua hivyo tu nikakiuzwa fasta nikababiwa na phy ,chem .
 
Kiukweli Advanced Physics kinachookoa watu wengi kufaulu ni kupata majibu ya Practical. kama Practical umeingia hujui kinachotoka na ata forgery yake sio iyo umeingia huijui na unategemea theory ikutoe aseee umeula wa chuya.
 
alimaanisha wanaopata div 1 pt 3 ya pcm wametoka katika familia maskini, so wanasoma sana ili elimu iwakomboe Mwifwa

Wengine tulikuwa tunasomea sifa kuplease wazazi siunajua tena kuna baadhi ya familia kama kuna competition fulani hasa kama unandugu of your age .....
 
Mi mwenyewe form six ikawa bye bye na chuo nikasoma vitu vingine kabisa. Japo I regret kwanini sikwenda kusoma hata Civil engineering ila ndo basi tena.
Mizinguo90 sio Mara ya kwanza kulalamika kutopiga civil rudi kasome tena Kule kuna mziki was foundation engineering na structural inditaminant ni heri ya physics ya advernc
 
Maisha hayapo fair, sitasahau wakati nimeenda kureport advance, siku ya kwanza kuingia class watu wanavunja mechanics muda mimi sijui lolote, na walimu kipindi hicho hamna tukajiorganize kama darasa ikabidi wale waliokwisha kava watupigie pindi...ila mwisho wa siku Mungu si athuman na kutangulia sio kufika necta ikaja tukapiga fresh hata zaid ya waliokuwa wamecover mapema
 
Mizinguo90 sio Mara ya kwanza kulalamika kutopiga civil rudi kasome tena Kule kuna mziki was foundation engineering na structural inditaminant ni heri ya physics ya advernc
Basi nimeghairi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aiseeee S.chand alikuwa vitabu vizur saaana yaani vimeelezewa vizur na kama hujaelewa topic chand lazima uelewe sio kama mavitabu ya wazungu .....chand ya math mzee aliliwa pesa yake tuu hakuna kitu mule ..... nilivyogundua hivyo tu nikakiuzwa fasta nikababiwa na phy ,chem .

Chand kilikua vizuri kwenye conceptual questions ila calculation si sana
 
Hahahahahhahahahhaha hii ilinikuta siku ya necta ***** .......sitak hata kukumbuka
Finnest naomba kupandikiza mbegu kwako [emoji2] [emoji2] [emoji2] Kutokana na maelezo yako ulinyoosha vijiti vikali sana O level na A level....
 
Back
Top Bottom