tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ila physics ni shida sana.Hahaaa advance kazi yangu ilikua ni kukariri page za vitabu na maswali+majibu yake kwenye page husika...
Kwahio mtu akiniletea swali namtajia page alipolitoa halafu namtajia jibu kwa mbwembwe mwisho na swali linanishinda..