Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Mimi form One nilijua ntachukua science subjects tena PCM yan nilikua naelewa na nafaulu vzr , ila kadri nilivokua napanda vidato , ndoto nazo zilianza kuyeyuka taratibu mpk kufikia kusoma Arts subjects A level tena kwa hyari yangu mwenyewe bila shikizo kutoka kwa mtu yeyote hahaaa. Baada ya kuona Physics ni motoo haipandi kabisa
Duh kwahyo PCM Uliachana nayo o level
Uliiacha mapema sana aisee ila sometimes ni bora kutafuta right way mapema kuliko kusubr worse stage
Mie after advance kusoma vile nkasema hapana aisee a can't take it anymore nikaingia kwenye finance maisha murua
 
halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani msenge mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi form One nilijua ntachukua science subjects tena PCM yan nilikua naelewa na nafaulu vzr , ila kadri nilivokua napanda vidato , ndoto nazo zilianza kuyeyuka taratibu mpk kufikia kusoma Arts subjects A level tena kwa hyari yangu mwenyewe bila shikizo kutoka kwa mtu yeyote hahaaa. Baada ya kuona Physics ni motoo haipandi kabisa
Pole mkuu! Mimi mpaka form two nilikuwa mbabe nikafukuzwa seminary nilipelekwa shule ya day afi polini nakaishi gheto no teacher, np materials, nilihamia taratibu nikajikuta nasoma hgl, ila agriculture, bios nilifanya vizuri mno shida nilidrop physics na chemistry form3.
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Mimi form One nilijua ntachukua science subjects tena PCM yan nilikua naelewa na nafaulu vzr , ila kadri nilivokua napanda vidato , ndoto nazo zilianza kuyeyuka taratibu mpk kufikia kusoma Arts subjects A level tena kwa hyari yangu mwenyewe bila shikizo kutoka kwa mtu yeyote hahaaa. Baada ya kuona Physics ni motoo haipandi kabisa

Ahahhhahahaha, sitosahau mda tokeo la olevel linatoka kitaa kizima mtoto wa kike ndo nimefaulu vzur div matata mzee kichwa kilimuota pembe ,mama ikawa kila sehemu anataka niende naye full kunitambulisha huyu ndo bint yangu nakumbuka hadi tuit ya kuingia adv sikusoma .....wamama wakawa wananitolea mifano kwa watoto wao eti waje kwangu niwape ushaur
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Yaaaani. Mi nahisi darasa lingenitenga maana usistaduu nimeanza mudaa. Ila hata engineering ningeweza tu. Chuo sasa nilikua na kampani yangu hiyo masistaduu wa darasa. Nilikua nikikaa nasema huu muda ninaoenda club ningekua engineer ningekua nachora chora saa hizi. Mwisho wa siku kila kitu kinatokea kwa sababu. Labda ningeenda engineering ningedisco semister ya kwanza [emoji2][emoji2]

Aaaaaah mimi niligundua maisha ni haya haya tu wala hayahitaji kutumia nguvu nyingi ila ni kuwa smart tu na mipango yako + live to the fullest .
 
kwakweli hata mimi nitarudi shule zote lkn sio advance ya PCB!
Biology na Chemistry zinatembea lkn Advanced physics hapana aiseee! Topic kama Magnetism, Adiabatic Expansion! Kwakweli A.physics ni nomaaaa.
Nakumbuka nilotoka jasho kwenye Practical baada ya kukuta pendulum la ajaab, unafunga uzi kwenye rula halafu bob inaning'inia kwa kutengeza umbo la pembe tatu! I wont forget
2b2d2de6dda6ca2dc8227dea3e98ca59.jpg
Hahaha....nyiwe watu mratuua mbavu
 
alimaanisha wanaopata div 1 pt 3 ya pcm wametoka katika familia maskini, so wanasoma sana ili elimu iwakomboe Mwifwa
Hapana,
Sio sahihi japo wengi kutoka familia hizo huwa wanasoma kwa bidii sana na mazingira/shule wanazosoma nazo huchangia mtu kwa na bidii ili afaulu mitihani yake.

Wapo watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri na wanapata hilo daraja la juu.

 
Sasa mimi nimeshiriki umiseta form five na form six. Nilikua naendaga kibaha kambini halagu nilikua nimezoeana zoena na watu wa kule basi nikimaliza kucheza jioni ile nakua na maswali yangu nauliza. Ijumaa narudi shule kupiga pepa na nafaulu fresh tu ila Math ndo nilikua hata nikeshe nasoma siwez kufaulu.

Hahahaha nakumbuka maths olevel nilikuwa siipend sababu tulikuwa tunafundishwa na babu, ila fom four nikaanza kuisomea necta sasa nilikomaa na review kuanzia miaka ya 90’s afu nikakrem maswali yale ya 10marks yote jiroge kurudia swali nmepiga banda ........ Mungu si simnyimi necta imooo kitu mule mule !!! Ila kiukweli maths nilikuwa najilazimisha tu hadi adv
 
halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani ****** mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahahahhahahahhaha hii ilinikuta siku ya necta ***** .......sitak hata kukumbuka
 
Pole mzigua ..... but mim i don’t regret at all chuo niliingia zangu Accounts na nmegundua hayo ndo maisha niliyokuwa nayataka ,chuo ilikuwa raha saana kusoma mpaka ratiba ya mtihan itoke full bata usista duu sasa, inshort kila nikifikiria incase nngekuwa eng. mda huu ningekuwa site na li ovaloli sijui daah akil hainipi kabisaaa . Am really happy with what am doin ryt now
Self Counseling
 
Sasa mimi nimeshiriki umiseta form five na form six. Nilikua naendaga kibaha kambini halagu nilikua nimezoeana zoena na watu wa kule basi nikimaliza kucheza jioni ile nakua na maswali yangu nauliza. Ijumaa narudi shule kupiga pepa na nafaulu fresh tu ila Math ndo nilikua hata nikeshe nasoma siwez kufaulu.
Mmh umisetta na shule wapi na wapi? Tena mara nyingi watu wa umisetta enzi zetu walikuwa ni chakula cha washkj flani walokuwa hawaendi Likizo: ILBORU 1999-2001
 
Back
Top Bottom